Vijana wajipanga kufanya Maandamano ya Amani kumpongeza Rais Samia kwa kutoa Maelfu ya Ajira

Ndugu zangu Watanzania,

Vijana kwa umoja wao na kwa kujitambua pasipo kushinikizwa na mtu wanapanga mikakati ya kufanya maandamano ya Amani Nchi nzima Kumpongeza Rais wetu mama Samia suluhu Hassani kwa namna alivyo fanya kazi kubwa ya kutengeneza na kutoa maelfu ya ajira kwa vijana ndani ya muda mfupi Sana wa uongozi wake.

Kitendo na Hatua za Rais Samia kutoa vibali vya ajira katika nyakati tofauti tofauti kimeleta nuru ,Tabasamu na kuinua matumaini kwa vijana wengi Sana waliokuwa wamekata Tamaa,Ikumbukwe ya kuwa vijana wanakuwa na changamoto nyingi Sana za kuinuka kiuchumi wanapotoka vyuoni,kwa kuwa wengi wao wanakuwa hawana mitaji Wala msaada wowote kutoka kwa wazazi kwa kuwa wazazi wanakuwa walishateketeza mali nyingi Sana katika kuwasomesha watoto wao kuweza kufikia ndoto zao za kupata Elimu na kuja kusaidia familia zao na kuondokana na utegemezi.

Pia hatua hii njema na ya kupongezwa kwa Rais Samia na serikali yake ya CCM Ina manufaa mengi Sana kiuchumi,kwa kuwa ukitoa ajira kwa watu wengi maana yake unaongeza mzunguko wa fedha mitaani kwa kuwa watu Hawa mwisho wa mwezi wakipata mishahara watapeleka mingine sokoni, madukani, migahawani, kwa waendesha bodaboda na bajaji, kwenye mbolea, vyakula, vifaa vya ujenzi ,n.k.

Hivyo kusaidia uwepo wa pesa mitaani,lakini pia inasaidia kupunguza umaskini wa kipato kwa Kaya na wategemezi wao, inasaidia na kuchochea ongezeko la shughuli mbalimbali za kiuchumi zitakazo ongeza namba ya walipa kodi, mfano mtu akiwa na mshahara wake anaweza Akautumia Kama kianzio Cha mtaji kwa kufungua biashara ya duka la Mahitaji ya nyumbani au Nguo au kuingia shambani kulima,au kununua na kuuza mazao kwa kutumia vijana waaminifu huku yeye akiendelea na kazi ya kulitumikia Taifa katika ajira yake n.k.

Ndio maana vijana wanaona Wana kila sababu ya kumpongeza Rais Samia waziwazi ili kumpa moyo na faraja ya Kuendelea mbele Zaid katika majukumu yake ya kuwatumikia watanzania,wanafanya hivyo kuonyesha kuwa wanaendelea kuwa Naye bega kwa bega na kusimama naye, wanasema hata Kama itashindikana kutoka mitaani lakini ndani ya Mioyo Yao wanaendelea kuandamana kwa maelfu kumpongeza Rais Samia, ndani ya Mioyo Yao wamebeba mabango ya kumpongeza Rais Samia kwa jumbe za kumtia moyo na nguvu ya kuchapa kazi.

Kwa hakika katika suala la ajira kwa vijana Rais Samia Anastahili Sana pongezi maana vijana wengi Sana walikuwa wamekata Tamaa na kuona Kama walipoteza muda wao kwenda vyuo vikuu,waliona ni Kama wangetumia muda na Ada zao Kama mitaji kwa ajiri ya kufanya biashara ,lakini Sasa Rais Samia kainua matumaini na mioyo ya vijana,

Ni vicheko, Tabasamu, furaha tu kwa vijana Mitaani kwa Sasa maana wanaona mwanga na nuru ya kutimiza Ndoto zao machoni Pao wanaona njia zikifunguka na kunyooka, wazazi wengi wameguswa na kumshukuru Sana Rais Samia kwa moyo wake wa upendo kwa vijana wake ambao wengi Ni Kama watoto wake ambao wengi wanasema tunakwenda na mama mpaka 2030.

Hakika Rais Samia anaendelea kuliletea furaha Taifa maana ukitaka Taifa liwe na furaha na amani Basi wape furaha na matumaini vijana, kwa Sasa Rais Samia kawapa furaha na matumaini vijana, ndio sababu ya Rais Samia Kuendelea kuongoza Taifa letu kwa amani na utulivu maana mioyo ya vijana Ni Safi na yenye amani na Rais samia, Vijana Wana matumaini makubwa Sana na uongozi wa Rais Samia.

