Young African
Member
- Nov 8, 2010
- 8
- 0
Kuna Baadhi Ya Mambo Nashindwa Kuyaelewa Kabisa Kwenye Mahusiano ya Kimapenzi:
1. Ni kwanini watu wakiachana, Huwa Wenza hukashifiana sana mfano; Mwanaume gane wewe? Mwanamke mwenyewe Mbaya n.k
2. Kama unampenzi wako unampenda sana, Inatokea unamtambulisha kwa Rafiki yako then msichana anatokea kumpenda sana Rafiki kuliko wewe....Unafanyaje?
3. Je msichana anapokudanganya na kulala na mwanaume mwingine ni kwamba Uwezi kazi au?:shocked:
1. Ni kwanini watu wakiachana, Huwa Wenza hukashifiana sana mfano; Mwanaume gane wewe? Mwanamke mwenyewe Mbaya n.k
2. Kama unampenzi wako unampenda sana, Inatokea unamtambulisha kwa Rafiki yako then msichana anatokea kumpenda sana Rafiki kuliko wewe....Unafanyaje?
3. Je msichana anapokudanganya na kulala na mwanaume mwingine ni kwamba Uwezi kazi au?:shocked: