Vijana takriban 40 wauawa baada ya 'kumzodoa' Mtumishi wa Mungu!

Vijana takriban 40 wauawa baada ya 'kumzodoa' Mtumishi wa Mungu!

Setfree

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2024
Posts
5,527
Reaction score
7,121
Habari hii ni ya kweli kabisa. Sio chai wala udaku.

Taharuki imetanda katika mji mmoja baada ya tukio la kutisha lililowahusisha vijana zaidi ya 40 walioshambuliwa na wanyama wakali wa porini.

Kwa mujibu wa mashuhuda waliokuwepo karibu na eneo la tukio, kundi la vijana zaidi ya 40 lilijikuta katika hali ya hatari baada ya kumcheka na kumdhihaki Mtumishi wa Mungu aliyekuwa akipita njiani. Walimzodoa kwa maneno ya dhihaka kuhusu kichwa chake chenye upara. Vijana hao walimzomea kwa sauti na kejeli na kumwambia: "Paa wewe, mzee Kipara!"

Muda mfupi baada ya dhihaka hizo, dubu wawili wa porini(wild bears) walitokea ghafla na kuanza kuwashambulia vijana hao bila huruma, wakasababisha vifo vya vijana 42!

Tukio hili limechochea mjadala mkubwa, wengi wakisema ni somo kali kwa kizazi kinachopenda mzaha na kukosa heshima kwa wakubwa. Na wengine wakihusisha tukio hilo na laana.

Endelea kufuatilia uzi huu kwa taarifa/ufafanuzi zaidi kuhusu tukio hili la kushangaza.
 
Chai hazinaga hayo mambo
Kumbe ndio sababu manabii wa uongo wanawadanganya watu na kuwaibia pesa mchana kweupe. Wao wakisema uongo, watu wanasema ni ukweli. Mimi nikisema ukweli naambiwa ni chai.
 
Habari hii ni ya kweli kabisa. Sio chai wala udaku.

Taharuki imetanda katika mji mmoja baada ya tukio la kutisha lililowahusisha vijana zaidi ya 40 walioshambuliwa na wanyama wakali wa porini.

Kwa mujibu wa mashuhuda waliokuwepo karibu na eneo la tukio, kundi la vijana zaidi ya 40 lilijikuta katika hali ya hatari baada ya kumcheka na kumdhihaki Mtumishi wa Mungu aliyekuwa akipita njiani. Walimzodoa kwa maneno ya dhihaka kuhusu kichwa chake chenye upara. Vijana hao walimzomea kwa sauti na kejeli na kumwambia: "Paa wewe, mzee Kipara!"

Muda mfupi baada ya dhihaka hizo, dubu wawili wa porini(wild bears) walitokea ghafla na kuanza kuwashambulia vijana hao bila huruma, wakasababisha vifo vya vijana 42!

Tukio hili limechochea mjadala mkubwa, wengi wakisema ni somo kali kwa kizazi kinachopenda mzaha na kukosa heshima kwa wakubwa. Na wengine wakihusisha tukio hilo na laana.

Endelea kufuatilia uzi huu kwa taarifa/ufafanuzi zaidi kuhusu tukio hili la kushangaza.
Hatari sana... Swali lisilo na umuhimu: kwahiyo unawashauri nini wanaomzodoa askofu wa makanisa ya ufufuo na uzima?😅😅
 
Habari hii ni ya kweli kabisa. Sio chai wala udaku.

Taharuki imetanda katika mji mmoja baada ya tukio la kutisha lililowahusisha vijana zaidi ya 40 walioshambuliwa na wanyama wakali wa porini.

Kwa mujibu wa mashuhuda waliokuwepo karibu na eneo la tukio, kundi la vijana zaidi ya 40 lilijikuta katika hali ya hatari baada ya kumcheka na kumdhihaki Mtumishi wa Mungu aliyekuwa akipita njiani. Walimzodoa kwa maneno ya dhihaka kuhusu kichwa chake chenye upara. Vijana hao walimzomea kwa sauti na kejeli na kumwambia: "Paa wewe, mzee Kipara!"

Muda mfupi baada ya dhihaka hizo, dubu wawili wa porini(wild bears) walitokea ghafla na kuanza kuwashambulia vijana hao bila huruma, wakasababisha vifo vya vijana 42!

Tukio hili limechochea mjadala mkubwa, wengi wakisema ni somo kali kwa kizazi kinachopenda mzaha na kukosa heshima kwa wakubwa. Na wengine wakihusisha tukio hilo na laana.

Endelea kufuatilia uzi huu kwa taarifa/ufafanuzi zaidi kuhusu tukio hili la kushangaza.
Hebu toa upupu wako humu!!
 
Habari hii ni ya kweli kabisa. Sio chai wala udaku.

Taharuki imetanda katika mji mmoja baada ya tukio la kutisha lililowahusisha vijana zaidi ya 40 walioshambuliwa na wanyama wakali wa porini.

Kwa mujibu wa mashuhuda waliokuwepo karibu na eneo la tukio, kundi la vijana zaidi ya 40 lilijikuta katika hali ya hatari baada ya kumcheka na kumdhihaki Mtumishi wa Mungu aliyekuwa akipita njiani. Walimzodoa kwa maneno ya dhihaka kuhusu kichwa chake chenye upara. Vijana hao walimzomea kwa sauti na kejeli na kumwambia: "Paa wewe, mzee Kipara!"

Muda mfupi baada ya dhihaka hizo, dubu wawili wa porini(wild bears) walitokea ghafla na kuanza kuwashambulia vijana hao bila huruma, wakasababisha vifo vya vijana 42!

Tukio hili limechochea mjadala mkubwa, wengi wakisema ni somo kali kwa kizazi kinachopenda mzaha na kukosa heshima kwa wakubwa. Na wengine wakihusisha tukio hilo na laana.

Endelea kufuatilia uzi huu kwa taarifa/ufafanuzi zaidi kuhusu tukio hili la kushangaza.

mtumishi wa Mungu Elisha
 
Ingependeza kama Ungetaja Mji au Nchi na lini tukio limetokea
2 Wafalme 2 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
²³ Akakwea kutoka huko mpaka Betheli; naye alipokuwa akienda njiani, wakatoka vijana katika mji, wakamfanyizia mzaha, wakamwambia, Paa wewe mwenye upaa! Paa wewe mwenye upaa!
²⁴ Akatazama nyuma akawaona, akawalaani kwa jina la Bwana. Wakatoka dubu wawili wa kike mwituni, wakawararua vijana arobaini na wawili miongoni mwao.
²⁵ Akatoka huko akaenda mlima wa Karmeli, na toka huko akarudi mpaka Samaria.
 
Hakuna nabii wa Mungu ila watu wameamua kutafuta njia mbali mbali za kupata maisha
 
Hatari sana... Swali lisilo na umuhimu: kwahiyo unawashauri nini wanaomzodoa askofu wa makanisa ya ufufuo na uzima?😅😅
Kumbe swali halina umuhimu. Basi hakuna umuhimu wa kulijibu😎
 
Mungu mwenye upendo hawezi kuua watu kisa wamechekelea kipara.

Kwanza mungu mwenye upendo asingempa elisha kipara, ili asichekwe.

Na wewe kufurahia hilo suala kunaonesha kabisa kwamba hufikirii.
 
Back
Top Bottom