kaka nko tayari kukutafutia masoko hapa dsm # 0654907899Binafsi nimependa wazo lenu la kujiajiri
Mm nafanya biashara ya mchele kutoka KAHAMA to Dar, nitapenda endapo nitapata vijana wenzangu wajasiliamali hata wawili wenye mitaji ya atleast mill 2 au 3 tuungane
Pia naomba kupata mtu ambaye anaweza kutafuta masoko hapo Dar, mfano Hotels & Shule tuwe tunazisambazia mchele
Ambaye yuko tayari aweke no. ya simu nitamtafuta
Lakin kuweni makini maana matapeli wengi siku hizihii project ni nzuri ikiwepo nia ya dhati na kuna namna mbili hapo! either kukodi mashamba na kulima or kununua mashambani na kupeleka ktk mkoa ambao bidhaa husika inatoka!
binafsi nina experience fulan! tutashauriana huko pm.
npm plz I am very i9nterested wityh your idea think you tafadhali nipo tayari put me in your list quickly.tunahtaj mwongozo wako kdògo
SAMAHANI KIDOGO MKUU,Naam!
Haijarishi uko mkoa gani ,enyi vijana wenzangu ambao tuko mtaani ninaomba tujitokeze walau 10-20 tuunde group tujiajiri wenyewe na biashara ya nafaka ,ngombe ,viaz vya chps etc
Kama utakuwa interested na hii thread ni PM tujue jinsi ya kufanya majadiliano namna ya kujiajiri ,mtaji sio kikwazo, cha msingi ni uelewa na ujuzi wa biashara ambayo tutaifanya mkoa kwa mkoa..eg Mza to Dsm.
bro bado unafanya hii ishu...?Binafsi nimependa wazo lenu la kujiajiri
Mm nafanya biashara ya mchele kutoka KAHAMA to Dar, nitapenda endapo nitapata vijana wenzangu wajasiliamali hata wawili wenye mitaji ya atleast mill 2 au 3 tuungane
Pia naomba kupata mtu ambaye anaweza kutafuta masoko hapo Dar, mfano Hotels & Shule tuwe tunazisambazia mchele
Ambaye yuko tayari aweke no. ya simu nitamtafuta
mm nipo mbeya nalima sana viaz na karot natafuta mtu ambaye yupo dar tufanye biashara hii lakin awe muaminifu kama huwa si muaminifu mtu kwenye pesa..ambaye tupo tayar ani pm lakin awe anajua hii biashara ya kuuza kiaz hapo mabibo.temeke au sehem yoyote dar
namba yangu ni 0755145978aise nimependa wazo lako mm pia nikijana naomba uweke namba yko nikucheki mida hi nakuomba
bro nimekuchek watsap...bwana essaumgimba
nicheki 0755145978
Kama hautojali naomba unipm nahitaji msaada wakoMm napenda sna kilimo na ss naadaa kulima niko naishi dar ila Niko na shamba Moro nalima kilimo cha umwagiliaji karibuni vijana kujiajiri