Hukuogopa kukutana na watu wa humu jamiiforums? Au unawafanyia vetting kwanza ndio mkutane physically? Jamiiforums wewe ni mmoja wa watu tunaokosoa mashetani ya kijani na wewe ni maarufu sana huogopi kumafweliwa na mafwele? Binafsi naogopa sana watu wa humu japo nawapenda sanah hasa wanaharakati wenzangu.