Rais Samia Ni zawadi kwetu watanzania tunayopaswa kujivunia na kuiheshimu Sana maana watu Aina yake hawazaliwi kila Siku Wala kupatikana kila mahali, jiulize Kama amefanya haya ndani ya muda mfupi vipi mpaka 2030 panapo Majaliwa ya Mwenyezi MUNGU? Ni vijana wangapi watakuwa na ajira? Atakuwa ametengeneza ajira ngapi kupitia miradi anayojenga? Mnafikiri kwa Kasi hii ya maendeleo tutakuwa wapi wakati huo? Nchi gani Afrika mashariki itakayotusogelea kiuchumi?

Ndugu zangu watanzania na vijana wote kwa ujumla kwanini Tusimuunge mkono Rais wetu mama Samia? Kwanini tusimpiganie na kumpigia kampeni uchaguzi ujao? Hatuoni namna alivyo mzalendo? Msikivu, Jasiri, imara, shupavu na madhubuti? Rais Samia anapaswa kupewa kura ya ndio na kila mtanzania mwenye mapenzi mema na Taifa letu.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Kila la heri. Ni haki yao.
 
Serikali ya Rais Samia imejipanga na wote watakao bahatika kupata ajira hizo na kukamilisha taratibu zote watalipwa hela zao za kujikimu kwa wakati na kuanza kupokea mishahara Yao pasipo kuchelewa,maana Rais Samia na serikali Yake Amedhamiria kutoa huduma Bora kwa watanzania kwa kuongeza watumishi wa umma.

,lakini pia Rais Samia hapendi kuona Wala kusikia Mtumishi yeyote akiteseka au kunyanyasika juu ya stahiki zake na madai yake ,ndio maana unaona amelipa madai na malimbikizo ya Mabilion ya pesa kwa watumishi wa umma achilia mbali kuwapandishia mishahara kwa 23% hatua iliyoleta Tabasamu na kuongeza molari ya kazi kwa wafanyakazi wote hapa nchini
Kuongezewa elf 5 ndio kulete tabasamu kwa muajiriwa si utoto huo 😀😀😀
 
Kwani ujinga upo wapi hapa katika kuelezea namna mamilioni ya vijana wa nchi hii walivyoridhishwa na utendaji kazi na uchapa kazi wa serikali ya Rais Samia
Kwani mi nimesema ujinga uko wapi Mkuu? Lakini hata hivyo kwani wewe hufahamu kwamba nchi hii ina ujinga mwingi?
 
Naona kimya...
Uwe na subira maana maandamano yanaendelea katika mioyo ya mamillioni ya vijana kumpongeza mh Rais kwa kutoa maelfu ya ajira,lakini pia wengi wanaendelea kutuma maombi Yao kabla ya Tarehe ya mwisho ya kutuma maombi kufika ,huku wale wa mitaani walioajiriwa kupitia miradi mbalimbali ya serikali wakiendelea kumpongeza mh Rais na kusambaza sifa zake kwa shangwe na furaha kubwa sana
 
Mleta mada mjinga tu mimi CCM najua utoaji taarifa taratibu zake na protocol za chama

Mleta mada wasemaji wa mambo ya vijana kwenye CCM hutolewa na uongozi wa vijana iwe taifa ,Mkoa ,Wilaya nk

Wewe sio kiongozi wa Umoja wa vijana unaongea kama nani?

CCM tuna mifumo yetu tofauti na Upinzani ambako kwao mwehu yeyote aweza inuka kuongelea kitu kwa niaba ya chama


Sawa umeamua kuwa Chawa lakini Uchawa uangalie Procol pia Wasemaji wa jumuia ndio wanatakiwa kutamka hilo

Hao vijana unaowasema wewe ni wa tawi gani wilaya gani na mkoa gani na wewe unatamka kwa cheo kipi ulichonacho ndani ya umoja wa vijana wa CCM?

Lini uliteuliwa au kuchaguliwa kuwa msemaji wa UVCCM?
 
Mleta mada mjinga tu mimi CCM najua utoaji taarifa taratibu zake na protocol za chama

Mleta mada wasemaji wa mambo ya vijana kwenye CCM hutolewa na uongozi wa vijana iwe taifa ,Mkoa ,Wilaya nk

Wewe sio kiongozi wa Umoja wa vijana unaongea kama nani?

CCM tuna mifumo yetu tofauti na Upinzani ambako kwao mwehu yeyote aweza inuka kuongelea kitu kwa niaba ya chama


Sawa umeamua kuwa Chawa lakini Uchawa uangalie Procol pia Wasemaji wa jumuia ndio wanatakiwa kutamka hilo

Hao vijana unaowasema wewe ni wa tawi gani wilaya gani na mkoa gani na wewe unatamka kwa cheo kipi ulichonacho ndani ya umoja wa vijana wa CCM?

Lini uliteuliwa au kuchaguliwa kuwa msemaji wa UVCCM?
Duh naona umemtoa nishai Lucas mwashambwa

Ova
 
Mleta mada mjinga tu mimi CCM najua utoaji taarifa taratibu zake na protocol za chama

Mleta mada wasemaji wa mambo ya vijana kwenye CCM hutolewa na uongozi wa vijana iwe taifa ,Mkoa ,Wilaya nk

Wewe sio kiongozi wa Umoja wa vijana unaongea kama nani?

CCM tuna mifumo yetu tofauti na Upinzani ambako kwao mwehu yeyote aweza inuka kuongelea kitu kwa niaba ya chama


Sawa umeamua kuwa Chawa lakini Uchawa uangalie Procol pia Wasemaji wa jumuia ndio wanatakiwa kutamka hilo

Hao vijana unaowasema wewe ni wa tawi gani wilaya gani na mkoa gani na wewe unatamka kwa cheo kipi ulichonacho ndani ya umoja wa vijana wa CCM?

Lini uliteuliwa au kuchaguliwa kuwa msemaji wa UVCCM?
Lucas ni msemaji wa kujitolea huko ccm anajitolea kwa SSH

ova
 
Ndugu zangu Watanzania,

Vijana kwa umoja wao na kwa kujitambua pasipo kushinikizwa na mtu wanapanga mikakati ya kufanya maandamano ya Amani Nchi nzima Kumpongeza Rais wetu mama Samia suluhu Hassani kwa namna alivyo fanya kazi kubwa ya kutengeneza na kutoa maelfu ya ajira kwa vijana ndani ya muda mfupi Sana wa uongozi wake.

Kitendo na Hatua za Rais Samia kutoa vibali vya ajira katika nyakati tofauti tofauti kimeleta nuru ,Tabasamu na kuinua matumaini kwa vijana wengi Sana waliokuwa wamekata Tamaa,Ikumbukwe ya kuwa vijana wanakuwa na changamoto nyingi Sana za kuinuka kiuchumi wanapotoka vyuoni,kwa kuwa wengi wao wanakuwa hawana mitaji Wala msaada wowote kutoka kwa wazazi kwa kuwa wazazi wanakuwa walishateketeza mali nyingi Sana katika kuwasomesha watoto wao kuweza kufikia ndoto zao za kupata Elimu na kuja kusaidia familia zao na kuondokana na utegemezi.

Pia hatua hii njema na ya kupongezwa kwa Rais Samia na serikali yake ya CCM Ina manufaa mengi Sana kiuchumi,kwa kuwa ukitoa ajira kwa watu wengi maana yake unaongeza mzunguko wa fedha mitaani kwa kuwa watu Hawa mwisho wa mwezi wakipata mishahara watapeleka mingine sokoni, madukani, migahawani, kwa waendesha bodaboda na bajaji, kwenye mbolea, vyakula, vifaa vya ujenzi ,n.k.

Hivyo kusaidia uwepo wa pesa mitaani,lakini pia inasaidia kupunguza umaskini wa kipato kwa Kaya na wategemezi wao, inasaidia na kuchochea ongezeko la shughuli mbalimbali za kiuchumi zitakazo ongeza namba ya walipa kodi, mfano mtu akiwa na mshahara wake anaweza Akautumia Kama kianzio Cha mtaji kwa kufungua biashara ya duka la Mahitaji ya nyumbani au Nguo au kuingia shambani kulima,au kununua na kuuza mazao kwa kutumia vijana waaminifu huku yeye akiendelea na kazi ya kulitumikia Taifa katika ajira yake n.k.

