Vijana waliooa wanakwaza sana

Vijana waliooa wanakwaza sana

Me sijaoa Ila nadhani kuoa kunamuongezea mwanaume Heshima, Kujiamini, Furaha na Akili ya Kupambana.

Vijana wenzangu tuoe, Mimi Mungu akinijaalia Mwaka huu haushi naoa,

Usipooa Mtoto wa Kiume utaolewa wewe
 
Ipo hivi, kama watu maisha ya shida sana. Vitu vya kawaida huchukuliwa kuwa ni mafanikio. Zamani mtu mwenye kitambi alionekana amefanikiwa sana. Sababu ni umaskini uliokuwa umepitiliza wa kukosa hata lishe. Lakini siku hizi kitambi siyo ishara ya mafanikio sababu watu wengi wanauhakika wa mlo. Zaidi zaidi kinaonekana ni ugonjwa. Ipo hivyo kwenye kuoa.
 
Nilitamani nichangie lakini niliposoma background yako bora nisichangie kwani unahitaji tiba ya moyo na nafsi.
Unatembea na majeraha ya maisha na yanekuathiri sana.
Kwasababu yamekua ni sehemu yako ya maisha huhisi kuwa ni tatizo.

Sawa na mtu anayefanya kazi kariakoo shimoni...hufika mahali haisikiii tena harufu chafu ya huko shimoni tofauti na mtu mgeni maeneo hayo.
Na Hawa wanaoleta ushuhuda humu juu ya ndoano za ndoa zao, NAO WANA HISTORIA MBAYA??

#YNWA
 
Nikikutana na jamaa yangu ambaye hatujaonana muda,lazima tu nitamuuliza vipi family hawajambo?
Achana na hili swali.
Wengine wanazitamani hizo familia ila uwezo wa kuwa nazo Hawana.

Stop personal questions.

#YNWA
 
Jamaa ni mkuu wa Idara na anatarajia kuanza PhD mwaka huu
Achana nae ngiri huyuu..
Kwamba ye likizo huwa haendi kwao kusalimia?

Home mpaka leo gheto la watoto wa kiume lipo. Kwa likizo kadhaa nikijisikia naenda kusalimia KITAA.

#YNWA
 
Me sijaoa Ila nadhani kuoa kunamuongezea mwanaume Heshima, Kujiamini, Furaha na Akili ya Kupambana.
Tafuta hela hizi heshima zitaji set zenyewe..!!!
Vijana wenzangu tuoe, Mimi Mungu akinijaalia Mwaka huu haushi naoa,
Kila mtu na njia yake ya maisha.
Unataka wotee tufanye kama wewe?
Usipooa Mtoto wa Kiume utaolewa wewe
Waume za watu kibao wanabakuliwa nyuma.
Hakuna uhusiano wowotee Kati ya kuoa na kuliwa nyuma.

#YNWA
 
Mkuu naona unakoelekea utataka kuolewa sasa maana mashangazi humu pia yamejaa kukuoa Wala sio ishu ni fasta tu.
Kutomber hakuna uhusiano na ndoa.
Kuoa hatutaki ila KUTOMBER kupo palepale.
ongeza juhudi kuji brand na thread zako hiz 🧐🧐🧐
Hii ni movement na itadumu MILELE.

#YNWA
 
"If you think money does not bring happiness, nenda kamuulize yule mtumishi wa Umma aliyenyimwa posho yake na muhasibu moyo wake ulivyo"


Hahahaah nimecheka hatari
Money can buy anything and money is everything.

#YNSA
 
Anaekupenda atakushauri njia impendezayo Mungu.
Hakuna upendo wowote.
Wana maswali ya kiwaki ili wajue ulivyo na Wakuu judge kama umefanikiwa.
Mawazo yao ni kwamba "Kuoa ni kufanikiwa"
Kwenye ndoa kuna mazuri na matam sana. Tusizoee kuangalia tu the negative side kisa ndoa nyingi hazidumu.
Ndoa nyingi ni ngumu.
Tena ngumu hasaa na hasa ndoa za vijana
Wewe kamata ka Karucee kako kadogo dogo kaweke ndani sema mie sitafeli katika hili.

All the best LVP.
Plan sasa ni kumiliki V8 nyeusi au RANGE ROVER SPORTS (Gari za mil 100 hukoo na kuendelea).

Ila SIO NDOA.

Mungu awe nasi.
Mungu abariki harakati za mikono yetu.

#YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom