Vijana mliokatwa nafasi za maudhui zoezi la Sensa mmeona unafiki wa Wanasiasa

Nazi embe

Senior Member
Sep 20, 2016
105
123
Nawakumbusha tu zoezi hili lilikuwa ni ajira za muda mfupi ila madudu yaliyofanyika katika kuwaondoa wasimizi wa maudhui limekuwa jambo la kawaida pamoja na vijana kupaza sauti si kiongozi wa chama tawala Wala upinzani ambaye ametoka na kuliongelea hili suala as if hakuna ujinga ukiofanyika mtu kumwambia omba nafasi hii arafu badae unamwambia nafasi hizo zimejazwa na watu maalumu wakuu wa shule tuseme hawakuwa na takwimu wakuu wapo wangapi kila kata kwanini hawakuweka angalizo katika uombaji kuwa nafasi hizo zitatoka kulingana na uhitaji wa eneo kwani Kuna wakuu wa shule vijana wajue pakushindania.

Vijana ndio mkumbuke hawa Wana siasa hawapo kuwatetea maslahi yenu wapo kuwatumia kwa maslahi yao next time mpunguze shobo katika mambo yao kwani hawapo tayali kusimama katika mambo yenu haya hii jambo si ajira kwanini uhuni unafanyika wao wapo kimya je mangapi uko bungeni yanawahusu vijana ila kwakua hawana maslahi nayo wanakaa kimya wanasubulia chaguzi ndio waseme maneno yao Mara muandamane Mara mdau Katiba mpya nk.

Huu Uzi si kwa wanasiasa wa upinzani tu hata chama tawala inawahusu kwani wote wapo kimya
 
Kwani kumetokea nini tena huko? Kukosa nafasi kwa waombaji wengi kwenye hilo kazi ya ukarani kulikuwa hakukwepeki!

By the way, wimbi la vijana wasio na ajira kwa sasa limeshakuwa bomu linalosubiri tu kulipuka wakati wowote ule.
 
Kwani kumetokea nini tena huko? Kukosa nafasi kwa waombaji wengi kwenye hilo kazi ya ukarani kulikuwa hakukwepeki!

By the way, wimbi la vijana wasio na ajira kwa sasa limeshakuwa bomu linalosubiri tu kulipuka wakati wowote ule.
Katika kipindi cha maombi mfumo ulikuwa unamwambia wachague nafasi ipi wanaitaji ukarani au usimamizi wa maudhui kwaiyo Kila mtu akacchagua pal e anapoona anaweza shindania ajabu iliyotokea walioomba nafasi ya ukarani nchi nzima maajina yamerudi ila kundi la maudhui limerudi kimakundi kwa tarifa kuwa hizo nafasi zimejazwa na wakuu wa shule hivyo hawahitajiki hapo ndio utata umekuja kwanini hawakutoa tarifa Bora wangeaacha wakashidane mtu apigwe maswali atoke anasema hapa nimekosa kwa uzembe wangu si uzembe wa NBS
 
Kuna haki na hisani.

Haki ni kile ambacho ni lazima upate kutokana na wajibu fulani au hali fulani uliyonayo. Hisani ni hiari ya mtu kukufanyia jambo ama kutofanya. Kukupa au kutokupa.

Sasa tukishindwa kutofautisha kati ya haki na hisani, tutajikuta tunakuwa watu wa kulalamika kwenye kila jambo. Just imagine kusingekuwa na hilo zoezi la sensa? Au likiahirishwa? Au wakisema ni kazi ya kujitolea?
 
Katika kipindi cha maombi mfumo ulikuwa unamwambia wachague nafasi ipi wanaitaji ukarani au usimamizi wa maudhui kwaiyo Kila mtu akacchagua pal e anapoona anaweza shindania ajabu iliyotokea walioomba nafasi ya ukarani nchi nzima maajina yamerudi ila kundi la maudhui limerudi kimakundi kwa tarifa kuwa hizo nafasi zimejazwa na wakuu wa shule hivyo hawahitajiki hapo ndio utata umekuja kwanini hawakutoa tarifa Bora wangeaacha wakashidane mtu apigwe maswali atoke anasema hapa nimekosa kwa uzembe wangu si uzembe wa NBS
Ngoja mkome
 
Nawakumbusha tu zoezi hili lilikuwa ni ajira za muda mfupi ila madudu yaliyofanyika katika kuwaondoa wasimizi wa maudhui limekuwa jambo la kawaida pamoja na vijana kupaza sauti si kiongozi wa chama tawala Wala upinzani ambaye ametoka na kuliongelea hili suala as if hakuna ujinga ukiofanyika mtu kumwambia omba nafasi hii arafu badae unamwambia nafasi hizo zimejazwa na watu maalumu wakuu wa shule tuseme hawakuwa na takwimu wakuu wapo wangapi kila kata kwanini hawakuweka angalizo katika uombaji kuwa nafasi hizo zitatoka kulingana na uhitaji wa eneo kwani Kuna wakuu wa shule vijana wajue pakushindania.

