Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,766
- 36,359
Hamna pesa hebu mjiheshimu basiTusipangiane maisha.
Weka pichaHunijui sikujui.
Huo ndio ukweli, nyie vijana mnaofuga ndevu kama fashion ya kileo mjini hamna pesa. Kazi yenu kujichubua tu na kutongoza hovyo.
Kwa kuwa wadada wa leo hawajui wanahitaji nini wanashituka wameshabeba mimba zenu na pesa za kuwahudumia hamna.
Fugeni angalau kuku wa kienyeji hapo uani kwa wazazi wenu kuliko kufuga mindevu na pesa hamna.
AhahahahaWeka picha
Hunijui sikujui.
Huo ndio ukweli, nyie vijana mnaofuga ndevu kama fashion ya kileo mjini hamna pesa. Kazi yenu kujichubua tu na kutongoza hovyo.
Kwa kuwa wadada wa leo hawajui wanahitaji nini wanashituka wameshabeba mimba zenu na pesa za kuwahudumia hamna.
Fugeni angalau kuku wa kienyeji hapo uani kwa wazazi wenu kuliko kufuga mindevu na pesa hamna.
Wewe ni shahidi no. 1Ywanasumbua sana halafu waharibifu Kuna dogo kazaa na wanawake watatu mpaka saizi yaani ana watoto watatu kwa wanawake watatu wakati huo kula yake mwenyewe inamshinda
AhahahahaTumekukosea nini lakini kaka Sandali Ali
Hana ndevu.Mwanaume unaanzaje kufatilia mambo ya mwanaume mwenzako...
Tena asubuhi hii hata chai hujanywa
Ipi tafauti yako na dada akoHunijui sikujui.
Huo ndio ukweli, nyie vijana mnaofuga ndevu kama fashion ya kileo mjini hamna pesa. Kazi yenu kujichubua tu na kutongoza hovyo.
Kwa kuwa wadada wa leo hawajui wanahitaji nini wanashituka wameshabeba mimba zenu na pesa za kuwahudumia hamna.
Fugeni angalau kuku wa kienyeji hapo uani kwa wazazi wenu kuliko kufuga mindevu na pesa hamna.