4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 5,979
- 6,782
Rais wa Zambia ni shida Sana nafasi Kama hizi anazitumia KWa wivu mkubwa sanaKiongozi yeyote anapopata upenyo wa kuhudhuria Mikutano muhimu kama unaoendelea huko Scotland , ni vema akatumia wasaa huo muhimu wa kukutana na Wadau wa Maendeleo , ili wasaidie Mkwamo wa Nchi yake .
Uko Ulaya halafu unapambana kukutana na Chakwera ambaye nchi yake imekongoroka unataka akusaidie nini , Demokrasia ? mbona kwenu mnaisigina ?
Safari za viongozi ni vema zikawa na tija basi .
View attachment 1995179