Vijana ndio mkumbuke hawa Wana siasa hawapo kuwatetea maslahi yenu wapo kuwatumia kwa maslahi yao next time mpunguze shobo katika mambo yao kwani hawapo tayali kusimama katika mambo yenu haya hii jambo si ajira kwanini uhuni unafanyika wao wapo kimya je mangapi uko bungeni yanawahusu vijana ila kwakua hawana maslahi nayo wanakaa kimya wanasubulia chaguzi ndio waseme maneno yao Mara muandamane Mara mdau Katiba mpya nk.

Huu Uzi si kwa wanasiasa wa upinzani tu hata chama tawala inawahusu kwani wote wapo kimya
Jomba hata mwalimu mkuu anaitaka hiyo pesa. Haijalishi ana umri gani.

Lakini kikubwa ni kwamba hawa ni wataalamu wa kukusanya, kuchakata, kutumia na kuzihifadhi data. Haijalishi umri wake.

Vetting pia imefanyika. Si ilimradi mwalimu mkuu, bali uwezo wake wa kucheza na mifumo ya kukusanyia na kutuma taarifa.

Nikupe mfano wa kazi za mwalimu mkuu. Kusajili wanafaunzi wa elimu ya awali, darasa la kwanza, usajili wa mitihani std IV & VII, kukusanya na kutuma taarifa za kuhusu kila kitu cha shule. Kifupi anachezea mifumo mingi.

Hiyo ndiyo sababu ya kupewa jukumu hilo moja kwa moja.

Nafikiri walimu nimewatetea vya kutosha.
 
Jomba hata mwalimu mkuu anaitaka hiyo pesa. Haijalishi ana umri gani.

Lakini kikubwa ni kwamba hawa ni wataalamu wa kukusanya, kuchakata, kutumia na kuzihifadhi data. Haijalishi umri wake.

Vetting pia imefanyika. Si ilimradi mwalimu mkuu, bali uwezo wake wa kucheza na mifumo ya kukusanyia na kutuma taarifa.

Nikupe mfano wa kazi za mwalimu mkuu. Kusajili wanafaunzi wa elimu ya awali, darasa la kwanza, usajili wa mitihani std IV & VII, kukusanya na kutuma taarifa za kuhusu kila kitu cha shule. Kifupi anachezea mifumo mingi.

Hiyo ndiyo sababu ya kupewa jukumu hilo moja kwa moja.

Nafikiri walimu nimewatetea vya kutosha.
Acha uongo mwalimu mkuu usilete mmepewa shavu tu kuna walimu wakuu hata kuwasha computer hawajui au niwataje😂😂😂
 
Ujinga wa vijana wa ccm mitandaon ni kwamba mmejazwa mitandaon bila great knowledge and thinking ndio maana huwa nawambia nenden shule la sivyo miaka michache ijayo mtatoweka kabisa kwa huu upuuz wenu.

NOW BACK TO YOUR TOPIC: Unaongelea sensa huku ukilaumu wanasiasa wa upinzan swali kwako je? wanasiasa wa upinzani wanahusika vipi na recruitment ya hao makaran na wengineo wanaohusu sensa au uzwazwa umeingia kichwani na kubungua ubongo.
Utadhani wewe ndiye mmiliki wa wapinzani wote Africa.
 
Nawakumbusha tu zoezi hili lilikuwa ni ajira za muda mfupi ila madudu yaliyofanyika katika kuwaondoa wasimizi wa maudhui limekuwa jambo la kawaida pamoja na vijana kupaza sauti si kiongozi wa chama tawala Wala upinzani ambaye ametoka na kuliongelea hili suala as if hakuna ujinga ukiofanyika mtu kumwambia omba nafasi hii arafu badae unamwambia nafasi hizo zimejazwa na watu maalumu wakuu wa shule tuseme hawakuwa na takwimu wakuu wapo wangapi kila kata kwanini hawakuweka angalizo katika uombaji kuwa nafasi hizo zitatoka kulingana na uhitaji wa eneo kwani Kuna wakuu wa shule vijana wajue pakushindania.

