Rayvanny wa jamiiForums
Senior Member
- Apr 7, 2023
- 132
- 347
Vijana wengi hatunyanyuki kiuchumi ni kwasababu tunadate na omba omba!
Unakubaliana kwa kiasi gani na kauli hii?
Unakubaliana kwa kiasi gani na kauli hii?
Umasikini wako unataka kusingia watoto wakike sasa..Vijana wengi hatunyanyuki kiuchumi ni kwasababu tunadate na omba omba!
Unakubaliana kwa kiasi gani na kauli hii?
Kooh unawatetea kaka?Umasikini wako unataka kusingia watoto wakike sasa..
We unawezaje kumpa hela ulizo zitafuta kwa jasho mtu ambae hakudaiUmasikini wako unataka kusingia watoto wakike sasa..
SureMake money first fall in love later
Serious?Kooh unawatetea kaka?
Kwani wanakulazimisha hadi uone umaskini wako ni wao wamesababisha?Kooh unawatetea kaka?
Ukiwa mjinga unampa tuu yeyote asiyekudai.We unawezaje kumpa hela ulizo zitafuta kwa jasho mtu ambae hakudai
Anajituliza vip na kibubu huwa kinajaa kila baada ya nusu saa , ivi wanawake huwa mnafikiri sie kujituliza ni jambo jepesi sanaeeeeJitafute kwanza ukishajipata mwenyewe utakuja kufuta uzi wako
Kushindwa kufanikiwa kimaisha hakuhusiani na kuhonga wanawake unaweza ukawa sio muangaji na usitoboe dogoVijana wengi hatunyanyuki kiuchumi ni kwasababu tunadate na omba omba!
Unakubaliana kwa kiasi gani na kauli hii?
Aah wapi nikishajipata nitadate na mwanamke anayejiwezaJitafute kwanza ukishajipata mwenyewe utakuja kufuta uzi wako
Si bora ungenunua sukari hiyo hela unywe zwko chai na maandaziSio kweli mkuu. Mpaka sasa mwezi unaisha nimeohonga 22k