Rose tesha
New Member
- Apr 5, 2023
- 2
- 0
Msaada,
Mimi ni mhanga wa acid kujaa kwenye tumbo had kupanda kwenye Koo Kwa muda wa miaka miwili. Nilienda hospital mbalimbal bila mafanikio ila nikaenda singida hospital ya itigi wakanipa dawa na vyakula ambavyo natakiwa nisitumie na mpangilio wa kula, kweli nikafanya hivyo baada ya miezi sita tatizo likaisha kabisa nikaja nikapata ujauzito.
Sasa hivi nimejifungua, nina wiki tatu sasa Ile nakula sana ili nipate maziwa ya mtoto tatizo naona linaanza kujirudi polepole, nifanyeje jamani ili mtoto aweze kupata maziwa ya kutosha?
Mimi ni mhanga wa acid kujaa kwenye tumbo had kupanda kwenye Koo Kwa muda wa miaka miwili. Nilienda hospital mbalimbal bila mafanikio ila nikaenda singida hospital ya itigi wakanipa dawa na vyakula ambavyo natakiwa nisitumie na mpangilio wa kula, kweli nikafanya hivyo baada ya miezi sita tatizo likaisha kabisa nikaja nikapata ujauzito.
Sasa hivi nimejifungua, nina wiki tatu sasa Ile nakula sana ili nipate maziwa ya mtoto tatizo naona linaanza kujirudi polepole, nifanyeje jamani ili mtoto aweze kupata maziwa ya kutosha?