Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,326
- 105,742
I was afraid it was going to be "all of the above".Hapo ndipo tatizo linapoanzia.
Lakini mitandao mbona mpaka kwenye simu ipo siku hizi?
I was afraid it was going to be "all of the above".Hapo ndipo tatizo linapoanzia.
Kufahamu mtandao upi ni sahihi kwa hitaji lako na je taarifa zilizopo ndani ya huo mtandao ni sahihi?I was afraid it was going to be "all of the above".
Lakini mitandao mbona mpaka kwenye simu ipo siku hizi?
Point ya nguvu sana.Kufahamu mtandao upi ni sahihi kwa hitaji lako na je taarifa zilizopo ndani ya huo mtandao ni sahihi?
Nimeliona hilo tatizo kwa wengi.
Do not skip stages of civilization.Jaman tusikate tamaa
U don't have to look at that if u are a real entrepreneur, watch best African tech like mpesa ilivyo msaada kwenye jamii...young entrepreneur of Africa should focus to solve the real problem that face their society...Ukitaka kujua nchi ipo katika stage gani? Angalia tajiri wa kwanza sehemu husika ana deal na Nini? Ndo utajua kuwa vijana tujikite wapi au tuangalie stage inayofuatwa.
Jaman tusikate tamaa
Jamani vijana tuache kuwa vichwa vigumu tusitake kupiga msauzi kwenye nyumba ya udongo. Hata wachina walirudi shambani kwanza. Na Hizo tech kubwa Zina maeneo yake kwa huko mbele. Sehemu Kama silicon valley ndio maarufu kwa hi-tech ndio maana vijana wengi wa ulaya Kama waanzilishi wa udemy walihamia huko ili kuwa katika sehemu sahihi hata Facebook pia. Na silicon valley ilianza kuja juu just baada ya kampuni ya Intel kuzalisha semiconductor za kiwango Cha juu ambayo ilianzishwa na Bob noyce na akaitwa mayor of silicon valley. Kwa nyie mnayejiita wa silicon dar semiconductor zenu mnatengenezea wapi? Tuache kuigaiga mambo ya watu. Na pia jamaa kani quote kasema unasolve problems Sasa sijuwi matatzo gani mnayasovo maana matitizo ya ulimwengu wa watatu ni umaskini, njaa, elimu duni miundombinu mibovu. Sasa umesema mpesa ni moja kwa kumi jamani we hujifunzi kwa jumuia. Mdaa tunao tumia kwenye high tech tukilipikiza kwenye mambo yanayo tuhusu tutatoa chanya sanaU don't have to look at that if u are a real entrepreneur, watch best African tech like mpesa ilivyo msaada kwenye jamii...young entrepreneur of Africa should focus to solve the real problem that face their society...
We have different eye in see opportunities so cool of and do what u do best.Jamani vijana tuache kuwa vichwa vigumu tusitake kupiga msauzi kwenye nyumba ya udongo. Hata wachina walirudi shambani kwanza. Na Hizo tech kubwa Zina maeneo yake kwa huko mbele. Sehemu Kama silicon valley ndio maarufu kwa hi-tech ndio maana vijana wengi wa ulaya Kama waanzilishi wa udemy walihamia huko ili kuwa katika sehemu sahihi hata Facebook pia. Na silicon valley ilianza kuja juu just baada ya kampuni ya Intel kuzalisha semiconductor za kiwango Cha juu ambayo ilianzishwa na Bob noyce na akaitwa mayor of silicon valley. Kwa nyie mnayejiita wa silicon dar semiconductor zenu mnatengenezea wapi? Tuache kuigaiga mambo ya watu. Na pia jamaa kani quote kasema unasolve problems Sasa sijuwi matatzo gani mnayasovo maana matitizo ya ulimwengu wa watatu ni umaskini, njaa, elimu duni miundombinu mibovu. Sasa umesema mpesa ni moja kwa kumi jamani we hujifunzi kwa jumuia. Mdaa tunao tumia kwenye high tech tukilipikiza kwenye mambo yanayo tuhusu tutatoa chanya sana
Duuuu! SawaWe have different eye in see opportunities so cool of and do what u do best.
Kuna wimbi kubwa la vijana wanahangaika ni kudevelope ma idea ya project kubwa kubwa za kidigitali na ki technolojia mfano.
