Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,986
- 156,264
Ukiwa na changamoto yoyote kwenye basi, wasiliana na LATRA 0800110020.
MAGUFULI BUS TERMINAL 0734450010.
Watu wengi au abiria bado hatuna elimu ya kutofautisha haya madaraja ya mabasi licha ya mamlaka kupanga nauli kulingana na vyombo husika bado tunahitaji uelimishwaji wa hali ya juu. Leo ungana nami kuna kitu kipya utakipata
Mabasi yapo kwenye madaraja tofauti kulingana na vigezo vinavyotumika na mamlaka kutoa leseni ya usafirishaji lakini leo tuangalie haya madaraja matatu (3) ambayo yamezoeleka hapa nchini kwetu Tanzania
1. Daraja la Kawaida (Ordinary Bus)
2.Daraja la Kati (Semi- Luxury Bus )
3.Daraja la Kifahari (Luxury Bus)
Vifuatavyo ni Baadhi ya Vigezo Unavyoweza Kutumia Kutofautisha Mabasi Kulingana na Madaraja Yake
(I) Kigezo: Ukomo wa Urefu wa Basi
Daraja la Kawaida: mita 12.5
Daraja la Kati: mita 12.5
Daraja la Kifahari: mita 12.5
(ii) Kigezo: Ukomo wa Upana wa Basi
Daraja la Kawaida: mita 2.6
Daraja la Kati: mita 2.6
Daraja la Kifahari: mita 2.6
(iii) Kigezo: Ukomo wa Kimo (Urefu wa Kwenda Juu)
Daraja la Kawaida: mita 4.6
Daraja la Kati: mita 4.6
Daraja la Kifahari: mita 4.6
(iv) Kigezo: Uwezo wa Kubeba Watu(Abiria)-Jumuisha na Dereva (Seating Capacity)
Daraja la Kawaida: 65
Daraja la Kati: 60
Daraja la Kifahari: 51/60
(v) Kigezo: Hali ya Mahitaji ya Viti
Daraja la Kawaida: Endapo viti vipo kwenye uelekeo mmoja umbali wa egemeo kati ya kiti cha mbele na nyuma usizidi milimita 680 na kwa hapo si lazima kiti cha abiria kiwe cha kurekebishika (adjustable)
Daraja la Kati: Viti vyote vya abiria lazima viwe vinarekebishika (adjustable) na endapo viti vipo kwenye uelekeo mmoja umbali wa egemeo kati ya kiti cha mbele cha abiria na nyuma yake usipungue milimita 690
Daraja la Kifahari: Sawa na daraja la Kati
(vi) Kigezo: Mpangilio wa Viti Kwa Ukubwa
Daraja la Kawaida: 3x2 au 2x2 (Yaani mstari mmoja wa viti uwe na vitatu vitatu na mwingine uwe na viwili viwili
Daraja la Kati: 2x2 (Yaani kila mstari kwenye basi pande zote mbili ziwe na viti viwili viwili
Daraja la Kifahari: Sawa na Daraja la Kati
(vii) Kigezo: Mikanda Kwenye Viti
Daraja la Kawaida: Viti vyote vya abiria pamoja na kiti cha dereva viwe na mkanda wa kutumia kwa ajili ya usalama
Daraja la Kati:Sawa na Daraja la Kawaida
Daraja la Kifahari: Sawa na Daraja la Kawaida
(viii) Kigezo:Taa za Ndani
Daraja la Kawaida: Angalau lazima ziwepo taa 3 za kutumia na ziwekwe umbali sawa
Daraja la Kati: Angalau kwenye kila mpangilio wa siti za abiria kuwepo taa juu ya kuangaza mwanga
Daraja la Kifahari: Sawa na Daraja la Kati
(ix) Kigezo: Kiyoyozi
Daraja la Kawaida: Si lazima kiwepo
