Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 1,945
- 5,849
Ndugu zangu.
Sipo hapa kukashifu wanawake ila ukweli usemwe vijana wapone, vijana wengi wanafanya kazi ila ni masikini sana kwasababu wanadate na ombaomba.
Wanawake wamekua ombaomba sana kutwa kucha kuchezea simu , kupiga umbea saloon huku akimtumia baby wake picha kabinua makalio na kuachia kiuno wazi ili akitoka kutafuta hela ampe hicho kidogo alichopata.
Vijaa wanadate na ombaomba wanapigwa mizinga ya kila namna pasi na kuonewa huruma, vijana wanaamka saa kumi alfajiri kutafuta riziki siku inaisha wamepata elfu 5 na bado mwanamke huyo anaejiita mpenzi wake anae ishi kwao ana mlilia njaa, mara hela za kusuka, gesi imeisha, mara akanunue air force pamoja na ndugu zake vans avae apendeze huku mwanaume wake akizidi kusagika na kuhangamia kiuchumi
Vijana wanajibana sana ili kuwapa hela omba omba ambao hawamsaidii chochote zaidi ya kumpa utelezi unao mkamua nguvu zake zote na kukuacha akiwa amelegea sana, mchovu wa mwili na hela hana.
Vijana wamekua na maisha magumu sana , hawawekezi , hawana akiba kwasababu hawa madumadu, parara na nzige wamewachuna na kuwakamua kila mahali kwa kisingizio cha mwanamke matunzo. Mwaka mzima vijana wanakimbizana kutafuta hela ila huoni cha maana wanachofanya, utakuta kijana anakoma kusaka hela alafu hata kiwanja cha 10*15 hana, kitanda hakuna, hata radio hana ila anafanya kazi na hela anamalizia zote kwa mpenzi wake ambaye hana msaada wowote zaidi ya kumpa kikojoleo chake.
Vijana uchumi wao una yumba, wanaishi kwa tabu sana sababu maisha yao yamezungukwa na wanawake omba omba wasio na msaada wowote kwenye maisha yao, vijana wengine wanajitosa kusomesha wapenzi wao, kuwafungulia biashara na kuwapendezesha huku wakijisahau wao kujiendeleza kiuchumi na mwishowe wanaachika na kubaki masikini
Vijana wanateketea sana kiuchumi, wana hali mbaya mno, wanaishi kwa tabu, wanaugua hela hawana akiba hata kidogo kwa sababu wanadate na wanawake omba omba
Ndugu zangu vijana wanahangamia sana.
Sipo hapa kukashifu wanawake ila ukweli usemwe vijana wapone, vijana wengi wanafanya kazi ila ni masikini sana kwasababu wanadate na ombaomba.
Wanawake wamekua ombaomba sana kutwa kucha kuchezea simu , kupiga umbea saloon huku akimtumia baby wake picha kabinua makalio na kuachia kiuno wazi ili akitoka kutafuta hela ampe hicho kidogo alichopata.
Vijaa wanadate na ombaomba wanapigwa mizinga ya kila namna pasi na kuonewa huruma, vijana wanaamka saa kumi alfajiri kutafuta riziki siku inaisha wamepata elfu 5 na bado mwanamke huyo anaejiita mpenzi wake anae ishi kwao ana mlilia njaa, mara hela za kusuka, gesi imeisha, mara akanunue air force pamoja na ndugu zake vans avae apendeze huku mwanaume wake akizidi kusagika na kuhangamia kiuchumi
Vijana wanajibana sana ili kuwapa hela omba omba ambao hawamsaidii chochote zaidi ya kumpa utelezi unao mkamua nguvu zake zote na kukuacha akiwa amelegea sana, mchovu wa mwili na hela hana.
Vijana wamekua na maisha magumu sana , hawawekezi , hawana akiba kwasababu hawa madumadu, parara na nzige wamewachuna na kuwakamua kila mahali kwa kisingizio cha mwanamke matunzo. Mwaka mzima vijana wanakimbizana kutafuta hela ila huoni cha maana wanachofanya, utakuta kijana anakoma kusaka hela alafu hata kiwanja cha 10*15 hana, kitanda hakuna, hata radio hana ila anafanya kazi na hela anamalizia zote kwa mpenzi wake ambaye hana msaada wowote zaidi ya kumpa kikojoleo chake.
Vijana uchumi wao una yumba, wanaishi kwa tabu sana sababu maisha yao yamezungukwa na wanawake omba omba wasio na msaada wowote kwenye maisha yao, vijana wengine wanajitosa kusomesha wapenzi wao, kuwafungulia biashara na kuwapendezesha huku wakijisahau wao kujiendeleza kiuchumi na mwishowe wanaachika na kubaki masikini
Vijana wanateketea sana kiuchumi, wana hali mbaya mno, wanaishi kwa tabu, wanaugua hela hawana akiba hata kidogo kwa sababu wanadate na wanawake omba omba
Ndugu zangu vijana wanahangamia sana.