Vijana wa Arusha kama Black America

Vijana wa Arusha kama Black America

Nasiche

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2019
Posts
291
Reaction score
735
Mimi mchaga wa Marangu ,ila nimezaliwa Dar kukulia dar mpaka Leo naishi Dar,Kazini nimepata kasafari Ka kuja Arusha Mimi nahisi nitagongwa na Magari
Vijana wa huku kama Mablack America flani hivi, wanavaa vizuri sana nguo org viatu vya kisure sana, haki sijakutana na mtu aliyevaa shati ya dukani.

Nawapongeza sana.

1629443111587.png
 
Anamaanisha kuna mashati ya dukani, yale unakuta yametundikwa moja 150k ama 80k halafu kuna yale mashati ya mnadani/gulioni ambapo unakuta fungu la shati 8 linauzwa 3k. Hayo ndio watu wa Arusha wanavaa.
Hahah
 
Back
Top Bottom