Daraja la Kati:Si lazima kiwepo
Daraja la Kifahari: Lazima Kiyoyozi Kiwepo
(x) Kigezo: Redio na Kaseti ya Redio
Daraja la Kawaida:Ni hiari kuwepo (Si lazima)
Daraja la Kati: Lazima viwepo
Daraja la Kifahari:Sawa na Daraja la Kati
(xi) Kigezo: Televisheni (TV)
Daraja la Kawaida: Hakuna TV /Ni hiari
Daraja la Kati: Lazima TV iwepo
Daraja la Kifahari: Sawa na Daraja la Kati
(xii) Kigezo: Microphone/Kipaza Sauti
Daraja la Kawaida:Muhimu Kiwepo
Daraja la Kati: Muhimu Kiwepo
Daraja la Kifahari: Muhimu Kiwepo
(xiii) Kigezo: Heater (Tumezoea neno "Hita" yaani Kifaa Maalum Cha Kuchemsha/Kupasha vinywaji viwe vya moto
Daraja la Kawaida: Ni hiari kuwepo
Daraja la Kati: Ni hiari kuwepo
Daraja la Kifahari:Lazima kuwepo na Heater ya kuchemsha maji na kutengeneza vinywaji mfano kahawa, chai n.k
(xiv) Kigezo: Friji/Kifaa Maalum Cha Kugandisha
Daraja la Kawaida:Ni hiari kuwepo
Daraja la Kati: Ni hiari kuwepo
Daraja la Kifahari: Lazima kuwepo
(xv) Kigezo: Utolewaji wa Vinywaji
Daraja la Kawaida: Ni hiari
Daraja la Kati: Ni hiari
Daraja la Kifahari : Lazima kuwepo usambazaji wa vinywaji baridi
(xvi) Kigezo: Pazia Madirishani
Daraja la Ni hiari
Daraja la Kati: Muhimu Kuwepo
Daraja la Kifahari: Muhimu Kuwepo
(xvii) Kigezo: Huduma za Choo cha Ndani
Daraja la Kawaida: Hakuna huduma za choo cha ndani
Daraja la Kati: Hakuna huduma za choo cha ndani
Daraja la Kifahari: Ni Muhimu Kuwepo
MAGUFULI BUS TERMINAL 0734450010.
Watu wengi au abiria bado hatuna elimu ya kutofautisha haya madaraja ya mabasi licha ya mamlaka kupanga nauli kulingana na vyombo husika bado tunahitaji uelimishwaji wa hali ya juu. Leo ungana nami kuna kitu kipya utakipata
Mabasi yapo kwenye madaraja tofauti kulingana na vigezo vinavyotumika na mamlaka kutoa leseni ya usafirishaji lakini leo tuangalie haya madaraja matatu (3) ambayo yamezoeleka hapa nchini kwetu Tanzania
1. Daraja la Kawaida (Ordinary Bus)
2.Daraja la Kati (Semi- Luxury Bus )
3.Daraja la Kifahari (Luxury Bus)
Vifuatavyo ni Baadhi ya Vigezo Unavyoweza Kutumia Kutofautisha Mabasi Kulingana na Madaraja Yake
(I) Kigezo: Ukomo wa Urefu wa Basi
Daraja la Kawaida: mita 12.5
Daraja la Kati: mita 12.5
Daraja la Kifahari: mita 12.5
(ii) Kigezo: Ukomo wa Upana wa Basi
Daraja la Kawaida: mita 2.6
Daraja la Kati: mita 2.6
Daraja la Kifahari: mita 2.6
(iii) Kigezo: Ukomo wa Kimo (Urefu wa Kwenda Juu)
Daraja la Kawaida: mita 4.6
Daraja la Kati: mita 4.6
Daraja la Kifahari: mita 4.6
(iv) Kigezo: Uwezo wa Kubeba Watu(Abiria)-Jumuisha na Dereva (Seating Capacity)
Daraja la Kawaida: 65
Daraja la Kati: 60
Daraja la Kifahari: 51/60
(v) Kigezo: Hali ya Mahitaji ya Viti