Ndio maana vijana wanaona Wana kila sababu ya kumpongeza Rais Samia waziwazi ili kumpa moyo na faraja ya Kuendelea mbele Zaid katika majukumu yake ya kuwatumikia watanzania,wanafanya hivyo kuonyesha kuwa wanaendelea kuwa Naye bega kwa bega na kusimama naye, wanasema hata Kama itashindikana kutoka mitaani lakini ndani ya Mioyo Yao wanaendelea kuandamana kwa maelfu kumpongeza Rais Samia, ndani ya Mioyo Yao wamebeba mabango ya kumpongeza Rais Samia kwa jumbe za kumtia moyo na nguvu ya kuchapa kazi.

Kwa hakika katika suala la ajira kwa vijana Rais Samia Anastahili Sana pongezi maana vijana wengi Sana walikuwa wamekata Tamaa na kuona Kama walipoteza muda wao kwenda vyuo vikuu,waliona ni Kama wangetumia muda na Ada zao Kama mitaji kwa ajiri ya kufanya biashara ,lakini Sasa Rais Samia kainua matumaini na mioyo ya vijana,

Ni vicheko, Tabasamu, furaha tu kwa vijana Mitaani kwa Sasa maana wanaona mwanga na nuru ya kutimiza Ndoto zao machoni Pao wanaona njia zikifunguka na kunyooka, wazazi wengi wameguswa na kumshukuru Sana Rais Samia kwa moyo wake wa upendo kwa vijana wake ambao wengi Ni Kama watoto wake ambao wengi wanasema tunakwenda na mama mpaka 2030.

Hakika Rais Samia anaendelea kuliletea furaha Taifa maana ukitaka Taifa liwe na furaha na amani Basi wape furaha na matumaini vijana, kwa Sasa Rais Samia kawapa furaha na matumaini vijana, ndio sababu ya Rais Samia Kuendelea kuongoza Taifa letu kwa amani na utulivu maana mioyo ya vijana Ni Safi na yenye amani na Rais samia, Vijana Wana matumaini makubwa Sana na uongozi wa Rais Samia.

Rais Samia Ni zawadi kwetu watanzania tunayopaswa kujivunia na kuiheshimu Sana maana watu Aina yake hawazaliwi kila Siku Wala kupatikana kila mahali, jiulize Kama amefanya haya ndani ya muda mfupi vipi mpaka 2030 panapo Majaliwa ya Mwenyezi MUNGU? Ni vijana wangapi watakuwa na ajira? Atakuwa ametengeneza ajira ngapi kupitia miradi anayojenga? Mnafikiri kwa Kasi hii ya maendeleo tutakuwa wapi wakati huo? Nchi gani Afrika mashariki itakayotusogelea kiuchumi?

Ndugu zangu watanzania na vijana wote kwa ujumla kwanini Tusimuunge mkono Rais wetu mama Samia? Kwanini tusimpiganie na kumpigia kampeni uchaguzi ujao? Hatuoni namna alivyo mzalendo? Msikivu, Jasiri, imara, shupavu na madhubuti? Rais Samia anapaswa kupewa kura ya ndio na kila mtanzania mwenye mapenzi mema na Taifa letu.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Kmmk
 
Ndugu zangu Watanzania,

Vijana kwa umoja wao na kwa kujitambua pasipo kushinikizwa na mtu wanapanga mikakati ya kufanya maandamano ya Amani Nchi nzima Kumpongeza Rais wetu mama Samia suluhu Hassani kwa namna alivyo fanya kazi kubwa ya kutengeneza na kutoa maelfu ya ajira kwa vijana ndani ya muda mfupi Sana wa uongozi wake.

Kitendo na Hatua za Rais Samia kutoa vibali vya ajira katika nyakati tofauti tofauti kimeleta nuru ,Tabasamu na kuinua matumaini kwa vijana wengi Sana waliokuwa wamekata Tamaa,Ikumbukwe ya kuwa vijana wanakuwa na changamoto nyingi Sana za kuinuka kiuchumi wanapotoka vyuoni,kwa kuwa wengi wao wanakuwa hawana mitaji Wala msaada wowote kutoka kwa wazazi kwa kuwa wazazi wanakuwa walishateketeza mali nyingi Sana katika kuwasomesha watoto wao kuweza kufikia ndoto zao za kupata Elimu na kuja kusaidia familia zao na kuondokana na utegemezi.

