Vilio kwa Tanesco vinazidi kuwa vingi kwakuwa tunakaa kimya, sasa umefika muda wa kuwafichua

Kufika ofisini ni wazo jema lakini wengi tunaishi mbali na ofisi zenu.
Nawashauri muweke ofisi ndogo kila kata.

Hata hivyo ingefaa kila kijiji muwe na wakala au mwakilishi wenu hata kama hamkumuajiri.

Utaratibu wa sasa ni mgumu.
Mko mbali na wateja wenu.
Wakaribieni.

Igeni mifano ya benki.
Kuwe na system dunia ya leo ni technology ndio inafanya kaz...
1: una apply kupata umeme online..unapewa form unajaza
2: unapewa namba ya maombi yako na unaona wangap wametangulia.
3: siku moja kabla unapewa alert ya kutembelewa na surveyor..unapanga ratiba zako
Yaan mtiririko unakuwa hivyo...sio mfumo huu wa kushtukizana
 
TANESCO huyu wa humu inaonekana ana busara na customers skills tofauti na Tanesco wa kitaa..., nashauri Tanesco wa kitaa akizingua chukua jina lake mshitaki kwa TANESCO wa humu..., unless otherwise wote ni mmoja ila akiwa huku anakuwa mstaarabu
Ahsante sana tunaendelea kuboresha hakika mtafurahia huduma zetu
 
Tunashukuru kwa taarifa, kwa aina ya swala lako unashauriwa kufika ofisini au kutoa taarifa kamili zitakazotusaidia kukupatia ufafanuzi kama jina, eneo, wilaya, namba ya mita , namba ya simu na tatizo.

Aidha huu utaratibu upo tunapokuta mita ambayo haikufata utaratibu wa kutoka TANESCO kwenda kwa mteja mteja anawajibika kutupatia taarifa zitazosaidia uchunguzi wa uhalali wake.
na kuhusu kulipishwa faini kwa mita yenye hitilafu ambayo ilishatolewa taarifa kwenu?
 
Kwenye mitando mnajitahidi kujibu ila kwenye uharisia ni zero jaribuni kufanya mkutano na wananchi muone kama hamjapigwa mawe,kwa mfano Tanesco ya pale Chanika magengeni ndio hovyo kabisa
Asante kwa kulisema hilo Mungu akubariki magengeni ni magengeni kweli ovyo kabisa yaani basi kama una hela unatandaza solar na control house ya umeme unaachana na tanesco kabisa
 
Waziri Wa Nishati
Anapita Humu, Huyu Anayeendesha Account Ya Tanesco Hapa JF Anatakiwa Apandishwe Cheo, Na Cheti Cha Pongezi.


Pamoja Na Madongo Humu Ila Yupo Live
Yapo Makampuni, Mashirika Tele Hapa Yamejiunga Tu Hawajibu Lolote Hata Kuko~Comment Kama Tanesco
Wanaogopa Sana
 
Waziri Wa Nishati
Anapita Humu, Huyu Anayeendesha Account Ya Tanesco Hapa JF Anatakiwa Apandishwe Cheo, Na Cheti Cha Pongezi.


Pamoja Na Madongo Humu Ila Yupo Live
Yapo Makampuni, Mashirika Tele Hapa Yamejiunga Tu Hawajibu Lolote Hata Kuko~Comment Kama Tanesco
Wanaogopa Sana
Ahsante sana sana mpendwa mteja wetu
 
Vigezo ni matumizi yako, hakuna gharama kwa waliokidhi vigezo
Nafurahia ushirikiano na uharaka wako wa kujibu.
Natumaini kuwa matumizi unamaanisha uniti.
Ni uniti ngapi na kwa muda gani.

Unaeleza vigezo lakini kwenye ufafanuzi umeweka jambo moja tu la matumizi.
Kuna jingine ili viwe vigezo?
 
Waziri Wa Nishati
Anapita Humu, Huyu Anayeendesha Account Ya Tanesco Hapa JF Anatakiwa Apandishwe Cheo, Na Cheti Cha Pongezi.


Pamoja Na Madongo Humu Ila Yupo Live
Yapo Makampuni, Mashirika Tele Hapa Yamejiunga Tu Hawajibu Lolote Hata Kuko~Comment Kama Tanesco
Wanaogopa Sana
Kweli kabisa.
Kama kuna wafia dini basi huyu ni mfia Shirika.
 
Nafurahia ushirikiano na uharaka wako wa kujibu.
Natumaini kuwa matumizi unamaanisha uniti.
Ni uniti ngapi na kwa muda gani.

