njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Hakika jamaa wanachapa kazi kwelikweli tena kizalendo kwa style hii ya kukanyagia mateke ukijumlisha na zile ndege zetu za kutosha zinazonyunyuzia dawa tukichanganya na yale maombi yaliyokimbiza corona basi hawa nzige week tu wanahama nchi hii au kama wataamua kukaa basi wakae kwa adabu kama panzi na senene wanavyokaa kwa staha