Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Katika kitabu cha John Maxwell kiitwacho Thinking for Change kuna point alizungumzia kuhusu mahusiano ya mwanamke na mwanaume kama hawashiriki tendo la ndoa au sex hapo hakuna TRUE LOVE zaidi ya kupotezeana muda.
John Maxwell anasema sex ndio chombo pekee kinachotengeneza true Love na kama partner wako ukiona suala la sex katika mahusiano yenu then upo katika wrong place na umebeba jiwe zito muda wowote litakuangusha.
Hivyo basi mpenzi wako hata akupende vipi kama hayupo tiyali kukupa sex hadi ndoa basi tambua upo katika mahusiano ambayo ikoo siku yatasambaratika.
John Maxwell anasema sex ndio chombo pekee kinachotengeneza true Love na kama partner wako ukiona suala la sex katika mahusiano yenu then upo katika wrong place na umebeba jiwe zito muda wowote litakuangusha.
Hivyo basi mpenzi wako hata akupende vipi kama hayupo tiyali kukupa sex hadi ndoa basi tambua upo katika mahusiano ambayo ikoo siku yatasambaratika.