Acha umalayaKatika kitabu cha John Maxwell kiitwacho Thinking for Change kuna point alizungumzia kuhusu mahusiano ya mwanamke na mwanaume kama hawashiriki tendo la ndoa au sex hapo hakuna TRUE LOVE zaidi ya kupotezeana muda
John Maxwell anasema sex ndio chombo pekee kinachotengeneza true Love na kama partner wako ukiona suala la sex katika mahusiano yenu then upo katika wrong place na umebeba jiwe zito muda wowote litakuangusha.
Hivyo basi mpenzi wako hata akupende vipi kama hayupo tiyali kukupa sex hadi ndoa basi tambua upo katika mahusiano ambayo ikoo siku yatasambaratika
Hii iandikie uzi wakeNajuta kuoa.
Hapo ulipo huna bikra ...wahuni washafanya yaoNi kwamba vijana wengi ngono tu na tamaa tamaa za kifirauni zinawasumbua na mkachanje
mimi usinifananishe na dada zako wanao amini ili upendwe lazima utoe uchi sinaga ushamba wa namna hiyo mimiHapo ulipo huna bikra ...wahuni washafanya yao
Kwahyo hukitoi mpka ndoa baby ?Ni kwamba vijana wengi ngono tu na tamaa tamaa za kifirauni zinawasumbua na mkachanje
Ndio situmiki kizembe mimi kama akiona hawezi kusubir akwendreeeee
Afadhali umtunuku angalau mara moja au mbili afu usimamie hilo la kusubiri ndoa, kuliko kumnyima mwanzo mwisho huku ukihitaji shoo unapelekea mwingineKama anakupenda tayari fanya taratibu ili umuoae haraka sio unasema hakuna TRUE LOVE bila SEX halafu unapewa hadi miaka5 na wala humuoi unaishia kumuacha
Hapo ndio kutafutana lawama⛽💣🔥
Afadhali umtunuku angalau mara moja au mbili afu usimamie hilo la kusubiri ndoa, kuliko kumnyima mwanzo mwisho huku ukihitaji shoo unapelekea mwingine
Mpeane kila baada ya miezi 6Hiyo maramoja au marambili inapimwaje mkuu🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣Mpeane kila baada ya miezi 6
Mikutano (sessions)..Hiyo maramoja au marambili inapimwaje mkuu🤣🤣🤣🤣🤣
Sio uhuni tatzo utaratibu nao una taratibu zake na inaitaji ujipange🤣🤣🤣
Acha uhuni Patra 31
Kwani kufuata utaratibu sh ngapi
Hii concept inanichanganyaga sanaNdio situmiki kizembe mimi kama akiona hawezi kusubir akwendreeeee
Hii concept inanichanganyaga sana
Hivi anakutumia au mnatumiana ?
Maana wote mnapata raha iweje nyie muumie zaidi embu naomba muongozo hapo mkuu ?
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app