Issue sio kufa mzee hata huyo Lisu au Mwingira kufanya lazima mzee usichekelee kufa hata mimi na wewe tutakufa! Huyo Mwingira anayejidai babawa kidogo wa wachungaji huku akitaka ionekane mtakatifu hapo kachemka bora asingemhusisha Rais Samia!Sasa huyo chuma mwenyewe yuko wapi ?