Video ya uchi ya binti yule imenikasirisha.

Video ya uchi ya binti yule imenikasirisha.

Mie sina mdogo wangu.
Huwa zikikoseaga njia kuja kwangu nawaita wadogo zangu ( maana nina wadogo 5 wa kike) nawaonesha nawahubiria nafuta.
So hata zinapoanziaga mitandaoni sijuagi.
Curiosity killed the cat , watafanya tu.
 
ndio adhabu gani hiyo? lawyer wangu EMT sijui yupo wapi.

Mvua tatu - fimbo tatu. Mie nipo, wewe mzima?

Kama umenionea parTner wangu snowhite nishtue tafadhali.

Unajua tena ule msimu ndo unawadia, na this time I want it in WHITE!
 
Last edited by a moderator:
Waache warekodiwe tu na zisambazwe watu gani hawatak kubadilika, wewe uko na mpenzi wako unakuta badala kushughulikiana yeye anahamgaika na simu bado unakodoa macho tuuuu nahisi wengine wanasema wenyewe wakiona zimesambaa sana ndo wanajishauaa

Yah!huo ndo ukwel halis,coz demu mwenye timamu awez kufanya hiyo kitu kabisa natena mausiano ndio yataishia hapo.
 
Kama nakuona mishipa imesimama na suruali imetuna hapo mbele nakushauri fungua zipu kabisa usije kuichana make kalio la huyo binti mweh!!!

Video + haya maneno yako = puchu ilichukua nafasi yake
 
Kazi kweli. Halafu wadada wengi wanapenda sana haka kamchezo. Thank God wengine tuna staha zetu, siwezi hata siku moja nikamdhalilisha mwanamke niliyewahi kuona utupu wake ati kisa kumkomoa.....!

Na mm mwenyewe cwez, mpenz wangu wa zaman aliniacha akaolewa pamoja na kuwa na picha zake za faragha cjawahi hata kumuonesha rafiki yangu.
 
Lakn na wanaume wengine wapuuzi.. Mambo ya faragha unawekaje mtandaon. Mi ningemshitaki
 
Mie mbona nikifungua hiyo link inakuja sijui masharti ya blogger?Hebu nielekeze nifanyeje ili niione asakuta same
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom