Vilivyo chosha kuvisikia 2013...

Vilivyo chosha kuvisikia 2013...

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,320
Reaction score
117,653
Vitu gani vilikuchosha mno kuvisikia na
unatamani usivisikie tena mwaka 2014
upate tu break ya kuvisikia?

mimi najaribu orodhesha binafsi ambavyo natamani
nisivisikie.....kabisa ikiwezekana..

1. Mwigulu Nchemba hili jina limenichosha kabisa kulisikia
kama akiteuliwa ubalozi hivi huko New Zealand hivi itakuwa safi kwa kweli..

2.Mgogoro wa CHADEMA na Zitto ..natamani uishe
kwa uamuzi wowote hilo tujadili mengine

3. Mpira wa fitina ..mara Rage sijui nini,mara ukabila TFF
wakati wenzetu mwaka huu wako Brazil kwenye World Cup..

4.Threads za punyeto JF....dah kwa kweli hili limetosha now
tusha jadili na kushauri,mwingine mwenye tatizo ajaribu tu ku search..

5.Wema Sepetu....its time huyu aolewe na azae watoto sasa
aanze kuishi her age ...sio katoto tena..

6.Diamond.. natamani nisikie nyimbo zake tu..
mengine ikibidi nisisikie...yamenichosha masikio..enough sasa

7.Bongo movie...hivi lini tutasikia movie ya ukweli?
yenye actors wa nje na ndani ikibidi?

mengine ongezeeni....

snowhite King'asti Ennie Kaunga EMT Dark City Kasinde Heaven on Earth Mtambuzi platozoom Power to the People Jawilat Fixed Point Kongosho Broken soul gilgal
 
Last edited by a moderator:
mi kwa kweli 2014 sitaki kusikia haya

-acting za kova na mabindukia yake ITV
- sredi za kuchunwa na kupigwa vibuti JF
-natamani nisisikie makorokocho ya wasanii kwenye magazeti ya shigongo yani sijui nafanyaje hili
-natamani nisisikie miss tanzania inaandaliwa mwaka 2014 nimelichoka
-natamani kamati ya olimpiki isiende urusi mwaka huu,namaanisha kamati sio wachezaji
-natamani habari za michezo redio one zisitangazwe na maulid kitenge this year
-natamani kutokusikia blah blah za sumaye na kukataa kuwa sio mla rushwa
-natamani nisisikie visingizio vya wanafunzi kufeli kuwa ni madaraja kwa mwaka huu
-natamani bunge la mwaka ujao lisiwe na spika huyu huyu ,ish sijui ndo nshakuwa mhaini?
-natamani nisisikie habari za watu kuuana sababu ya mapenzi,waachane tu kirohho safi kwani nini bana!imekuwa sukari hiyo au sabuni kuwa inaisha?
-natamani nisisikie miziki ya kwaito kwenye harusi,sijui itakuja ipi mengine!aaargh
mweee natamani vitu vingiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ah !
thanks kwa kunisaidia pa kusemea
una akili sana wewe
wishing yu a HAPPY NEW YEAR rafiki!
 
  1. Lukuvi..hili jina nimelichoka..duh natamani apewe ubalozi kama yule mama batilda buruhani..nilimchoka na wish yangu ikatimia
  2. muungano...nimeuchoka natamani uvunjike
  3. kanga moja..hili kundi natamani watiwe segerea wote..nimewachoka
  4. Malawi..nimewachoka na mgogoro wa kung'ang'ania ziwa..bora tupigane vita lijulukane moja.
  5. Jukwaa la siasa JF..nimelichoka...limevamiwa na washabiki wa watu binafsi wanaolipwa kushinda mtandaoni kuzusha na kutukana..limeshusha hadhi ya JF ..bora lifungwe mwaka 2014 na lianzishwe JUKWAA LA MASHAURI YA KIUCHUMI ili tuishauri serikali mambo muhimu ya kiuchumi kuliko ushabiki wa kitoto

ni hayo kwa sasa
 
mie nimechoka kulala, nataka 2014 forward niwe nafanya kazi 24hrs nikitoka kazini baada ya kuwa na familia nahamia kazi za nyumbani kisha naangalia movie na kazi za kompyuta hadi asubuhi mduara unaanza tena, nimechoka kulala aisee
 
mi kwa kweli 2014 sitaki kusikia haya

-acting za kova na mabindukia yake ITV
- sredi za kuchunwa na kupigwa vibuti JF
-natamani nisisikie makorokocho ya wasanii kwenye magazeti ya shigongo yani sijui nafanyaje hili
-natamani nisisikie miss tanzania inaandaliwa mwaka 2014 nimelichoka
-natamani kamati ya olimpiki isiende urusi mwaka huu,namaanisha kamati sio wachezaji
-natamani habari za michezo redio one zisitangazwe na maulid kitenge this year
-natamani kutokusikia blah blah za sumaye na kukataa kuwa sio mla rushwa
-natamani nisisikie visingizio vya wanafunzi kufeli kuwa ni madaraja kwa mwaka huu
-natamani bunge la mwaka ujao lisiwe na spika huyu huyu ,ish sijui ndo nshakuwa mhaini?
-natamani nisisikie habari za watu kuuana sababu ya mapenzi,waachane tu kirohho safi kwani nini bana!imekuwa sukari hiyo au sabuni kuwa inaisha?
-natamani nisisikie miziki ya kwaito kwenye harusi,sijui itakuja ipi mengine!aaargh
mweee natamani vitu vingiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ah !
thanks kwa kunisaidia pa kusemea
una akili sana wewe
wishing yu a HAPPY NEW YEAR rafiki!


we umechoshwa na mengi aisee
hadi kwaito? lol
ila spika naona amechokwaa hadi basi.
 
  1. Lukuvi..hili jina nimelichoka..duh natamani apewe ubalozi kama yule mama batilda buruhani..nilimchoka na wish yangu ikatimia
  2. muungano...nimeuchoka natamani uvunjike
  3. kanga moja..hili kundi natamani watiwe segerea wote..nimewachoka
  4. Malawi..nimewachoka na mgogoro wa kung'ang'ania ziwa..bora tupigane vita lijulukane moja.
  5. Jukwaa la siasa JF..nimelichoka...limevamiwa na washabiki wa watu binafsi wanaolipwa kushinda mtandaoni kuzusha na kutukana..limeshusha hadhi ya JF ..bora lifungwe mwaka 2014 na lianzishwe JUKWAA LA MASHAURI YA KIUCHUMI ili tuishauri serikali mambo muhimu ya kiuchumi kuliko ushabiki wa kitoto

ni hayo kwa sasa

Lukuvi apewe ubalozi aisee
kachoosha hadi basi
 
pia nimechoka kulipwa mshahara nataka nipewe posho kila ninapoenda kazini kama posho za wabunge na si kusubiri mwisho wa mwezi, siku nisipokuja kazini nisipewe posho.
 
- Nimechoka tena si kidogo na staki kusikia.......Kashfa za kidini na udini, tena hasa humu JF.

- Nimechoka na sitaki kusikia mafunzo ya kuchuna mabuzi au utegemezi kwa Wanaume 100% iwe humu JF ama kwingineko, its high time sasa Wanawake kufundishana namna ya kutafuta pesa halali.

- Mgogoro wa Chadema sasa uishe tujadili mengine ya msingi.

- Sitaki kusikia 2014 Viongozi wantoa kauli kama wamekurupushwa kutoka usingizini.

- Nimechoka kusikia stori za 'tigo', huu mtandao wa mawasiliano tuuache upumuwe.

