Hardlife
JF-Expert Member
- Apr 11, 2021
- 2,752
- 6,248
Tigo mmekuwaje? Kila nikinunua vifurushi pesa inaenda na kifurushi sipati. Juzi imeenda Tsh 2000 baada ya kununua vya 1000 mara 2 mpaka na nunua cha 500 ndio inakubali. Leo tena nimenunua cha 1000 hela imeenda, nimejaribu cha 500 hela imeenda. Nikipiga namba 100 siwapati.
Badilikeni.
Badilikeni.