Vijana ndio mkumbuke hawa Wana siasa hawapo kuwatetea maslahi yenu wapo kuwatumia kwa maslahi yao next time mpunguze shobo katika mambo yao kwani hawapo tayali kusimama katika mambo yenu haya hii jambo si ajira kwanini uhuni unafanyika wao wapo kimya je mangapi uko bungeni yanawahusu vijana ila kwakua hawana maslahi nayo wanakaa kimya wanasubulia chaguzi ndio waseme maneno yao Mara muandamane Mara mdau Katiba mpya nk.

Huu Uzi si kwa wanasiasa wa upinzani tu hata chama tawala inawahusu kwani wote wapo kimya
Sio lazima kila mtu apate mkuu kuna idadi ya watu inatotakiwa itakuwaje sasa mkichukuliwa wote!?
 
Nawakumbusha tu zoezi hili lilikuwa ni ajira za muda mfupi ila madudu yaliyofanyika katika kuwaondoa wasimizi wa maudhui limekuwa jambo la kawaida pamoja na vijana kupaza sauti si kiongozi wa chama tawala Wala upinzani ambaye ametoka na kuliongelea hili suala as if hakuna ujinga ukiofanyika mtu kumwambia omba nafasi hii arafu badae unamwambia nafasi hizo zimejazwa na watu maalumu wakuu wa shule tuseme hawakuwa na takwimu wakuu wapo wangapi kila kata kwanini hawakuweka angalizo katika uombaji kuwa nafasi hizo zitatoka kulingana na uhitaji wa eneo kwani Kuna wakuu wa shule vijana wajue pakushindania.

Vijana ndio mkumbuke hawa Wana siasa hawapo kuwatetea maslahi yenu wapo kuwatumia kwa maslahi yao next time mpunguze shobo katika mambo yao kwani hawapo tayali kusimama katika mambo yenu haya hii jambo si ajira kwanini uhuni unafanyika wao wapo kimya je mangapi uko bungeni yanawahusu vijana ila kwakua hawana maslahi nayo wanakaa kimya wanasubulia chaguzi ndio waseme maneno yao Mara muandamane Mara mdau Katiba mpya nk.

Huu Uzi si kwa wanasiasa wa upinzani tu hata chama tawala inawahusu kwani wote wapo kimya
Hata mimi ningekuwa mwanasiasa ningewalima ,hizo nafasi ningewapa wamama ambao ndio hupiga kura nyie ni liability kwenye siasa.
 
Nawakumbusha tu zoezi hili lilikuwa ni ajira za muda mfupi ila madudu yaliyofanyika katika kuwaondoa wasimizi wa maudhui limekuwa jambo la kawaida pamoja na vijana kupaza sauti si kiongozi wa chama tawala Wala upinzani ambaye ametoka na kuliongelea hili suala as if hakuna ujinga ukiofanyika mtu kumwambia omba nafasi hii arafu badae unamwambia nafasi hizo zimejazwa na watu maalumu wakuu wa shule tuseme hawakuwa na takwimu wakuu wapo wangapi kila kata kwanini hawakuweka angalizo katika uombaji kuwa nafasi hizo zitatoka kulingana na uhitaji wa eneo kwani Kuna wakuu wa shule vijana wajue pakushindania.

Vijana ndio mkumbuke hawa Wana siasa hawapo kuwatetea maslahi yenu wapo kuwatumia kwa maslahi yao next time mpunguze shobo katika mambo yao kwani hawapo tayali kusimama katika mambo yenu haya hii jambo si ajira kwanini uhuni unafanyika wao wapo kimya je mangapi uko bungeni yanawahusu vijana ila kwakua hawana maslahi nayo wanakaa kimya wanasubulia chaguzi ndio waseme maneno yao Mara muandamane Mara mdau Katiba mpya nk.

Huu Uzi si kwa wanasiasa wa upinzani tu hata chama tawala inawahusu kwani wote wapo kimya
Nimemsikia mwanasiasa akimpa maelekezo mtumishi mmoja wa Manispaa ambayo ni mji ila tu inakosa bahari nanukuu "...yale majina kutoka kwa mheshimiwa niliyokuambia uingize kwenye orodha nakutumia kwa whatsapp, hebu fungua data upesi ufanyie kazi"
 
Back
Top Bottom