mkuu kuna uzi kadhaa nimechangia kuusiana na vifaa vya bakery pamoja na sheria za kufata ukitaka kuanzisha hiyo biashara. lkn pia nikijua unatarget soko gani na mkoa unaotaka kuanzisha ningeweza kukusaidia sana kununua vifaa mpaka kuanzisha. kwa pesa yako inaweza kutosha au isitoshe kulimgana na ukubwa wa bakery unayofikiria. karibu 0652 494919
mkuu kuna uzi kadhaa nimechangia kuusiana na vifaa vya bakery pamoja na sheria za kufata ukitaka kuanzisha hiyo biashara. lkn pia nikijua unatarget soko gani na mkoa unaotaka kuanzisha ningeweza kukusaidia sana kununua vifaa mpaka kuanzisha. kwa pesa yako inaweza kutosha au isitoshe kulimgana na ukubwa wa bakery unayofikiria. karibu 0652 494919
Vipi kuhusu mashine za kuoka bidhaa za unga wa mhogo?
Boss nashukuru takupigia unijuze zaidi Mm niko Mara Tarime naitaji kufanya hii business seriousmkuu kuna uzi kadhaa nimechangia kuusiana na vifaa vya bakery pamoja na sheria za kufata ukitaka kuanzisha hiyo biashara. lkn pia nikijua unatarget soko gani na mkoa unaotaka kuanzisha ningeweza kukusaidia sana kununua vifaa mpaka kuanzisha. kwa pesa yako inaweza kutosha au isitoshe kulimgana na ukubwa wa bakery unayofikiria. karibu 0652 494919
Boss nashukuru takupigia unijuze zaidi Mm niko Mara Tarime naitaji kufanya hii business serious
Kwa kuanza nina mtaji wa 15M. Huku kwetu hakuna mikate Kwa anaejua Machine za Ku tengenezea mpaka kufungia na ziwe kibiashara zaidi anijuze ukubwa na bei tafadhari
Hiyo mixer wap naweza ipatakwa 15m inaweza kukupa vifaa vyote vya mikate vyenye uwezo wa kuzalisha mikate 1,000 kwa siku isipokua ishu ya umeme.
1.oven 3.5m
2.mixer 25kg 4m
3.slicer 2m
4.proofer 2m
5.meza ya aluminium 0.4m
6.makopo ya mikate 200@8,000=1.6m
7.legal documents fanya 2m kama utakua umejiunga na sido
jumla kuu 15m
karibu sana mkuu.
Kwa kuanza nina mtaji wa 15M. Huku kwetu hakuna mikate Kwa anaejua Machine za Ku tengenezea mpaka kufungia na ziwe kibiashara zaidi anijuze ukubwa na bei tafadhari