Alvin A.
JF-Expert Member
- Oct 14, 2016
- 2,865
- 3,640
Sex sio mapenzi. Na mapenzi sio sex. Unaweza ukawa unafanya nae sex lakini akawa hana mapenzi na wewe. Kuwa na busara. Mtu anaweza akakuchukia na asikupende lakini akafanya sex na wewe.
Ni kujidanganya wewe mwenyewe kudhani kwamba kumpa sex kutamfanya akupende zaidi. Mapenzi ya kweli hayana nafasi katika kulazimisha sex. Mtu ambaye hakupendi huwezi kumlazimisha akupende kwa kumpa sex.
Kama akikwambia umpe sex ili ku-prove kwamba unampenda, asilimia kubwa mtu huyo anakutumia. Kama yupo kwako kwa ajili ya namna unavyompa sex vizuri, basi aliye vizuri zaidi atamchukua pia. Ni kama vile mwanamke aliye na mwanaume kwa ajili ya pesa zake!
Kujiweka katika nafasi ya kuwa mtumwa wake wa sex ni upumbavu. Anayekupenda kweli hatatumia udhaifu wa wewe kumpenda kuku-compromise kwa kutumia sex.
Na kama uhusiano wako umejengwa katika msingi wa sex basi ni vema zaidi ukafanya upembuzi yakinifu juu ya mahusiano hayo na kuyajenga katika misingi sahihi!
Na kama utafunga nae ndoa kwa misingi ya good sex, hii ni hatari kwa ndoa yako kwa sababu itafika kipindi hutaweza kumridhisha kama awali.
Funga nae ndoa kwa sababu amekupenda, amekuheshimu, anahisia na wewe, bond yenu ni kali na anataka ku-spend the REST OF HIS LIFE WITH YOU.
#reallove
#be_sweet
#SeeYouAtTheTop [emoji91][emoji91][emoji91]
#have_A_nice_weekend_guys
[emoji1321][emoji1321][emoji1321][emoji1321][emoji1321][emoji1321][emoji1321][emoji1321]
Ni kujidanganya wewe mwenyewe kudhani kwamba kumpa sex kutamfanya akupende zaidi. Mapenzi ya kweli hayana nafasi katika kulazimisha sex. Mtu ambaye hakupendi huwezi kumlazimisha akupende kwa kumpa sex.
Kama akikwambia umpe sex ili ku-prove kwamba unampenda, asilimia kubwa mtu huyo anakutumia. Kama yupo kwako kwa ajili ya namna unavyompa sex vizuri, basi aliye vizuri zaidi atamchukua pia. Ni kama vile mwanamke aliye na mwanaume kwa ajili ya pesa zake!
Kujiweka katika nafasi ya kuwa mtumwa wake wa sex ni upumbavu. Anayekupenda kweli hatatumia udhaifu wa wewe kumpenda kuku-compromise kwa kutumia sex.
Na kama uhusiano wako umejengwa katika msingi wa sex basi ni vema zaidi ukafanya upembuzi yakinifu juu ya mahusiano hayo na kuyajenga katika misingi sahihi!
Na kama utafunga nae ndoa kwa misingi ya good sex, hii ni hatari kwa ndoa yako kwa sababu itafika kipindi hutaweza kumridhisha kama awali.
Funga nae ndoa kwa sababu amekupenda, amekuheshimu, anahisia na wewe, bond yenu ni kali na anataka ku-spend the REST OF HIS LIFE WITH YOU.
#reallove
#be_sweet
#SeeYouAtTheTop [emoji91][emoji91][emoji91]
#have_A_nice_weekend_guys
[emoji1321][emoji1321][emoji1321][emoji1321][emoji1321][emoji1321][emoji1321][emoji1321]