Vijana chukueni somo la bure hili, tafuteni kibunda ndio solution ya mambo yote!

tRNA

Member
Jan 10, 2023
88
290
Hii ni pisi moja matata kweli kweli kwanza kujibu DM sio jambo rahisi sababu kama mnavyojua pisi kali instagram huwa hazijibu dm kirahisi rahisi sabab ya usumbufu wanaoupata kutoka kwa washkaji lakini ukiwa na kibunda kazi inakuwa nyepesi sana.

IMG_0005.jpg
 
Most of things have value, u can buy them, wengine tupo tayari kutafuta hela kwa ajili ya kujisaidia na kusaidia watu na sio kutafuta uchi.

Kwa uzoefu wangu, kama kuna namna wadada niliowaza nisingewapata kabisa, niliwapata kwa sababu ya kutowafuatiliya.
 
Ulituma kias gani? Ni technique nzuri.. ingawa unamzoesha vibaya mapema sana, huyo atakusumbua sana mpaka akupe uchi.

Mara nyingi ukitanguliza hela mbele, wao wanajipa akili ya kwamba unazo nyingi, ili azifaidi ni lazima akupige danadana huku akikuomba vihela vya hapa na pale. Na hata ukimind na kususa yeye hana hasara maana tyr kashachukua fungu lake mapema.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom