Ndio michezoMm nilienda kulipia umeme ndio nikaona dada analalamika so niweke number ya mita nitapata wapi
Ukiwekewa mita unanunua umeme wa karibia elfu 50 wanakata pesa.Kwanini ununue mita? Mita haizwi mteja anapaswa kulipia kwa kufata taratibu na sisi tutamfungia mita.Tafadhali toa ushirikiano nasisi tutaweka taarifa kamili hapa ili kuonyesha ukweli wa malalamiko haya.
Ndio michezo
Ukiwekewa mita unanunua umeme wa karibia elfu 50 wanakata pesa.