nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,397
Majuto mjukuu wa ujinga...
Heheeeeeee mapenzi mapenziiiiiiiii matamu,,lakini huyu shoga Rumy katongoza usiku walikutana huo huo usiku akagongwa na kurekodiwaa alikua anamtega ili ahongwe gari yolooooo
hahaha shemeg ukisema za kununulia kiwanda wananchi watazingua...
Mke wa mtu gani aliejiua Arusha baada ya kurekodiwa?
Mnaongea vitu vya uongo kwa kujiamini.
Picha za yule mwanamke zilipostiwa humu kabla hata ya ujio wa bbm na whatsApp.
tena unalikata, unaliosha, unalitia viungo, unalikaanga halafu unapika na ugali na kachumbari pembeni. vikiiva unawapa mbwa wale
Wewe unaijui ipi? Na kwann akubari kurecordiwa mtu mzima?
Aiseee kweli kwa mwanamke raha ya dudu likiwa tunduni tu...
Likitolewa tu ndio yaanza majuto ya ningejua, shetani kanipitia n.k
Hii ipo, kuna siku nilimsikia Kova akiielezea. Kuna dada alikuwa blackmailed na njemba yake, kisa alimrekodi. Baada ya kuachana njemba alikuwa bado anamtaka, hivyo akawa anamtishia kuwa ataonyesha hizo picha. Sijui ilifikaje kwa Kova, ndo akawa anaelezea kuwa ni kosa kisheria kupost picha za mtu bila idhini yake, endapo utafanyiwa hivi na ikathibitika ni kweli, huyo mtu atakuwa matatani kisheria. Hii niliisikia kutoka kwa Kova kwenye Tv.
ndo mimi, kwani unaijua ID yake ya jf? lolWeee.....!
Umeongea kama shosti angu fulani
Hadi sauti.
Heheeeeer halaf akapewa laki 2 duuuu ,,,tigo usiku kucha imeliwa si angemuuzia tu bei kubwa maana hapo kama wanapunguziana nyege sio mapenzi ya ukwelii
aaaaaah shem, huyo mdada ana makosa yake ndio lakini kitendo cha kuchukuliwa video si cha kiungwana hata kidogo. hapa lawama inabd zimuendee mwanaume. hakupaswa kufanya vileAiseee kweli kwa mwanamke raha ya dudu likiwa tunduni tu...
Likitolewa tu ndio yaanza majuto ya ningejua, shetani kanipitia n.k
ndo mimi, kwani unaijua ID yake ya jf? lol
I am too descent to have a lover of my age
Wengi wao washapagawa *****
Kumbe tigo zimeshuka bei hivi? Yani full time laki mbili? Sa wanavyosemaga kina Wema wanahongwa nyumba kisa tigo ni uongo eenh?
Kweli za kuambiwa changanya na zako....
Naijua. Yule dada mkadanganya umma kua alikua sijui meneja crdb kisa ile mistari ya ukutani.
Wale waliokua wana do ofisini.
Kama upo jukwaa la wakubwa ile ilipostiwa muda mrefu sana kabla hamjaidaka na kusema ni ya Arusha.