-Nimechoka kusikia madai ya Zanzibar inamezwa au kutawaliwa na Tanganyika wakati wana njia zote za kujitoa kwenye Muungano............waondoke tujadili ya kwetu Tanganyika. Na hapa inapokuja serikali ya Tanganyika sitaki kusikia kuna fungu la pesa linasomesha Mzanzibari au kuna Mzanzibari anafaidi asivyovitafuta. Si hawamtaki mume!! watafute namna ya kuishi.
 
Vitu gani vilikuchosha mno
kuvisikia na
unatamani usivisikie tena mwaka 2014
upate tu break ya kuvisikia?

mimi najaribu orodhesha binafsi ambavyo natamani
nisivisikie.....kabisa ikiwezekana..

1. Mwigulu Nchemba hili jina limenichosha kabisa kulisikia
kama akiteuliwa ubalozi hivi huko New Zealand hivi itakuwa safi kwa
kweli..

2.Mgogoro wa CHADEMA na Zitto ..natamani uishe
kwa uamuzi wowote hilo tujadili mengine

3. Mpira wa fitina ..mara Rage sijui nini,mara ukabila TFF
wakati wenzetu mwaka huu wako Brazil kwenye World Cup..

4.Threads za punyeto JF....dah kwa kweli hili limetosha now
tusha jadili na kushauri,mwingine mwenye tatizo ajaribu tu ku search..

5.Wema Sepetu....its time huyu aolewe na azae watoto sasa
aanze kuishi her age ...sio katoto tena..

6.Diamond.. natamani nisikie nyimbo zake tu..
mengine ikibidi nisisikie...yamenichosha masikio..enough sasa

7.Bongo movie...hivi lini tutasikia movie ya ukweli?
yenye actors wa nje na ndani ikibidi?

mengine ongezeeni....


snowhite

King'asti
Ennie

Kaunga
EMT
Dark
City

Kasinde
Heaven on
Earth

Mtambuzi

platozoom
Power to the People

Nimechoka kusikia, 'natafuta mchumba JF'
Nichoka kusikia, 'weka picha'.
 
Last edited by a moderator:
pia nimechoka kulipwa mshahara nataka nipewe posho kila ninapoenda kazini kama posho za wabunge na si kusubiri mwisho wa mwezi, siku nisipokuja kazini nisipewe posho.
wewe huntakii mema wewe.hasa hiyo statement ya mwisho uuuuuuwih
 
mi kwa kweli 2014 sitaki kusikia haya

-acting za kova na mabindukia yake ITV
- sredi za kuchunwa na kupigwa vibuti JF
-natamani nisisikie makorokocho ya wasanii kwenye magazeti ya shigongo yani sijui nafanyaje hili
-natamani nisisikie miss tanzania inaandaliwa mwaka 2014 nimelichoka
-natamani kamati ya olimpiki isiende urusi mwaka huu,namaanisha kamati sio wachezaji
-natamani habari za michezo redio one zisitangazwe na maulid kitenge this year
-natamani kutokusikia blah blah za sumaye na kukataa kuwa sio mla rushwa
-natamani nisisikie visingizio vya wanafunzi kufeli kuwa ni madaraja kwa mwaka huu
-natamani bunge la mwaka ujao lisiwe na spika huyu huyu ,ish sijui ndo nshakuwa mhaini?
-natamani nisisikie habari za watu kuuana sababu ya mapenzi,waachane tu kirohho safi kwani nini bana!imekuwa sukari hiyo au sabuni kuwa inaisha?
-natamani nisisikie miziki ya kwaito kwenye harusi,sijui itakuja ipi mengine!aaargh
mweee natamani vitu vingiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ah !
thanks kwa kunisaidia pa kusemea
una akili sana wewe
wishing yu a HAPPY NEW YEAR rafiki!

Nimechoka kuona Wangoni wanacheza ngoma ya mganda huku wamevaa kaptura na shati kama Wanafunzi au askari wa kikoloni lol!!:hand:😛eace:😛eace:😛eace:😛eace:😛eace:
 
Back
Top Bottom