Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,309
- 4,017
Tuliza mihemko yako, haya sasa.
Fikiria ni kuwa huyo anaefanyiwa utani kwenye mitandao ni baba yako, kaka yako, mjomba etc.
Vijana huko kwenye mitandao wanataka umaarufu bila ya kujali utu. Sasa wanamuiga yule mama anavyoongea akisimulia jinsi mamba alivyo muangamiza mumewe.
Ile ongea yake na story telling sasa watu wamefanya kama fursa ya kufanya utani mitandaoni huku wakisahau ishu wanayofanyia utani inajumuisha na uhai wa mtu uliotoweka na majonzi yaliyobaki kwa ndugu.
Kama na wewe una support ufala huo huku ukicheka cheka basi hayajakukuta mambo.
Ni kweli mama ongea yake inafurahisha lakini haimaanishi sasa muanze kuifanyia mzaha.
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Fikiria ni kuwa huyo anaefanyiwa utani kwenye mitandao ni baba yako, kaka yako, mjomba etc.
Vijana huko kwenye mitandao wanataka umaarufu bila ya kujali utu. Sasa wanamuiga yule mama anavyoongea akisimulia jinsi mamba alivyo muangamiza mumewe.
Ile ongea yake na story telling sasa watu wamefanya kama fursa ya kufanya utani mitandaoni huku wakisahau ishu wanayofanyia utani inajumuisha na uhai wa mtu uliotoweka na majonzi yaliyobaki kwa ndugu.
Kama na wewe una support ufala huo huku ukicheka cheka basi hayajakukuta mambo.
Ni kweli mama ongea yake inafurahisha lakini haimaanishi sasa muanze kuifanyia mzaha.
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app