Sangizi
JF-Expert Member
- Nov 9, 2015
- 393
- 686
Mkuu fegi tu yenyewe imeandikwa uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako na watu bado wanakula mwenge vibaya sana.Watoe maelezo kitaalamu hizo energy drink zina chemical zipi ndani yake zinaopelekea kuharibu figo, sio kusema tu energy drinks zinaharibu figo.
Hii itasaidia sana watu wapate uelewa kwa upana zaidi.
Sidhani kama wakiandika itasaidia chochote, solution wapige stop za kwenye chupa ya plastic waweke kwenye aluminium automatically na bei lazima ibadilike itapunguza sana matumizi yake.