Achana na hizo story mkuu. Hizo kazi zote wanafanya international companies. Ww una ujuzi wa kutafuta mafuta??Habari za jukwaa la ajira na tenda.
Nimepata tetesi za uhakika kutoka mamlaka ya TPDC kuwa kuna mradi wa utafutaji wa mafuta na gesi mkoa wa Rukwa utaanza mwezi wa sita.
Vijana changamkieni fursa hiyo.
Kuna fursa gani za vijana kuchangamkia kupitia mafuta na Gesi?Habari za jukwaa la ajira na tenda.
Nimepata tetesi za uhakika kutoka mamlaka ya TPDC kuwa kuna mradi wa utafutaji wa mafuta na gesi mkoa wa Rukwa utaanza mwezi wa sita.
Vijana changamkieni fursa hiyo.
Yeah inawezekana utafiti ukafanywa na kampuni ya kichina ya BGP kama walivyofanya Mtwara,Zanzibar na Mlandizi.Habari za jukwaa la ajira na tenda.
Nimepata tetesi za uhakika kutoka mamlaka ya TPDC kuwa kuna mradi wa utafutaji wa mafuta na gesi mkoa wa Rukwa utaanza mwezi wa sita.
Vijana changamkieni fursa hiyo.
Kama ni kampuni ya AGS nimepafahamu ni katika Bonde la ziwa Rukwa upande wa Kamsamba ni mkoa wa Songwe huoYeah inawezekana utafiti ukafanywa na kampuni ya kichina ya BGP kama walivyofanya Mtwara,Zanzibar na Mlandizi.
Kuna kampuni nadhani ni AGS ilifanya hapo awali ila haww BGP watakuja kuufanya kwa 3D kama walivyofanya mlandizi.
NB: Sina uhakika na hiyo tenda mtafiti gani kaipata.
Bado hujapata bando?Kama ni kampuni ya AGS nimepafahamu ni katika Bonde la ziwa Rukwa upande wa Kamsamba ni mkoa wa Songwe huo
Walikuwa pale mwaka Jana na sijui waliishia wapi coz mm niliondoka eneo lile nilikuwa nimeenda kufanya harakati zangu
Bando sijapata......ninunulie Bundle la week basiBado hujapata bando?
Tuma nambaBando sijapata......ninunulie Bundle la week basi
Nimeku PMTuma namba
Wako WAP graduates wa petroleum engineering,Vue AppHabari za jukwaa la ajira na tenda.
Nimepata tetesi za uhakika kutoka mamlaka ya TPDC kuwa kuna mradi wa utafutaji wa mafuta na gesi mkoa wa Rukwa utaanza mwezi wa sita.
Vijana changamkieni fursa hiyo.
Wafanyakazi watakaohitajika
Madereva
Suveryors na surveyor helpers
Recording
PR
SHOOTER NA
Wengineo
Na ghorofa zetu tutazimaliziaHiz fursa lzma vijana tuoe mwaka huu
Tunaomba hata email/contact ili tuweze kuapply kazi,, au kuna mfumo gani unatumika kupata kazi?Wafanyakazi watakaohitajika
Madereva
Suveryors na surveyor helpers
Recording
PR
SHOOTER NA
Wengineo
Kule Songosongo na Mnazibay vijana wamezipata hizo fursa?Habari za jukwaa la ajira na tenda.
Nimepata tetesi za uhakika kutoka mamlaka ya TPDC kuwa kuna mradi wa utafutaji wa mafuta na gesi mkoa wa Rukwa utaanza mwezi wa sita.
Vijana changamkieni fursa hiyo.