Vijana waliooa wanakwaza sana

Vijana waliooa wanakwaza sana

Liverpool VPN mi nakuelewa sana na hizi mada zako za kupondea kuoa.

Binafsi sioni faida ya kuoa, kuoa kulikua zamani sio sasa, mtu anaoa lakini hana furaha hata kidogo. Mkewe anapigwa nje, watoto kuna tetesi sio wale, pesa hana sasa tabu yote hiyo ya nini.

Na pia naamini kwenye ndoa anaepata faida kubwa ni mwanamke na sio mwanaume.
Kwahiyo ewe unaetaka kuoa, oa kwa kufata moyo wako unasema nini na sio ushauri/ kupigwa jeki na ndgu, utaumia vibaya sana.
 
Wewe utamfanya msaidizi lakini yeye akili yake anajua ni 50/50.

Sasa Yote hayo ya nini?

Mwanzo 3:16​

Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala.
Uhusiano hapa ni wa mtawala na mtawaliwa
 

Mwanzo 3:16​

Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala.
Uhusiano hapa ni wa mtawala na mtawaliwa
WAKORINTO 7:1-9

Soma na hiyo ameelezea vizuri zaidi.
 
Ndugu au washikaji walivyo wa ajabu,Watakushauri uoe.Utaoa.watakupongeza Kwa hongera nyingi sana.Siku uanze kupata mauza uza na changamoto nyingine.Jaribu kuwa shirikisha.Huto ona hata mtu mmoja.Watakujibu tu.Huo ndo uanaume,Pambana muda huo wako kwenye miji yao.
Sasa mwanaume unaogopa changamoto
 
Mkuu naona unakoelekea utataka kuolewa sasa maana mashangazi humu pia yamejaa kukuoa Wala sio ishu ni fasta tu.ongeza juhudi kuji brand na thread zako hiz 🧐🧐🧐
 
Tangu nilipooa 9 yrs ago ukaribu na washikaji ambao hawajaoa ulipungua sana na wengine uliisha kabisa,wakabaki wachache ambao tunakutana sehemu za utafutaji.
Nikikutana na jamaa yangu ambaye hatujaonana muda,lazima tu nitamuuliza vipi family hawajambo?akisema tu hajaoa basi ni bora zaidi tukazungumzia mpira na siasa tu kwa uchache hakuna habari nyingine.
 
Heeeh tenaa?

#YNWA
Nilitamani nichangie lakini niliposoma background yako bora nisichangie kwani unahitaji tiba ya moyo na nafsi.
Unatembea na majeraha ya maisha na yanekuathiri sana.
Kwasababu yamekua ni sehemu yako ya maisha huhisi kuwa ni tatizo.

Sawa na mtu anayefanya kazi kariakoo shimoni...hufika mahali haisikiii tena harufu chafu ya huko shimoni tofauti na mtu mgeni maeneo hayo.
 
Tangu nilipooa 9 yrs ago ukaribu na washikaji ambao hawajaoa ulipungua sana na wengine uliisha kabisa,wakabaki wachache ambao tunakutana sehemu za utafutaji.
Nikikutana na jamaa yangu ambaye hatujaonana muda,lazima tu nitamuuliza vipi family hawajambo?akisema tu hajaoa basi ni bora zaidi tukazungumzia mpira na siasa tu kwa uchache hakuna habari nyingine.
Una matatizo makubwa sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom