Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 48,864
- 42,889
🙆🙆🙆 Binadamu tuu wabishi sanaHizo ni myth tu, Mimi niko fresh Sina tatizo lolote kwenye organs zangu zote.
🙆🙆🙆 Binadamu tuu wabishi sanaHizo ni myth tu, Mimi niko fresh Sina tatizo lolote kwenye organs zangu zote.
Mpaka nichunguze energy ina contents gani Mkuu..DR Mambo Jambo kuna ukweli katika hili?
Possible mkuu fahamu kwamba energy drinks zote zina kiwango cha juu sana cha caffeine ambayo inasababisha madhara kwa figo in a long run...pia zina sukari nyingi ambayo inaweza kusababisha obesity na matatizo mengine ambayo tafiti zinasema huenda matatizo hayo yakarudi kuathiri figo...lakini pia energy nyingi zina kemikali ambazo zikitumiwa kwa mfululizo wa kipindi zinaweza leta shida kwa figo, kemikali hizo kwa mujibu wa mwandishi ni k.v. taurine, guarana na baadhi ya vitamini za kutengeneza pamoja na madini ambayo yanaweza kuwa na viambata-sumu, pia wanasema kemikali hizo zinaweza sababisha mawe ktk figo...mi nasoma tu hii makala kama mwananchi wataalamu wamo humu wanaweza kutuelekezaMaji, sukari, ladha, caffeine n.k ni vitu vipo kwenye vinywaji vingi tu, ai energy drink pekee mi nachohitaji kuelimishwa kuna chemical zipi zenye kuharibu figo kwenye energy drinks? Au kama kuna wingi wa chemical flani waeleze kitaalamu.
TUMEKUELEWA PROF. JANABA😅😅Mbona Hayo Matatizo Tunayaona Kwa Wazee Si Vijana?
Tuzingatie Afya Katika Ulaji Wetu
Muhimu sana hio mkuu. Plus castle lite bariiiidiUsisahau kapilipili mkuu na kalimao. Enjoy.
Nguruwe tena? Hapa tutapigana mkuuPombe, sigara, bangi, shisha, energy drinks, kutumia dawa za kutuliza maumivu hovyo, nguruwe, na ngono zembe jitahidi uviepuke
At least hapa umeeleza mkuu, lakini kitaalamu zaidi inabidi waeleze milliliters kadhaa za energy drinks zina kiwango hiki cha caffeine na mwili wa mwanadamu unapaswa kupokea caffeine kiwango flani kwa mwezi au wiki n.k waeleze pia kiwango cha sukari kilichomo je kinazidi kiwango kinachohitajika katika mwili?Possible mkuu fahamu kwamba energy drinks zote zina kiwango cha juu sana cha caffeine ambayo inasababisha madhara kwa figo in a long run...pia zina sukari nyingi ambayo inaweza kusababisha obesity na matatizo mengine ambayo tafiti zinasema huenda matatizo hayo yakarudi kuathiri figo...lakini pia energy nyingi zina kemikali ambazo zikitumiwa kwa mfululizo wa kipindi zinaweza leta shida kwa figo, kemikali hizo kwa mujibu wa mwandishi ni k.v. taurine, guarana na baadhi ya vitamini za kutengeneza pamoja na madini ambayo yanaweza kuwa na viambata-sumu, pia wanasema kemikali hizo zinaweza sababisha mawe ktk figo...mi nasoma tu hii makala kama mwananchi wataalamu wamo humu wanaweza kutuelekeza
Hapo sasa waje akina doktamathew tupate darasaAt least hapa umeeleza mkuu, lakini kitaalamu zaidi inabidi waeleze milliliters kadhaa za energy drinks zina kiwango hiki cha caffeine na mwili wa mwanadamu unapaswa kupokea caffeine kiwango flani kwa mwezi au wiki n.k waeleze pia kiwango cha sukari kilichomo je kinazidi kiwango kinachohitajika katika mwili?
Kuhusu sukari hata hizi soda zina sukari nyingi.
Hii itasaidia watu watumie bidhaa hizo kwa vipimo maalumu.
Bado hawajaeleza kitaalamu zaidi.
Punguza uko kwenye hatari kubwaAisee Mimi bila Energy drinks sijisikii vizuri kabisaaa, 2014 nilikuwa nakunywa mpaka 6 per day lakini Sasa hivi asubuhi kabla sijala chochote lazima ninywe moja baridiii sana ndio nitafute chai Sasa. 🤣🤣🤣
Na hadi leo uko fit?Aisee Mimi bila Energy drinks sijisikii vizuri kabisaaa, 2014 nilikuwa nakunywa mpaka 6 per day lakini Sasa hivi asubuhi kabla sijala chochote lazima ninywe moja baridiii sana ndio nitafute chai Sasa. 🤣🤣🤣
Watauzaje magazeti bila kututisha ?Makala hiyo hapo msije kusema nawapanga
View attachment 2936306
Niko fiti Mkuu nakimbia kilometa 14, napiga push-ups 30 naruka kamba mara 100. Nakunywa maji Lita 6 daily na Sina tatizo hata kidogoNa hadi leo uko fit?
Ni sahihi, watu wapewe elimu kwa upana zaidi kuhusu hivi vinywaji vya kiwandani kwa ujumla.Hapo sasa waje akina doktamathew tupate darasa
Sasa hivi kuna smart gin za 2k vijana wanachanganya na energy drinks, its terrible kwa kizazi hiki.Serikali ipige marufuku hizi energy drinks hasa za kwenye chupa za plastic maana zinauzwa mno bei rahisi.
Kama kuna ulazima ziwepo basi ziwepacked kwenye kopo za Alluminium na moja iuzwe 6,000 ili kuthibiti unywaji holela.
Kama pombe za karatasi za viroba zilipigwa marufuku, Serikali inashindwa nini kupiga marufuku huu ulevi wa energy drink ili kuokoa nguvu kazi ya nchi na kupunguza mzigo mkubwa kwa sekta ya afya?
Endelea tu lakini kumbuka majuto ni mjukuu....!Au ndio kampeni za kuharibu biashara za watu.
Tena ngoja niende kwa mangi nipate energy drink ya bariid.
Hapo safi kabisaNiko fiti Mkuu nakimbia kilometa 14, napiga push-ups 30 naruka kamba mara 100. Nakunywa maji Lita 6 daily na Sina tatizo hata kidogo
Kwamba unawaamini Wananchi? Mtaani kwenu tafuta kama utapata aliyesababishiwa matatizo na energy drinksNdo ukweli huo. Tafuta gazeti la Mwananchi la jana Machi 15, 2024 wameandika kwa kina sana...inaonekana unywaji pombe ni tatizo sana hasa kwa Vijana, ushahidi ni ukienda wikiendi Tabata, Kitambaa, Rainbow etc