Nani huwa anakudanganya kuwa Shetani hawezi kumpagaa mkuu?Kuna facts gani hapo? Unaweza muita mkuu shetani?
Nani huwa anakudanganya kuwa Shetani hawezi kumpagaa mkuu?Kuna facts gani hapo? Unaweza muita mkuu shetani?
Hotuba japo sijaisikia, headline tu inaonyesha, askofu anaongozwa na mihemko, pamoja na dharau za kimtikila kwa marais wa kiislamu,, sababu tu wanakuwa si madikteta.
Hawa jamaa washagundua viongozi wenye imani ya kiislamu wanakuaga na hekima too much,, jambo linalowafanya watu mbalimbali wajaribu kuwatikisa tikisa na kuwa provoke.
Hii tendency ilianza tangu zama za Ruxa,, kipindi kina mtikila, Pengo, etc walivyokuwa wakimnanga mzee Ruxa bila woga wowote,, tofauti na walivyofanya kipindi cha nyerere, mkapa, au chuma
Kamfufue!Enzi za chuma watu kama hawa walikua hawakohoi kabisa, maana yule ukicheza anafuta taasisi yako na hakuna kitu utamfanya,,
"Huwezi kuwa msaliti alafu ukabaki salama''
Gwajima alinyooka na kuwa mfuasi mtiifu kweli kweli,
Ombi langu, makonda arudishwe na apewe wizara ya habari, ili watu watie adabu
Kwo kama in shetwaaani ulitaka aitwe malaika,,au????Huwezi kumuita raisi wa nchi shetani. Eti ikulu Ina shetani
Huyu amerogwa sio bure
ahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaha.............................................................imeisha hiyo !
Pepo mchafuKuna facts gani hapo? Unaweza muita mkuu shetani?
Nenda jehanam utamkuta anaungua motoNimemsi sanaaaa rafiki yangu shujaaa na mzalendo wa kweli jiwe ! Raisi bora kuwahi kutokea tangu tumepata uhuru
Mbona liko wazi hiloAcha upumbavu, huwezi kumuita mkuu wa nchi shetani
Huyu inapaswa akamatwe aseme ikulu gani Ina shetani.
Mpuuzi sana huyu mjinga wa mwisho
Mkuu Hawa watu waajabu kweli. Wanawachukulia poa Marais waislamu. Mwinyi alikuta watu wanavaa viraka wala hawajui dunia inaendaje . Akaruhusu watu wawe huru . Wakamtukana eti anashauriwa na mkewake. Mama Samia kakuta watu wanaogopa mpaka vivuli vyao kwa woga .Leo wanamuita shetani .Kwahiyo turuhusu matusi kwa mamlaka?, lakini sawa kama demokrasia inataka hivyo,, swali,, mbona kipindi cha mkapa au jpm hawakutukana?
Mbona matamko hayakuepo?
Samahani wewe ndio nikki wa pili uliyesema sitaki kazi ila sasahivi unafanya kaziAcha upumbavu, huwezi kumuita mkuu wa nchi shetani
Huyu inapaswa akamatwe aseme ikulu gani Ina shetani.
Mpuuzi sana huyu mjinga wa mwisho
Atafutwe yule jamaa aliempiga Risasi Ponda akamshughulie na huyuHotuba japo sijaisikia, headline tu inaonyesha, askofu anaongozwa na mihemko, pamoja na dharau za kimtikila kwa marais wa kiislamu,, sababu tu wanakuwa si madikteta.
Hawa jamaa washagundua viongozi wenye imani ya kiislamu wanakuaga na hekima too much,, jambo linalowafanya watu mbalimbali wajaribu kuwatikisa tikisa na kuwa provoke.
Hii tendency ilianza tangu zama za Ruxa,, kipindi kina mtikila, Pengo, etc walivyokuwa wakimnanga mzee Ruxa bila woga wowote,, tofauti na walivyofanya kipindi cha nyerere, mkapa, au chuma
Mamlaka ya shetwani to be precise.Anachezea mamlaka uyu..
Hakuna anayemtoa kwenye focus isipokuwa matendo yake ya kipumbavu.Wanajaribu kumtikisa mama. Jamani urais ni zigo la lawama . Ni kazi Sana kumfurahisha Kila mtu. Mama asikubali kutolewa kwenye focus.
HahahahahaBora tuzichape tu ili tujue mbivu na mbichi sio kila siku kutishana
Samia suluhu hassan aliwahi kusema hata msipoipa kura liccm lazima waunde serikali, sasa hii kauli inaweza kutolewa na binadamu kweli ?Ameitwa ibilisi...anyway tufanye ameitwa shetani kama ulivyoandika...
Lakini aliyeitwa ibilisi hapo, condition ni kuwa awe kwanza kaiba kura, ndio anapata title ya ibilisi
Je aliyepo ikulu kuna kura kaiba?
Watetezi wa Ccm hapa Jf ni mashetani piaJizi lolote la kura ni shetani. Hutaki kuwa kwenye kundi la shetani heshimu box la kura.
Wizi wa kura kwa ccm ni kama maasai walivyokuwa wakiamini kwamba ng'ombe wote duniani ni mali yao hivyo wizi wa ng'ombe ikawa ni fahari badala ya kuwa uhalifu.
😁😁JF ndio tegemeo la Dunia la kufichua yaliyofichwa , naomba yeyote mwenye video ya mahubiri ya Baba Askofu Mwingira alioyatoa leo, yanayosemekana ni mahubiri makali kupita yote ya maaskofu ya kudai haki tangu kupatikana kwa uhuru wa Tanganyika atuwekee tafadhali.
Na wewe ni kama Nabii Tito tu,Raha yako ni kufukuliwa huo mtaroMwingira ni kama Lisu tu debe tupu kila siku kubwabwaja tu