Pia hatua hii njema na ya kupongezwa kwa Rais Samia na serikali yake ya CCM Ina manufaa mengi Sana kiuchumi,kwa kuwa ukitoa ajira kwa watu wengi maana yake unaongeza mzunguko wa fedha mitaani kwa kuwa watu Hawa mwisho wa mwezi wakipata mishahara watapeleka mingine sokoni, madukani, migahawani, kwa waendesha bodaboda na bajaji, kwenye mbolea, vyakula, vifaa vya ujenzi ,n.k.

Hivyo kusaidia uwepo wa pesa mitaani,lakini pia inasaidia kupunguza umaskini wa kipato kwa Kaya na wategemezi wao, inasaidia na kuchochea ongezeko la shughuli mbalimbali za kiuchumi zitakazo ongeza namba ya walipa kodi, mfano mtu akiwa na mshahara wake anaweza Akautumia Kama kianzio Cha mtaji kwa kufungua biashara ya duka la Mahitaji ya nyumbani au Nguo au kuingia shambani kulima,au kununua na kuuza mazao kwa kutumia vijana waaminifu huku yeye akiendelea na kazi ya kulitumikia Taifa katika ajira yake n.k.

Ndio maana vijana wanaona Wana kila sababu ya kumpongeza Rais Samia waziwazi ili kumpa moyo na faraja ya Kuendelea mbele Zaid katika majukumu yake ya kuwatumikia watanzania,wanafanya hivyo kuonyesha kuwa wanaendelea kuwa Naye bega kwa bega na kusimama naye, wanasema hata Kama itashindikana kutoka mitaani lakini ndani ya Mioyo Yao wanaendelea kuandamana kwa maelfu kumpongeza Rais Samia, ndani ya Mioyo Yao wamebeba mabango ya kumpongeza Rais Samia kwa jumbe za kumtia moyo na nguvu ya kuchapa kazi.

Kwa hakika katika suala la ajira kwa vijana Rais Samia Anastahili Sana pongezi maana vijana wengi Sana walikuwa wamekata Tamaa na kuona Kama walipoteza muda wao kwenda vyuo vikuu,waliona ni Kama wangetumia muda na Ada zao Kama mitaji kwa ajiri ya kufanya biashara ,lakini Sasa Rais Samia kainua matumaini na mioyo ya vijana,

Ni vicheko, Tabasamu, furaha tu kwa vijana Mitaani kwa Sasa maana wanaona mwanga na nuru ya kutimiza Ndoto zao machoni Pao wanaona njia zikifunguka na kunyooka, wazazi wengi wameguswa na kumshukuru Sana Rais Samia kwa moyo wake wa upendo kwa vijana wake ambao wengi Ni Kama watoto wake ambao wengi wanasema tunakwenda na mama mpaka 2030.

Hakika Rais Samia anaendelea kuliletea furaha Taifa maana ukitaka Taifa liwe na furaha na amani Basi wape furaha na matumaini vijana, kwa Sasa Rais Samia kawapa furaha na matumaini vijana, ndio sababu ya Rais Samia Kuendelea kuongoza Taifa letu kwa amani na utulivu maana mioyo ya vijana Ni Safi na yenye amani na Rais samia, Vijana Wana matumaini makubwa Sana na uongozi wa Rais Samia.

Rais Samia Ni zawadi kwetu watanzania tunayopaswa kujivunia na kuiheshimu Sana maana watu Aina yake hawazaliwi kila Siku Wala kupatikana kila mahali, jiulize Kama amefanya haya ndani ya muda mfupi vipi mpaka 2030 panapo Majaliwa ya Mwenyezi MUNGU? Ni vijana wangapi watakuwa na ajira? Atakuwa ametengeneza ajira ngapi kupitia miradi anayojenga? Mnafikiri kwa Kasi hii ya maendeleo tutakuwa wapi wakati huo? Nchi gani Afrika mashariki itakayotusogelea kiuchumi?

Ndugu zangu watanzania na vijana wote kwa ujumla kwanini Tusimuunge mkono Rais wetu mama Samia? Kwanini tusimpiganie na kumpigia kampeni uchaguzi ujao? Hatuoni namna alivyo mzalendo? Msikivu, Jasiri, imara, shupavu na madhubuti? Rais Samia anapaswa kupewa kura ya ndio na kila mtanzania mwenye mapenzi mema na Taifa letu.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Mnaandamaniana wapi hebel😂😂
 
Back
Top Bottom