Video ya uchi ya binti yule imenikasirisha.

Video ya uchi ya binti yule imenikasirisha.

Binti alikuwa hajalewa, alikuwa mzima kabisa na anaelewa nini anafanya na ndomana baada ya kujua akaendelea kucheza.

kuchukuliwa kwake alipigwa ofa za vinywaji sasa itakwaje hajalewa
 
Kwa umalaya ule lazima azae watoto wa kike...
Watoto wa kiume wanataka mbegu zilizokomaa...
Zake zitakomaa saa ngapi na kutwa anamwaga

mbona mtoto wake wa kike ana kama miaka zaidi ya 3
 
Leo kuna mtu kanitumia video ya binti akicheza wimbo wa yamoto akiwa uchi huku akirekodiwa na mpenzi wake, binti alishtuka akamwambia mpenzi wake anamrekodi jamaa akasema ni kwa ajili yake
Nimetafakari na kujiuliza hivi nyie wadada hao wanaume wanaowarekodi na kusambaza video zenu mnawatoa wapi? hivi kwanini msidate na wanaume baadala ya hivyo vivulana vilivyokasa maadili.

ilikuwa ni lazima avue nguo ndipo acheze? ujinga wake mwenyewe
 
kuchukuliwa kwake alipigwa ofa za vinywaji sasa itakwaje hajalewa

Achana na stori za kutunga, huyo binti kitambo anapigwa gegedo na huyo bwana, mwenyewe anasema alikuwa danga lake la kudumu na ni mmoja kati ya wale wanaomuweka mjini hapa, hiyo kulewa ni kujitetea kwa hadhara.
 
Wewe hyo hyo moja imekukera lete namba nikutumie zingine kama 109 ,hv zikukere zaidi we si unabp kukerwaaaaa...mbn zipo kibaoooo
 
Na wanawake sie tuna kiranga.
Hivi mwanaume mchafu kama huyo akutongoze umkubali kabisa na habari zake zilivyozagaa unakua unatafuta nini?

Ila atakutanaga tu na wajanja zaidi yake, atakimbia nchi kama rafiki yule rafiki wa Msofe.

Halaf amekaa kipunga huyu Rummy
 
Leo kuna mtu kanitumia video ya binti akicheza wimbo wa yamoto akiwa uchi huku akirekodiwa na mpenzi wake, binti alishtuka akamwambia mpenzi wake anamrekodi jamaa akasema ni kwa ajili yake
Nimetafakari na kujiuliza hivi nyie wadada hao wanaume wanaowarekodi na kusambaza video zenu mnawatoa wapi? hivi kwanini msidate na wanaume baadala ya hivyo vivulana vilivyokasa maadili.

Tatizo wanaangalia sura za masharabalo.

Sisi wenye sura zetu hawatutaki.
 
Kwanza huo ni upuuzi na niushamba wa hali ya juu!..
Hivi mwanaume mzma huon kama unajidhalilisha kitendo cha kumrekod mpenz wako na kusambaza video?

Hapo tusiwalaumu wadada bali kuna wavulana wangese. Dada wa watu anakupa uhuru juu ya mwili wake cos ni wapenz sasa kwann umdhalilishe?

Kizaz cha wanaume kinazidi kupotea bali cha wangese ndio kinashika hatam
 
Back
Top Bottom