1. Sijui app ya alarm sjui ya nyumbani ukiwa kazini mtu akifungua mlango unapata notification.
2. Mara program ya visima vya maji umwagiliaji.
3. Mara program ya nin sjui etc etc etc
Vijana wenzangu hiz technolojia na the likes kwa nchi kama yetu hii utasubir sana kwa mwekezaj kuweka hela..vijana weng mnajikita kwenye biashara ngum ngum.kiukwel niwambie hizo hazina helaaaa..africa bado sana
Jikiten kwenye mambo ya kawaida tuu..usiumize kichwa snaa ..we unamwona bakheresa au mo biashara zao...wanauza viberiti, unga, juice etc
Nenda Kariakoo uone matajiri wafanyabiashara wanafanya nini wanauza vitu vya kawaida kabisa.
Kilimo.etc etc....buy and sell vitu rahisi rahisi tuu ..sasa mtu unahangaika weee..daah.
Kilichofanya niandike uzi ni kwamba nina ndugu yangu anamaliza chuo..nimemwambia anipe mchanganuo wa biashara nimpe mtaji yaani unaenda mwez wa sita huu ananipa michanganuo ya ajabu ajabu hadi nauliza amerogwa nini.
Shida ni kwamba technology inavyotoka wanaoanza kufaidika nayo ni watu wahuko ilikutokea. Mfano huwezi teng'eneza app playstore ambayo haina mbadala wake. Yaani unakuta app za aina hiyo zinauza kwanza za U.S.A, then nchi za watu wa asili ya ulaya zinafwata hafu, then nchi za asia. Ko unakuta mpaka weusi tusanukie mchongo market inakua saturated.
Hafu kingine hakuna kiwanda cha hardware chakutengeneza semiconductors amabazo zitatengenezewa vifaa ambavyo vitatengenezewa app. Mfano hp wanatengeneza hp smart kwa ajili kwa ajili ya printer zao.
Hapo kwenye playstore mfano mzuri ni kutengeneza app ya art and design ya kushindana na "canva"au "picsart"
People pia wajue even in silicon valley there are number of failed startups for a single successful one we hear about...No single successful founders have witness to have easier path to get were they are...So this is entrepreneurship u must have steel heart and great determination to chew that glass for breakfast... Waiting for perfect perfect environment to execute ur idea is not the attribute of successful entrepreneur.Japokuwa nilifika Oakland ambapo wenyewe wanasema sio silicon Valley lakini kukaa kwangu kwa muda mchache nilijua vingi kuhusiana na silicon valley since ni 17 Km from Bay Area
Ishue ni kwamba Silicon Valley inakimbia mnooo kiteknolojia maana yake ni kwamba Investors wa silicon valley they invest in high end tech aisee kitu ambacho startup nyingi za kibongo ni startups ambazo zilikuwa zinakuwa invested in 2008 huko ten years back
Kutengeneza app then uende silicon valley uwe funded imekula kwako investors wanawekeza kwenye the following sector
Iaas, SaaS, Maas, AI, Robotics, Autonomous, Na sasa kuna kitu kipya kinaitwa Mobility as a service
Vijana wengi wa Silicon Dar wanachokosea ni kupitch kwa silicon valley investors wakati wanatakiwa wa pitch kwa investors wa maeneo mengine
Kingine ni kwamba hakuna Startup Ecosystem nzuri na hapa ni kazi ya Serikali sasa , Serikali inatakiwa ikodi jengo moja pale Kijitonyama, kuwe na Incubators, accelerators ikaribishe VC wa Scandinavian ambao ndio wanaopenda kuwekeza Africa wawe na ofisi pale kwa sababu investors wengi wanapenda kuwekeza kwenye kampuni ambazo akiendesha gari kwanzia ofisini kwake hadi kwenye HQ ya startup aliyowekeza ni dakika 10 so bongo hakuna VC
Of which hii ni dili kubwa kwa Taasisi za kifedha ambazo kuna bank hapa nchini zinatakiwa zibadilike kuwa VC na sio banks anymore mfano I&M bank and First housing bank
Technology ni sekta ambayo kuna ombwe kubwa sana Africa na ndio maana makampuni ya teknolojia ya Marekani yanapenetrate sana Africa mfano mzuri angalia Instagram, WhatsApp, TikTok, Netflix, Uber, na kadhalika
Africa tumekuja na version ya Netflix inaitwa showmax na inafanya vizuri tu
Africa tumekuja na version ya Spotify boomplay inafanya vizuri tu etc
Mfano sasa hivi baada ya Corona Uber wamejifungia Chicago zaidi ya watu 1,000 watengeneze coding ya Uber Works yaani fleelancer app na watu wanaisubiri law sababu aftermath ya Corona ni ajira nyingi zimepotea
Ngoja nikupe mfano mwingine Southeast Asia wao baada ya uber kuanzishwa 2008 wao Indonesia wakaanzisha Gojek na Singapore wakaanzisha Grab unajua thamani ya hayo makampuni now??