Daraja la Kawaida: Endapo viti vipo kwenye uelekeo mmoja umbali wa egemeo kati ya kiti cha mbele na nyuma usizidi milimita 680 na kwa hapo si lazima kiti cha abiria kiwe cha kurekebishika (adjustable)
Daraja la Kati: Viti vyote vya abiria lazima viwe vinarekebishika (adjustable) na endapo viti vipo kwenye uelekeo mmoja umbali wa egemeo kati ya kiti cha mbele cha abiria na nyuma yake usipungue milimita 690
Daraja la Kifahari: Sawa na daraja la Kati
(vi) Kigezo: Mpangilio wa Viti Kwa Ukubwa
Daraja la Kawaida: 3x2 au 2x2 (Yaani mstari mmoja wa viti uwe na vitatu vitatu na mwingine uwe na viwili viwili
Daraja la Kati: 2x2 (Yaani kila mstari kwenye basi pande zote mbili ziwe na viti viwili viwili
Daraja la Kifahari: Sawa na Daraja la Kati
(vii) Kigezo: Mikanda Kwenye Viti
Daraja la Kawaida: Viti vyote vya abiria pamoja na kiti cha dereva viwe na mkanda wa kutumia kwa ajili ya usalama
Daraja la Kati:Sawa na Daraja la Kawaida
Daraja la Kifahari: Sawa na Daraja la Kawaida
(viii) Kigezo:Taa za Ndani
Daraja la Kawaida: Angalau lazima ziwepo taa 3 za kutumia na ziwekwe umbali sawa
Daraja la Kati: Angalau kwenye kila mpangilio wa siti za abiria kuwepo taa juu ya kuangaza mwanga
Daraja la Kifahari: Sawa na Daraja la Kati
(ix) Kigezo: Kiyoyozi
Daraja la Kawaida: Si lazima kiwepo
Daraja la Kati:Si lazima kiwepo
Daraja la Kifahari: Lazima Kiyoyozi Kiwepo
(x) Kigezo: Redio na Kaseti ya Redio
Daraja la Kawaida:Ni hiari kuwepo (Si lazima)
Daraja la Kati: Lazima viwepo
Daraja la Kifahari:Sawa na Daraja la Kati
(xi) Kigezo: Televisheni (TV)
Daraja la Kawaida: Hakuna TV /Ni hiari
Daraja la Kati: Lazima TV iwepo
Daraja la Kifahari: Sawa na Daraja la Kati
(xii) Kigezo: Microphone/Kipaza Sauti
Daraja la Kawaida:Muhimu Kiwepo
Daraja la Kati: Muhimu Kiwepo
Daraja la Kifahari: Muhimu Kiwepo
(xiii) Kigezo: Heater (Tumezoea neno "Hita" yaani Kifaa Maalum Cha Kuchemsha/Kupasha vinywaji viwe vya moto
Daraja la Kawaida: Ni hiari kuwepo
Daraja la Kati: Ni hiari kuwepo
Daraja la Kifahari:Lazima kuwepo na Heater ya kuchemsha maji na kutengeneza vinywaji mfano kahawa, chai n.k
(xiv) Kigezo: Friji/Kifaa Maalum Cha Kugandisha
Daraja la Kawaida:Ni hiari kuwepo
Daraja la Kati: Ni hiari kuwepo
Daraja la Kifahari: Lazima kuwepo
(xv) Kigezo: Utolewaji wa Vinywaji
Daraja la Kawaida: Ni hiari
Daraja la Kati: Ni hiari
Daraja la Kifahari : Lazima kuwepo usambazaji wa vinywaji baridi
(xvi) Kigezo: Pazia Madirishani
Daraja la Ni hiari
Daraja la Kati: Muhimu Kuwepo
Daraja la Kifahari: Muhimu Kuwepo
(xvii) Kigezo: Huduma za Choo cha Ndani
Daraja la Kawaida: Hakuna huduma za choo cha ndani
Daraja la Kati: Hakuna huduma za choo cha ndani
Daraja la Kifahari: Ni Muhimu Kuwepo