Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 1,845
- 5,003
Kwa hiyo pisi ndio matatizo yote?Hii ni pisi moja matata kweli kweli kwanza kujibu DM sio jambo rahisi sababu kama mnavyojua pisi kali instagram huwa hazijibu dm kirahisi rahisi sabab ya usumbufu wanaoupata kutoka kwa washkaji lakini ukiwa na kibunda kazi inakuwa nyepesi sana.
View attachment 2770126