Unaeleza vigezo lakini kwenye ufafanuzi umeweka jambo moja tu la matumizi.
Kuna jingine ili viwe vigezo?
Tunaangalia wastani wa manunuzi ( sio matumizi) kwa miezi mitatu mfululuzo, Chini ya unit 75 ni Tarif D1 na zaidi za 75 hadi 75000 ni T1. Haya yote ni matumizi ya nyumbani
 
Kuwe na system dunia ya leo ni technology ndio inafanya kaz...
1: una apply kupata umeme online..unapewa form unajaza
2: unapewa namba ya maombi yako na unaona wangap wametangulia.
3: siku moja kabla unapewa alert ya kutembelewa na surveyor..unapanga ratiba zako
Yaan mtiririko unakuwa hivyo...sio mfumo huu wa kushtukizana
Coming soon, kaa mkao wa kupokea huduma mpya na nzuri kutoka TANESCO,
 
Tunaangalia wastani wa manunuzi ( sio matumizi) kwa miezi mitatu mfululuzo, Chini ya unit 75 ni Tarif D1 na zaidi za 75 hadi 75000 ni T1. Haya yote ni matumizi ya nyumbani
Asante sana kwa maelezo yako.

Nawashauri utaratibu huu muuweke kidijitali.
Sioni ulazima wa kwenda kupanga foleni ofisini.
Tafadhali badilikeni.
 
Asante sana kwa maelezo yako.

Nawashauri utaratibu huu muuweke kidijitali.
Sioni ulazima wa kwenda kupanga foleni ofisini.
Tafadhali badilikeni.
Tunalifanyia kazi na utekelezaji utafanyika muda muafaka mkuu
 
Kweli kabisa.
Kama kuna wafia dini basi huyu ni mfia Shirika.
Kuna Mashirika Tele, Kampuni Wao Wanafungua Account Basi Hawajibu Lolote Ila Tanesco Yupo Live Bila Kujari Hali

JF Kuna Viongozi Wakuu Wa Serikali, Wengi Waoga Kujibu Hoja Hata Ku~Log in Tu Maana Wataonekana Haa Haa
 
TANESCO

Kuhusu kua mnasema nyie ni watoa huduma kwa wateja sioni kama ni hakika kama kweli mnaweza kutoa huduma.

Lamda kutoa huduma za kiushauri kama vile daktari hospitaln kwa muathirika ambae amejikatia tamaa ya kuishi.

“Hilo nyinyi mnaweza” tena nawapongeza hongereni.

Linapo kuja swala la mtu kutaka huduma kituo chochote cha Tanesco,nijuavyo Mimi kila hatua mtu au raia atapitia hapo ofisini ina mtu wake.

Kuna usemi unasema “mtu anakula na kwake “

Sasa ili umjue mtoa huduma yeyote pale katk ofisi ya Tanesco, niladhima acheze vizuri na nafasi yake

Ukifika pale katk ofisi zao utapewa huduma kwa namna umefika na unahitaji vipi,na wahudumu wengi wa Tanesco wamelemaa hawaja changamka

Basi ili ujue kua wahudumu wale wanachangamka nenda ukiwa umeenda na kweli unataka huduma kweli Kweli
Sio siri Tanesco kuna matabaka mbalimbali ambayo huduma zao hutokana na namna umefika pale Na unapendelea vipi hiyo shida yako.


Tanesco wana sema ukishalipia tu usubiri siku 30 za kazi ,hapa unaweza shangaa sana na sijui shida nini lakn naweza sema umasikini Ndio shida kubwa makazini mwetu
Unaweza lipia sawa na mtu wote mkasubiria hizo siku 30 lakni mwenzio ulie lipa nae baada ya wiki mbili kasha fungiwa

Twende katik kuomba fomu Na kumpata huyo savei ni shidda nyingine.

Nakumbuka ili kua hivi mchongo unaanza kwa walinzi ,ukifika wanakuuliza umefatilia nini

Utawapa majib kuomba form ,basi wao pale wana ma kontrakta wao wa kuajazia form wateja watakao kuja na wapo pale nje .


Ina maana wanakula nao ishu kila mteja mmoja wanapata asilimia kusudi ili wapate maji,kontrakta ndie anaeruhusiwa kwenda kuchukua form na sio Mimi Mteja.

Nitakaa nje pale nitampa kila kitu changu kama vile picha ramani ya mchoro wapi naishi na kadhalika.

Wakati mwingine,wakati mteja yupo nje hajui ataanzia wapi wanakudaka ,

Watakuuliza shida nini utampa maelekezo,kisha anakwambia humu ndani wanazingua sana leta vitu vyako nikakufanyie haraka we tulia nje hapo.


Form ni bure ina kweli imeandikwa haiuzwi lakni utaambiwa hii inagarim 45000 pamoja na kukujazia kabisa ,ukishindwa kuona hiyo pesa ni ndefu watakuuliza una shingap tukufanyie haraka maana Mimi ninae savey wa haraka leo leo anazikusany kesho anakuja kwako kucheki saiti.

Sasa wewe mteja ukiskia hivyo unasema we jaza ipo 25 ndugu nisaidie nimeacha mambo yangu Mimi.

Anatokea mwenzio mhanga kama Mimi anasema Tanesco siku hizi wasumbuf sana
Teari unahalalisha kile ulichotoa pale

Anamaliza kujaza form kontrakta pale anakuuliza kuna mambo mawili hapa unakusanya au unabaki nayo form kusubiri savey binafs huyo ni wa haraka hata sasa hivi unampata ni wewe tu ulivyo jipanga

Ukimpata huyu kesho unalipia kabisa unasubiri foleni ya kuja kufungiwa umeme.

Sasa kwa picha hii hakuna anaetaka kupata tabu na manyanyaso ya mambo kua mengi il hali kumbe ukiwa na pesa yako yanakua mepesi

Kwaiyo basi watendaji wote wa Tanesco kutoka ngazi zote ni watu wa dili hakuna hata wa kumuamini katk shida kama munaweza kututalia

Kupata umeme Tanesco ni sawa Na kupata na fasi ya kujiunga Na jeshi,ukiwa na ndugu wako Tanesco au hata kuna jamaa mnaelewana vizuri wa Tanesco basi ni wewe tu kupata huduma kwa haraka.


Na hili shirika litashindwa kujiendeleza vizur kwa sababu ya kutopata ushindani.

Tanesco kiujumla si shirika ambalo lipo makini na nini wanafanya na wanataka nn siku moja wawe wapi kihuduma zao.

Tanesco ni taasisi flani inaingiza pesa ndefu lakini zinapotea kwa masavey na makontrakta

Kifupi vishoka ndio wanaongoza mfumo Mzima wa mambo namna gani yaende pale Tanesco.

Sijui humu mtatoa huduma gani ambayo leo kesho itafanya kazi.

Ni seme tu kama niporojo tupingane kubishana sijui nn na nn haileti maana humu
Ila ukweli inaboesha sana


Huduma za Tanesco uwe Na pesa utazifurahia,wanao lalamika wametaka huduma ambazo ziende kama vile zimepangwa,kumbe ni geresha tu Na kusumbuana kutofanya mambo mengine

Kiuhalali ukisubiria huduma ya kupata umeme unaweza kukaa hata mwaka
 
TANESCO

Kuhusu kua mnasema nyie ni watoa huduma kwa wateja sioni kama ni hakika kama kweli mnaweza kutoa huduma.

Lamda kutoa huduma za kiushauri kama vile daktari hospitaln kwa muathirika ambae amejikatia tamaa ya kuishi.

“Hilo nyinyi mnaweza” tena nawapongeza hongereni.

Linapo kuja swala la mtu kutaka huduma kituo chochote cha Tanesco,nijuavyo Mimi kila hatua mtu au raia atapitia hapo ofisini ina mtu wake.

Kuna usemi unasema “mtu anakula na kwake “

Sasa ili umjue mtoa huduma yeyote pale katk ofisi ya Tanesco, niladhima acheze vizuri na nafasi yake

Ukifika pale katk ofisi zao utapewa huduma kwa namna umefika na unahitaji vipi,na wahudumu wengi wa Tanesco wamelemaa hawaja changamka

Basi ili ujue kua wahudumu wale wanachangamka nenda ukiwa umeenda na kweli unataka huduma kweli Kweli
Sio siri Tanesco kuna matabaka mbalimbali ambayo huduma zao hutokana na namna umefika pale Na unapendelea vipi hiyo shida yako.


Tanesco wana sema ukishalipia tu usubiri siku 30 za kazi ,hapa unaweza shangaa sana na sijui shida nini lakn naweza sema umasikini Ndio shida kubwa makazini mwetu
Unaweza lipia sawa na mtu wote mkasubiria hizo siku 30 lakni mwenzio ulie lipa nae baada ya wiki mbili kasha fungiwa

Twende katik kuomba fomu Na kumpata huyo savei ni shidda nyingine.

