Video ya uchi ya binti yule imenikasirisha.

Video ya uchi ya binti yule imenikasirisha.

Kazi kweli. Halafu wadada wengi wanapenda sana haka kamchezo. Thank God wengine tuna staha zetu, siwezi hata siku moja nikamdhalilisha mwanamke niliyewahi kuona utupu wake ati kisa kumkomoa.....!
 
Kazi kweli. Halafu wadada wengi wanapenda sana haka kamchezo. Thank God wengine tuna staha zetu, siwezi hata siku moja nikamdhalilisha mwanamke niliyewahi kuona utupu wake ati kisa kumkomoa.....!

kweli kabisa... Kwa mwanaume aliyekamilika ni aibu kubwa mno kumfanyia kitendo kama hiko mpenz wako.....

Kwanza kitendo cha kujibizana na mwanamke kwa kejeli au matusi ni fedheha sana sasa ndio iwe kumsambaza utupu wake?!!

Wanaume tunatia aibu sana siku hizi yaan tumejawa na vijitabia vya kipunga punga tu.
 
kweli kabisa... Kwa mwanaume aliyekamilika ni aibu kubwa mno kumfanyia kitendo kama hiko mpenz wako.....

Kwanza kitendo cha kujibizana na mwanamke kwa kejeli au matusi ni fedheha sana sasa ndio iwe kumsambaza utupu wake?!!

Wanaume tunatia aibu sana siku hizi yaan tumejawa na vijitabia vya kipunga punga tu.
Mgirik, hata Mwenyezi Mungu kasema tuishi nao kwa akili. Inawezekana mdada kufanya hivyo ni katika hali ya kuonyesha mapenzi na kutia kachubari kabla ya mtanange au kwenye mtanange, sasa nashangaa kidume na kengele zake anatupia mtandaoni mambo waliyotenda huko sirini. Ni aibu sana kwa vidume wanaofanya u.pumbav.u huo.
 
Last edited by a moderator:
Kazi kweli. Halafu wadada wengi wanapenda sana haka kamchezo. Thank God wengine tuna staha zetu, siwezi hata siku moja nikamdhalilisha mwanamke niliyewahi kuona utupu wake ati kisa kumkomoa.....!

Wanaume kama wewe wachacheee
 
Kiukweli, hata mimi nimewahi kujirecord kwa kutumia laptop camera na baadae tukakaa tukaanza kujiangalia tulivyokuwa tunawajibika na tukaenjoy na kucheka. Ila tulizidelete pale pale, mida fulani mnajaribu vitu vipya vya hatari.


Hii inanikumbusha mbali sana. Kuna wakati mdada mmoja mwenye heshima zake kabisa aliniletea Laptop yake ili nijaribu ku-recover file lake muhimu sana alilolifuta kwa bahati mbaya. Akaiacha mimi nahangaika nayo kutumia software mbali mbali za un-delete kwa msaada wa google nikafanikiwa. Lakini nilichokiona huko (mafaili niliyo-recover) sitakaa ni sahau. Hivyo uwe makini sana na laptop hiyo, kama laptop bado unayo ikiahibika iponde ponde hiyo harddisk iwe kama unga. Kama video bado unayo, usiifute bali tafuta video nyingine (kama ya nyimbo za bongo flava) ya format hiyo hiyo kama vile VLC, MP3 halafu i- save hiyo mpya kwa jina la hiyo ya X. Vinginevyo siku moja utajikuta kwenye Youtube kwa tamaa ya kujaribu vitu vipya.
 
dah, sahv ntakuwa namwambia tuzime simu zote hadi mchezo uishe. sio uko busy unalamba koni mwenzio anachezea simu. stuka hapo.
usizime bana,
labda uwe unaziweka tu mbali make nnavokujua ukichukua maamuzi ya kuzima basi masaa mengi sana hautakuwa richabo
 
Ipitishwe sheria nchini kwamba yeyote atakayepost video/picha za uchi bila ya ridhaa ya muhusika basi muhusika awe na haki ya kumpandisha kizimbani na adhabu yake ianzie mvua tatu.

Mkuu hiyo itakuwa ngumu kidogo. Kama zile za John Komba utasema nani alizisambaza? Jee ni Komba mwenyewe au yule binti? Maana walikuwa wawili na unaweza kuwauliza na Komba akakana na yule binti akakana. Hapo ndio mchezo unapokuwa mgumu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
leo kuna mtu kanitumia video ya binti akicheza wimbo wa yamoto akiwa uchi huku akirekodiwa na mpenzi wake, binti alishtuka akamwambia mpenzi wake anamrekodi jamaa akasema ni kwa ajili yake
nimetafakari na kujiuliza hivi nyie wadada hao wanaume wanaowarekodi na kusambaza video zenu mnawatoa wapi? Hivi kwanini msidate na wanaume baadala ya hivyo vivulana vilivyokasa maadili.

alafuu demu anakishungiii nguna hatareeeeeeeee
 
Hiyo ni kweli Mkuu, lakini kenye kesi ya huyu binti anayecheza dansi uchi anamjua aliyemrekodi, kama akitaka kufungua mashtaka kwa kufuata hiyo sheria inayosemekana ipo, basi njemba itakula kwake.

Mkuu hiyo itakuwa ngumu kidogo. Kama zile za John Komba utasema nani alizisambaza? Jee ni Komba mwenyewe au yule binti? Maana walikuwa wawili na unaweza kuwauliza na Komba akakana na yule binti akakana. Hapo ndio mchezo unapokuwa mgumu.
 
Kiukweli, hata mimi nimewahi kujirecord kwa kutumia laptop camera na baadae tukakaa tukaanza kujiangalia tulivyokuwa tunawajibika na tukaenjoy na kucheka. Ila tulizidelete pale pale, mida fulani mnajaribu vitu vipya vya hatari.

daah, haya bana
 
Back
Top Bottom