Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,326
- 5,266
Zhao vijana wana vichwa vigumu vya kuelewa, yeyote anayebisha apitie website ya jkt aone taratibu na masharti ya kujiunga na jkt, vile vile dhima ya kuanzishwa kwa jkt.
Katiko masharti yaliyoorodheshwa, mojawapo ni kuwa tayari kurudi nyumbani baada ya kumaliza mkataba wa kulitumikia jeshi la kujenga taifa(jkt), kama walikosa ajira wasiilaumu serikali kwa kujibagua kwa kuona Kuwa wao kwa kuwa wamepitia jkt basi wanastahili kusikilizwa, tena kwa kuonana na rais moja kwa moja utadhani hakuna vijana wengine wanaohitaji ajira serikalini!!!!au wanadhani kwamba toka jkt ianze ni wao tu ndio hawajaajiriwa?
nitatengeneza ajira 500,000 kila mwaka jk_
hizo ajira laki tano zipo wapi???
!!!