MEKADDISHKEM
Senior Member
- Sep 15, 2016
- 148
- 142
Mtaani dollar inatafutwa kwa mtutu kumbe kamshikaji kamezifungia ndani
Mtaani dollar inatafutwa kwa mtutu kumbe kamshikaji kamezifungia ndani
We jidanganye tu hiyo ni mbele kuna kitu kinaitwa Chapter 7 na Chapter 11 ....Bongo kipo????Mbona issue ndogo sana hiyo! Unakumbuka 50Cents alipotakiwa millions of dollars akatangaza kufilisika! Baada ya mahakama kukubaliana na hoja zake, akarudi Instagram aka-post zigo la madola! Walipomuibukia na kudai namna gani vp anatangaza kufilisika halafu anaonekana na madolari; akawaambia ni "Fake dollars, just for show off!"
Tatizo unachanganya madesa! Chapter 7 na Chapter 11 kwa US zinahusiana na masuala ya bankrupcy and defense from insolvency! Issue ya Diamond ni ku-post pesa Instagram! Chapter 7 & Chapter 11 hazihusiani na hayo mambo!!!We jidanganye tu hiyo ni mbele kuna kitu kinaitwa Chapter 7 na Chapter 11 ....Bongo kipo????
Huku umesahau ni kosa kukutwa na Fake au counter-fake papers(money)? Unadhani "Show Off" ni defense ya hilo kosa sio??
Get Inspired or Hate>>> By Floyd Mayweather!Ukikata kujua mtu alikua maskini zamani na hakutegemea kutusua ktk maisha angalia show off zake ktk hela.....
Ndo ile walisema maskini akipata matako hulia mbwata mbwata....
Sasa hapo ngoja TRA wamfate aanzaje kujamba jamba au ngoja aumwe uone kama halijatembezwa bakuli kama yule Ruge Mutahaba
Ni kweli ...ila kuna Inspiration nyingine za mbele ukiziapply Bongo trust me unakua msenge msenge!Get Inspired or Hate>>> By Floyd Mayweather!
Come on man, yaani kuonesha pesa ni insipiration ya mbele?!Ni kweli ...ila kuna Inspiration nyingine za mbele ukiziapply Bongo trust me unakua msenge msenge!
Vp kwani umekulia kwenye umaskini wa kutupwa nini hadi ukipata pesa unataka matako yale mbwata mbwata??Come on man, yaani kuonesha pesa ni insipiration ya mbele?!
Heri yako wewe uliyekulia familia ya kitajiri lakini unaonekana ku-mind mtu aki-post pesa aliyoipata kwa jasho lake mwenyewe na sio za kuzikuta as if kuna kitu anakupunguzia kutoka kwenye "utajiri" wenu!! Kuhusu mimi, sio tu nimekulia kwenye umaskini bali hata sasa ni maskini kweli kweli but I don't hate, and instead, I get insipired!!Vp kwani umekulia kwenye umaskini wa kutupwa nini hadi ukipata pesa unataka matako yale mbwata mbwata??
Relax,
Relax. Life has a lot to offer yet,Heri yako wewe uliyekulia familia ya kitajiri lakini unaonekana ku-mind mtu aki-post pesa aliyoipata kwa jasho lake mwenyewe na sio za kuzikuta as if kuna kitu anakupunguzia kutoka kwenye "utajiri" wenu!! Kuhusu mimi, sio tu nimekulia kwenye umaskini bali hata sasa ni maskini kweli kweli but I don't hate, and instead, I get insipired!!
Duuh,
And life has already offered me love and desire to be successful but not hating or become irritated for what the successful people do!!! They inspire me to get what they have, and of course, even more!Relax. Life has a lot to offer yet,