Cha msingi ni kuangalia 2020 Marekani wameanzisha nini, then wewe anzisha the same thing kwa Africa trust me in no time utatusua tu ila cha kufanya ni hiki
Kampuni yako ianzishe Marekani then your mode of operation iwe ni B2B yaani utoe solutions kwa Africa companies na sio kwa B2C itakula kwako
Idea mojawapo ambapo mtu akianzisha atapiga hela sana ni kuanzishwa kwa Chatbot yaani Customer Management platform kwa makampuni ya Africa
Sajili kampuni Africa na Marekani
Developers wako wawe kwenye ofisi ya Marekani
Africa iwe ni Sales office kwa nchi zifuatazo South Africa, Kenya, Tanzania, Nigeria, Morocco, Tunisia, Algeria, Egypt, Mauritius, Angola, Namibia, Ghana, na Ethiopia
Then niambie kama usipokuwa billionaire
Uko Informed sana wewe jamaa.Japokuwa nilifika Oakland ambapo wenyewe wanasema sio silicon Valley lakini kukaa kwangu kwa muda mchache nilijua vingi kuhusiana na silicon valley since ni 17 Km from Bay Area
Ishue ni kwamba Silicon Valley inakimbia mnooo kiteknolojia maana yake ni kwamba Investors wa silicon valley they invest in high end tech aisee kitu ambacho startup nyingi za kibongo ni startups ambazo zilikuwa zinakuwa invested in 2008 huko ten years back
Kutengeneza app then uende silicon valley uwe funded imekula kwako investors wanawekeza kwenye the following sector
Iaas, SaaS, Maas, AI, Robotics, Autonomous, Na sasa kuna kitu kipya kinaitwa Mobility as a service
Vijana wengi wa Silicon Dar wanachokosea ni kupitch kwa silicon valley investors wakati wanatakiwa wa pitch kwa investors wa maeneo mengine
Kingine ni kwamba hakuna Startup Ecosystem nzuri na hapa ni kazi ya Serikali sasa , Serikali inatakiwa ikodi jengo moja pale Kijitonyama, kuwe na Incubators, accelerators ikaribishe VC wa Scandinavian ambao ndio wanaopenda kuwekeza Africa wawe na ofisi pale kwa sababu investors wengi wanapenda kuwekeza kwenye kampuni ambazo akiendesha gari kwanzia ofisini kwake hadi kwenye HQ ya startup aliyowekeza ni dakika 10 so bongo hakuna VC
Of which hii ni dili kubwa kwa Taasisi za kifedha ambazo kuna bank hapa nchini zinatakiwa zibadilike kuwa VC na sio banks anymore mfano I&M bank and First housing bank
Technology ni sekta ambayo kuna ombwe kubwa sana Africa na ndio maana makampuni ya teknolojia ya Marekani yanapenetrate sana Africa mfano mzuri angalia Instagram, WhatsApp, TikTok, Netflix, Uber, na kadhalika
Africa tumekuja na version ya Netflix inaitwa showmax na inafanya vizuri tu
Africa tumekuja na version ya Spotify boomplay inafanya vizuri tu etc
Mfano sasa hivi baada ya Corona Uber wamejifungia Chicago zaidi ya watu 1,000 watengeneze coding ya Uber Works yaani fleelancer app na watu wanaisubiri law sababu aftermath ya Corona ni ajira nyingi zimepotea
Ngoja nikupe mfano mwingine Southeast Asia wao baada ya uber kuanzishwa 2008 wao Indonesia wakaanzisha Gojek na Singapore wakaanzisha Grab unajua thamani ya hayo makampuni now??
