Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 1,932
- 4,086
Hayo madude sio mazuri yanaongeza sana mapigo ya moyo na yanaweza kukupelekea kupata matatizo ya shinikizo la damuAisee Mimi bila Energy drinks sijisikii vizuri kabisaaa, 2014 nilikuwa nakunywa mpaka 6 per day lakini Sasa hivi asubuhi kabla sijala chochote lazima ninywe moja baridiii sana ndio nitafute chai Sasa. 🤣🤣🤣