Nakumbuka ili kua hivi mchongo unaanza kwa walinzi ,ukifika wanakuuliza umefatilia nini

Utawapa majib kuomba form ,basi wao pale wana ma kontrakta wao wa kuajazia form wateja watakao kuja na wapo pale nje .


Ina maana wanakula nao ishu kila mteja mmoja wanapata asilimia kusudi ili wapate maji,kontrakta ndie anaeruhusiwa kwenda kuchukua form na sio Mimi Mteja.

Nitakaa nje pale nitampa kila kitu changu kama vile picha ramani ya mchoro wapi naishi na kadhalika.

Wakati mwingine,wakati mteja yupo nje hajui ataanzia wapi wanakudaka ,

Watakuuliza shida nini utampa maelekezo,kisha anakwambia humu ndani wanazingua sana leta vitu vyako nikakufanyie haraka we tulia nje hapo.


Form ni bure ina kweli imeandikwa haiuzwi lakni utaambiwa hii inagarim 45000 pamoja na kukujazia kabisa ,ukishindwa kuona hiyo pesa ni ndefu watakuuliza una shingap tukufanyie haraka maana Mimi ninae savey wa haraka leo leo anazikusany kesho anakuja kwako kucheki saiti.

Sasa wewe mteja ukiskia hivyo unasema we jaza ipo 25 ndugu nisaidie nimeacha mambo yangu Mimi.

Anatokea mwenzio mhanga kama Mimi anasema Tanesco siku hizi wasumbuf sana
Teari unahalalisha kile ulichotoa pale

Anamaliza kujaza form kontrakta pale anakuuliza kuna mambo mawili hapa unakusanya au unabaki nayo form kusubiri savey binafs huyo ni wa haraka hata sasa hivi unampata ni wewe tu ulivyo jipanga

Ukimpata huyu kesho unalipia kabisa unasubiri foleni ya kuja kufungiwa umeme.

Sasa kwa picha hii hakuna anaetaka kupata tabu na manyanyaso ya mambo kua mengi il hali kumbe ukiwa na pesa yako yanakua mepesi

Kwaiyo basi watendaji wote wa Tanesco kutoka ngazi zote ni watu wa dili hakuna hata wa kumuamini katk shida kama munaweza kututalia

Kupata umeme Tanesco ni sawa Na kupata na fasi ya kujiunga Na jeshi,ukiwa na ndugu wako Tanesco au hata kuna jamaa mnaelewana vizuri wa Tanesco basi ni wewe tu kupata huduma kwa haraka.


Na hili shirika litashindwa kujiendeleza vizur kwa sababu ya kutopata ushindani.

Tanesco kiujumla si shirika ambalo lipo makini na nini wanafanya na wanataka nn siku moja wawe wapi kihuduma zao.

Tanesco ni taasisi flani inaingiza pesa ndefu lakini zinapotea kwa masavey na makontrakta

Kifupi vishoka ndio wanaongoza mfumo Mzima wa mambo namna gani yaende pale Tanesco.

Sijui humu mtatoa huduma gani ambayo leo kesho itafanya kazi.

Ni seme tu kama niporojo tupingane kubishana sijui nn na nn haileti maana humu
Ila ukweli inaboesha sana


Huduma za Tanesco uwe Na pesa utazifurahia,wanao lalamika wametaka huduma ambazo ziende kama vile zimepangwa,kumbe ni geresha tu Na kusumbuana kutofanya mambo mengine

Kiuhalali ukisubiria huduma ya kupata umeme unaweza kukaa hata mwaka
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja
 
Naona hapa ndio mahali naweza kupata maelezo, kwa TANESCO mkoa wa mwanza pale Nyakato nguzo zinakuja lini jamani maana toka mwezi wa nane niliambiwa zimeisha na zitakuja hivi karibuni lakini mpaka sasa kimya! Kulikoni
 
Naona hapa ndio mahali naweza kupata maelezo, kwa TANESCO mkoa wa mwanza pale Nyakato nguzo zinakuja lini jamani maana toka mwezi wa nane niliambiwa zimeisha na zitakuja hivi karibuni lakini mpaka sasa kimya! Kulikoni
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja
 
Sijui Tanesco kuna shida gani , Katika shirika bovu tangu nizaliwe lenye huduma muhimu kwa binadamu ni hili la Tanesco nimetokea kulichukia na imenifanya kumukumbuka Magufuri, zaidi ya Miezi 6 nimeshalipia bila umeme, nimeenda Tanesco mpaka nikifika Nyakato nahisi vibaya juu ya utawala wa mama,yani kero kero kero kero kero kero
 
Back
Top Bottom