JF kwenye uzi wa kula tunda kimasihara 😂Njia nzuri ya kujifunzia ni ipi?
Wengine tunatumiaga kulipua kambi tu wala sio kwenda kurefer kwa watoto wa watu.
Havitaki show heavy.
Core ndo mazoezi gani hayo??1:mazoezi..especially ya core...na kegels(inasaidia stamina ya kiuno kisichoke...kegels exercise kufanya erection katika ubora wake)
2:kula vizuri:
3:kula mixer ya tangawizi,,vitunguu swaumu na asali
4:make money
Hii namba NNE muhimu zaidi maana kwa umri wetu sisi vijana ukiwa huna hela yote hapo juu huwezi kuyatekeleza kwa ufanisi maana unajua stressed kinoma
Sit ups ..abdominal clunches,,pushups...sit-ups...lengo eneo LA kati La mwili liwe stableCore ndo mazoezi gani hayo??
Watu wana stress na bado wanapiga show vizuri tu1:mazoezi..especially ya core...na kegels(inasaidia stamina ya kiuno kisichoke...kegels exercise kufanya erection katika ubora wake)
2:kula vizuri:
3:kula mixer ya tangawizi,,vitunguu swaumu na asali
4:make money
Hii namba NNE muhimu zaidi maana kwa umri wetu sisi vijana ukiwa huna hela yote hapo juu huwezi kuyatekeleza kwa ufanisi maana unajua stressed kinoma