Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,902
- 95,407
Ni vyema angejificha kuwa yeye siyo pandikizi la Tanganyika
Uko sahihi, lakini kingine ni mbinu ya kumu win JPM ili amwamini na amfanye mrithi wake hapo 2025.Ana create fear ili walioko chini yake wasilete za kuleta kwa kuhofia kupoteza vyeo. Kisha itakuwa mwendo mdondo kama huku.
Uko sahihi, lakini kingine ni mbinu ya kumu win JPM ili amwamini na amfanye mrithi wake hapo 2025.
Si unajua itakuwa ni zamu ya upande ule wa pili?(Ingawa haitambuliki kikatiba)
Zanzibar atapelekwa Prof Mbarawa, huyo Hussein Mwinyi analetwa baraAfu zanzibar watamwacha nani? Ikiyoea hivyo naweza kusema uzao wa tumbo la mama mwinyi utakuwa umebarikiwa. Ilibidi wawe tu machifu au wafalme
Sionii tatizo kuiga mazuri ya wengine.Ni vyema angejificha kuwa yeye siyo pandikizi la TanganyikaView attachment 1629771View attachment 1629772
Anaiga mazuri yapi?Unaweza kuthibitisha kuwa kutumbua watumishi wa umma ni jambo zuri?Sionii tatizo kuiga mazuri ya wengine.
Hapo mnazi mmoja wanaopajua watasema afadhali walivyotumbuliwa ikiwa tu imethibitika kuwa HAO WALIOTOLEWA NDIO SABABU YA UJINGA UNAOFANYIKA PALE
Kibaya kipi kafanya hapo mkuu?Ni vyema angejificha kuwa yeye siyo pandikizi la TanganyikaView attachment 1629771View attachment 1629772
Unaweza kuthibitisha kuwa kutumbua wafanyakazi wa umma huwa inaongeza productivity pamoja na ufanisi kazini?Kibaya kipi kafanya hapo mkuu?
Unataka usibitisho upi mkuu, inamaana we huoni, Kuna chama mwaka huu wa uchaguzi kimezungumzia maswala ya ethics na ufisadi kwenye kampeni zakeUnaweza kuthibitisha kuwa kutumbua wafanyakazi wa umma huwa inaongeza productivity pamoja na ufanisi kazini?
Basi ni jambo baya mkuu.Anaiga mazuri yapi?Unaweza kuthibitisha kuwa kutumbua watumishi wa umma ni jambo zuri?
Mara nyingine sio kubish tu bila sababu kwhyo kama mtu anafanya upupu aachwe aendeleze huo umavi wake.... Bro sio kila kitu kupinga tuu mengine yanafanyika kwa wema tuu na usidhani amefanya tu bila kuwa na ushid ya upuuzi wa hao aliowatoa....Unaweza kuthibitisha kuwa kutumbua wafanyakazi wa umma huwa inaongeza productivity pamoja na ufanisi kazini?
**** ubya kwa mzanzibari kuwa mbunge bara... Acha ulofa bro tumia akili kufikir sio kinyeombunge wa zamani wa Mkuranga huku bara