snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,422
- 25,324
Ahahahaha una bahati uko mbaliNimechoka kuona Wangoni wanacheza ngoma ya mganda huku wamevaa kaptura na shati kama Wanafunzi au askari wa kikoloni lol!!:hand:😛eace:😛eace:😛eace:😛eace:😛eace:
Ahahahaha una bahati uko mbaliNimechoka kuona Wangoni wanacheza ngoma ya mganda huku wamevaa kaptura na shati kama Wanafunzi au askari wa kikoloni lol!!:hand:😛eace:😛eace:😛eace:😛eace:😛eace:
Diamond Penny na Wema nilichoka kuwasikia habari zao!!!!!
wanaume kuwaua wapenzi wao nadhan this year ilikuwa juu
hasa baada ya ishu ya Ufoo
Nimechoka kuumia juu yako. 2014 navunja ukimya (baada ya Discovery yangu kuingia bandarini).
tawile baba paroko.Nimechoshwa na thread za vivulana kulia lia kila uchao....
Inaonekana vibinti viliwazidi "akili" vivulana mwaka huu
Sipendi kusikia tena hizi kelele mwakani
Nataka kusikia mabinti wakija hapa na kusema wamechoshwa na libeneke la nguvu
Sitaki kusikia binti kaja hapa na kusema haridhishwi!!!!!!!!
tawile baba paroko.
Nimechoka kusikia, 'natafuta mchumba JF'
.
nimechoka kuchokozana na hamisi kishindindo aka Nyani Ngabu, .
Naomba usinipe dharula leo kwenye misa ya mkesha wa mwaka mpya
Uje tafadhali......!!!!
Mi nlizani utasema umechoka kuramba koni kumbe wapi bana....bado unapenda!
Huu mwaka mwishon mwishon umekuwa mbebs sanaNimechoshwa na thread za vivulana kulia lia kila uchao....
Inaonekana vibinti viliwazidi "akili" vivulana mwaka huu
Sipendi kusikia tena hizi kelele mwakani
Nataka kusikia mabinti wakija hapa na kusema wamechoshwa na libeneke la nguvu
Sitaki kusikia binti kaja hapa na kusema haridhishwi!!!!!!!!
ntakuja baba paroko, leo ni kuabudu mwanzo mwisho mpaka mungu aseme YATOSHA!
UWIIIIII!! unazidi kunichosha ujue, na sikujibu wala nini. kwedraaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!
najitolea kuwa mwanakamati
Ndio maana nakupendaga...lol!!!!!
achana na koni wewe. hamia kwenye hogo la jang'ombe
halafu wewe, mahogo ya nini bana mwenzio nikomae ngozi?