Vidumu ni vitu gani hasa?

215365_728431207890_202908253_38969451_6168935_n.jpg


...tumechoka 'mnavyotunyanyapaa!' ...nasi twataka 'Beijing!' yetu!
 
kidumu kinabebeka kilahisi.waulize makonda au madreva taxi.vidumu vinasaidia sana hasa pale unapoishiwa mafuta.
 
Ba ndugu,
hivi vidumu na nyumba ndogo kipi zaidi???
namaanisha kinacho hatarisha ndoa.
 
Kidumu kinaweza kukutesa mpaka ukatamani ndoo kuepuka kwenda kurudi ili ujaze pipa
 
wote ni umalaya tu si kwa hicho muitacho kidumu au nyumba ndogo timiza wajibu wako kwenye ndoa yako..
 
Honestly vidumu vina manufaa sana!Ndo ikianza kuvuja unaipeleka kuchomewa huku unaendelea na kidumu chako...kwa vile maji ni uhai wa maisha inabidi uwe na chombo kingine chakuyapatia just incase kile kikubwa kikiwa hakipo either kwasababu kimeazimwa...hukitaki tena au kimeharibika.

Kuhusu matumizi na matunzo kuna unafuu tofauti na nyumba ndogo kwa wanaume au “ndoo“ kwa wanawake.Imagine ukubwa wa ndoo...ukiweka maji nusu itapepesuka kichwani...ukijaza italemea!Ila kidumu hata wa mkono unabeba!!

Umeelezea vizuri sana sina haja ya kuongezea

hahahahahahaha duh we umefunika kabisa, anaoga anaoogelea na asipofanya yote atakuja kuvuka tu kwendaa upande wa pili

Ngoja nifikirie upya kama kuna umuhimu wa kuoa! Vinginevyo bado nipo nipo saaaaaaaaaaaaana! Wanawake balaaa! mitoto nayo balaaa! Maana ukiipata inaona kama unachelewa kufa ijipatie mali.
 
lol,hii kali.....na mie natafuta kidumu jamani.......:glasses-nerdy:
 
Honestly vidumu vina manufaa sana!Ndo ikianza kuvuja unaipeleka kuchomewa huku unaendelea na kidumu chako...kwa vile maji ni uhai wa maisha inabidi uwe na chombo kingine chakuyapatia just incase kile kikubwa kikiwa hakipo either kwasababu kimeazimwa...hukitaki tena au kimeharibika.

Kuhusu matumizi na matunzo kuna unafuu tofauti na nyumba ndogo kwa wanaume au “ndoo“ kwa wanawake.Imagine ukubwa wa ndoo...ukiweka maji nusu itapepesuka kichwani...ukijaza italemea!Ila kidumu hata wa mkono unabeba!!

hahahaha Lizzy
siamini kama haya yametoka kwako :smiling:
 
hahahaha Lizzy
siamini kama haya yametoka kwako :smiling:

Hhahhahha mama wa kwanza nilijaribu tu kuvaa viatu vya mbeba kidumu kwa dakika nione kama ntaweza kuvitembelea.Naona kuna mwingine mpaka anaogopa kuoa sasa....ni usanii tu bwana!!
 
Humu ndani nafikiri wanawake ni POOR THINKERS, Great haipo tena. Hivi kweli mwanamke unakuwa na kidumu kwa nguvu zipi? Ni mashindano au ni hulka tu kwamba uonekane unaweza? Mimi kweli ni mshamba nahisi hata mapenzi siyajui. Ukiangalia wenye hizi tabia ni wale waliochezwa wanafikiri kwa utalaam wao wanaweza ku-grab wanaume the way they want.

Sasa subirini magonjwa ndiyo yatadetermine life yako, hivyo vidumu vitatumika kukumiminia maji nyuma ya maiti!

Shame on you wanawake wote mnaofagilia viidumu. Lizy kila siku unaponda kuolewa leo unashabekia vidumu! ndoa utaisikia kwa wenzako! Sorry to wish you that.
 
Honestly vidumu vina manufaa sana!Ndo ikianza kuvuja unaipeleka kuchomewa huku unaendelea na kidumu chako...kwa vile maji ni uhai wa maisha inabidi uwe na chombo kingine chakuyapatia just incase kile kikubwa kikiwa hakipo either kwasababu kimeazimwa...hukitaki tena au kimeharibika.

Kuhusu matumizi na matunzo kuna unafuu tofauti na nyumba ndogo kwa wanaume au "ndoo" kwa wanawake.Imagine ukubwa wa ndoo...ukiweka maji nusu itapepesuka kichwani...ukijaza italemea!Ila kidumu hata wa mkono unabeba!!
Naona.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom