Liverpool2005
Member
- Jul 20, 2011
- 43
- 39
Wanachama tisa wa CCM aka Magamba wenye hadhi ya Udiwani kutoka maeneo ya Longido na Ngorongoro watahamia kwenye jeshi la ukombozi CDM kesho lakini kuwekwa hadharani keshokutwa kupisha..Gamba linazidi kufa huku.
Source:Kamanda Lema
Source:Kamanda Lema