Upepo wa Motivational speakers, Vijana na NGOs, kilimo cha makaratasi, project za innovation kiteknolojia zinaishia wapi?

Napoleone

JF-Expert Member
Apr 11, 2012
10,087
15,960
Mwanzoni mwa mwaka 2017 kwenda 2018 -2019 vijana wengi waliomaliza vyuo vikuu walikuwa wanajikita sana kwenye maeneo hayo.

Upepo huo ulikuwa mkali sana pengne haukuwa na uhalisia ama ulikuwa na uhalisia sijui..

Mfano kijana anamaliza chuo hana mtaji wa kifedha ila ana elimu wengi walijikita katika kufungua NGOs, kufanya project za kitechnolojia(hapa utaskia program ya kuwasha taa bila kugusa switch ukutani).

Au taasisi ya kusaidia watoto wa mitaani(NGO)..

Ama kilimo cha kware etc etc....greenhouse mijini etc.

Gafla upepo huu umekatika..
je tatzo liko wapi?

1. Project hazina uhalisia na mazingira halisi (Kwamba ok tunatengeneza app ya nni sijui..muda huo unakula nin..unalipa kod na nin)...?tho uthubutu ni mzuri ila unakula nini muda huo..

2.kilimo cha kware ama utaskia kilimo robo heka kwenye green house unatapa kama anayelima heka 5..well..probably yes..

3.ilifikia kipindi motivational speakers walikuwa wengi kuliko wanaomotivetiwa

4.akina foreva ,D9..n the likes..unaambiwa ingia na 300k..ita wenzio kadhaa utaanza pata mshahara kias kadhaa na kuwa milionea kwa mda mfup...hawa wameishia wap au ndo wamepiga hela..

Well...perhaps ni uchumi umevurugika..ama hiz projects zilikua hazina uhalisia?..kwamba zingekufa tu mbelen?..ama..tuna tatzo la elimu ama ni nin ama ni korona..sijui

Now kilichitokea sasa kiuhalisia ni ongezeko la machinga..wachuuzi...mitandaoni na mitaan tho huku wanafukuzwa..

Weng wakiwa kwenye mambo yenye uhalisia..yaan kama atauza nguo apate hela..au atafanya ujenz au achomelee au awe fund gar au awe bodaboda etc au atalima mahindi...

Mitandaon naona sana biashara na huduma zenye uhalisia...je vijana wameacha bla bla(maneno maneno meng na ublazameni) na kuamua kufanya kaz?

Well..labda nisiwe na mantik au uandish mbaya..cha muhimu nimegusia jambo fulan

Uzi tayar





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanzoni mwa mwaka 2017 kwenda 2018 -2019 vijana wengi waliomaliza vyuo vikuu walikuwa wanajikita sana kwenye maeneo hayo.

Upepo huo ulikuwa mkali sana pengne haukuwa na uhalisia ama ulikuwa na uhalisia sijui..
Mambo mengi ni too good to be true.
Wajinga hawaishi watu wanapigwa kila day na hawakomi.
Eti wekeza milioni ukae tu uje uchukue ela uliyowekeza na faida ya milion juu baada ya mieiz 4. Watu wanajaa tu, umeambiwa hiyo ni public company
 
Mwanzoni mwa mwaka 2017 kwenda 2018 -2019 vijana wengi waliomaliza vyuo vikuu walikuwa wanajikita sana kwenye maeneo hayo.

Upepo huo ulikuwa mkali sana pengne haukuwa na uhalisia ama ulikuwa na uhalisia sijui..






Sent using Jamii Forums mobile app
Motivational speakers ndo chanzo cha projects kama hizo kuibuka, wakati its not realistic en applicable.
 
Mambo mengi ni too good to be true.
Wajinga hawaishi watu wanapigwa kila day na hawakomi.
Eti wekeza milioni ukae tu uje uchukue ela uliyowekeza na faida ya milion juu baada ya mieiz 4. Watu wanajaa tu, umeambiwa hiyo ni public company
Sasa hv vijana wanakuwa wachungaji,wanaanzisha makanisa.
Kuna DECI moja inakuja kupitia mgongo wa kilimo Cha Vanilla,Hawa jamaa wanasema vanilla inalipa sana,pesa nje nje,sasa wanataka uwafate wakupe shamba huko njombe ulime!!sasa Cha kuj iuliza kama vanilla ni mgodi wa dhahabu kwanini wao wasilime hayo mashamba wapige pesa wawe na mkwanja mrefu kama Daimond,au Bakheresa!!,
Kwamba wao ni wema na Wana upendo wanataka hayo mamilioni tuyapate wengi ndio maana wanataka kutushirikisha.!!I smell rotten fish,I don't fucking buy it!!!
Hapa nahisi kupigwa za uso
 
Vijana wakaona mchongo upo, forex , wanakwambia unyama ni mwingi mwaisa.
Wengine bado tunaendeleza project za ingia tukumalize. 🌑😂😂😂. Ila wengi mchongo ni forex ma crypto. Hawaweki tena mchuzi kwenye network marketting au mashamba. Yaani wanapigwa na wanapiga.
 
Sasa hv vijana wanakuwa wachungaji,wanaanzisha makanisa.
Kuna DECI moja inakuja kupitia mgongo wa kilimo Cha Vanilla,Hawa jamaa wanasema vanilla inalipa sana,pesa nje nje,sasa wanataka uwafate wakupe shamba huko njombe ulime!!sasa Cha kuj iuliza kama vanilla ni mgodi wa dhahabu kwanini wao wasilime hayo mashamba wapige pesa wawe na mkwanja mrefu kama Daimond,au Bakheresa!!,
Kwamba wao ni wema na Wana upendo wanataka hayo mamilioni tuyapate wengi ndio maana wanataka kutushirikisha.!!I smell rotten fish,I don't fucking buy it!!!
Hapa nahisi kupigwa za uso
Tehehtehteh..biashara ya kwel inayomuingizia mtu kipato huwa haisemi..ukiona anaongea ujue anakutafta wew

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijaona mtu, anayelalamika kwa kuwa labda ana kanga(ndege) 5000, na amekosa soko? Kama yupo aliyekosa soko... atuwekee bidhaa walaji waweze kununua.
 
Wapi Mr.Makuku?
Mjini bila ujanja ujanja mwingi ni ngumu sana kutoboa, ONTARIO popote ulipo Mungu azidi kukubariki umewasaidia vijana wengi wa Jf kua mabilionea kupitia forex.
Vijana wengi wa sasa ndoto zao ni kulala masikini na kuamka tajiri pasi na kuvuja jasho, wacha wajanja waneemeke kupitia wao.
 
Back
Top Bottom