Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 98,021
- 142,920
Still, watu wanaweza ku fight back bana aaargh!Nyani
Wanavizia makundi ya vijana wale Wachache Wachache.
Pia wapo na majina ya vijana ambao wanawatafuta. Kwahiyo usiku huu ndio wanatafuta na kuwa chukua kisha kuwapiga risasi.
Watanzania tukoje sisi???