Cha msingi ni kuangalia 2020 Marekani wameanzisha nini, then wewe anzisha the same thing kwa Africa trust me in no time utatusua tu ila cha kufanya ni hiki
Kampuni yako ianzishe Marekani then your mode of operation iwe ni B2B yaani utoe solutions kwa Africa companies na sio kwa B2C itakula kwako
Idea mojawapo ambapo mtu akianzisha atapiga hela sana ni kuanzishwa kwa Chatbot yaani Customer Management platform kwa makampuni ya Africa
Sajili kampuni Africa na Marekani
Developers wako wawe kwenye ofisi ya Marekani
Africa iwe ni Sales office kwa nchi zifuatazo South Africa, Kenya, Tanzania, Nigeria, Morocco, Tunisia, Algeria, Egypt, Mauritius, Angola, Namibia, Ghana, na Ethiopia
Then niambie kama usipokuwa billionaire
Japokuwa nilifika Oakland ambapo wenyewe wanasema sio silicon Valley lakini kukaa kwangu kwa muda mchache nilijua vingi kuhusiana na silicon valley since ni 17 Km from Bay Area
Ishue ni kwamba Silicon Valley inakimbia mnooo kiteknolojia maana yake ni kwamba Investors wa silicon valley they invest in high end tech aisee kitu ambacho startup nyingi za kibongo ni startups ambazo zilikuwa zinakuwa invested in 2008 huko ten years back
Kutengeneza app then uende silicon valley uwe funded imekula kwako investors wanawekeza kwenye the following sector
Iaas, SaaS, Maas, AI, Robotics, Autonomous, Na sasa kuna kitu kipya kinaitwa Mobility as a service
Vijana wengi wa Silicon Dar wanachokosea ni kupitch kwa silicon valley investors wakati wanatakiwa wa pitch kwa investors wa maeneo mengine
Kingine ni kwamba hakuna Startup Ecosystem nzuri na hapa ni kazi ya Serikali sasa , Serikali inatakiwa ikodi jengo moja pale Kijitonyama, kuwe na Incubators, accelerators ikaribishe VC wa Scandinavian ambao ndio wanaopenda kuwekeza Africa wawe na ofisi pale kwa sababu investors wengi wanapenda kuwekeza kwenye kampuni ambazo akiendesha gari kwanzia ofisini kwake hadi kwenye HQ ya startup aliyowekeza ni dakika 10 so bongo hakuna VC
Of which hii ni dili kubwa kwa Taasisi za kifedha ambazo kuna bank hapa nchini zinatakiwa zibadilike kuwa VC na sio banks anymore mfano I&M bank and First housing bank
Technology ni sekta ambayo kuna ombwe kubwa sana Africa na ndio maana makampuni ya teknolojia ya Marekani yanapenetrate sana Africa mfano mzuri angalia Instagram, WhatsApp, TikTok, Netflix, Uber, na kadhalika
Africa tumekuja na version ya Netflix inaitwa showmax na inafanya vizuri tu
Africa tumekuja na version ya Spotify boomplay inafanya vizuri tu etc
Mfano sasa hivi baada ya Corona Uber wamejifungia Chicago zaidi ya watu 1,000 watengeneze coding ya Uber Works yaani fleelancer app na watu wanaisubiri law sababu aftermath ya Corona ni ajira nyingi zimepotea
Ngoja nikupe mfano mwingine Southeast Asia wao baada ya uber kuanzishwa 2008 wao Indonesia wakaanzisha Gojek na Singapore wakaanzisha Grab unajua thamani ya hayo makampuni now??
Cha msingi ni kuangalia 2020 Marekani wameanzisha nini, then wewe anzisha the same thing kwa Africa trust me in no time utatusua tu ila cha kufanya ni hiki
Kampuni yako ianzishe Marekani then your mode of operation iwe ni B2B yaani utoe solutions kwa Africa companies na sio kwa B2C itakula kwako
Idea mojawapo ambapo mtu akianzisha atapiga hela sana ni kuanzishwa kwa Chatbot yaani Customer Management platform kwa makampuni ya Africa
Sajili kampuni Africa na Marekani
Developers wako wawe kwenye ofisi ya Marekani
Africa iwe ni Sales office kwa nchi zifuatazo South Africa, Kenya, Tanzania, Nigeria, Morocco, Tunisia, Algeria, Egypt, Mauritius, Angola, Namibia, Ghana, na Ethiopia
Then niambie kama usipokuwa billionaire
People pia wajue even in silicon valley there are number of failed startups for a single successful one we hear about...No single successful founders have witness to have easier path to get were they are...So this is entrepreneurship u must have steel heart and great determination to chew that glass for breakfast... Waiting for perfect perfect environment to execute ur idea is not the attribute of successful entrepreneur.
Uko Informed sana wewe jamaa.
Uko well informed sana Mkuu, ukiendelea hivi utatoboa mbali sana.
Hemu elezea hizi telnolojia
Iaas, SaaS, Maas, AI, Robotics, Autonomous, Na sasa kuna kitu kipya kinaitwa Mobility as a service
Angepata wateja wengi mnoo.Kuna jamaa wangu alitaka kutengeneza app ya malaya wenye mizigo mikubwa tu. Hata sijui aliishia wapi na mpango wake.