Olmo
JF-Expert Member
- Jun 21, 2026
- 560
- 1,137
Niko kanisa fulani nimekuja kwa purpose yangu binafsi bahati nimekuta mafundisho sasa nimeona nikae nisikilize halafu niseme shida yangu.
Kuna kijana miaka kama 20+ anahubiri nasikia wachawi hawawezi kukuroga mara una nguvu za Mungu. Sasa najiuliza hapa chini tumekaa na wamama watu wazima kabisa na huyo dogo anatufundisha dhidi ya kuwashinda wachawi!
Huyo dogo ana experience gani na wachawi? Na ukimwangalia huyu hata rais haramu wa malawi hamjui hata jina lake kabisa. Je ndio hawa tuwategemee kabisa?
Kuna kijana miaka kama 20+ anahubiri nasikia wachawi hawawezi kukuroga mara una nguvu za Mungu. Sasa najiuliza hapa chini tumekaa na wamama watu wazima kabisa na huyo dogo anatufundisha dhidi ya kuwashinda wachawi!
Huyo dogo ana experience gani na wachawi? Na ukimwangalia huyu hata rais haramu wa malawi hamjui hata jina lake kabisa. Je ndio hawa tuwategemee kabisa?