Mkurugenzi wa jiji anakulla pesa nyingi kwa kushirikiana na makonda ndiyo maana wanamlinda mpaka sasa kwa hofu ya kumtumbua akatoa siriUtawala huu kuna watu wanapiga hela wakishirikiana na mkulu mwenyewe
Mkurugenzi wa jiji anakulla pesa nyingi kwa kushirikiana na makonda ndiyo maana wanamlinda mpaka sasa kwa hofu ya kumtumbua akatoa siriUtawala huu kuna watu wanapiga hela wakishirikiana na mkulu mwenyewe
Yeah hii ni kweliUtawala huu kuna watu wanapiga hela wakishirikiana na mkulu mwenyewe
Ili kuficha kuwa hakufanya wizi Magu ni nomaHuyu kwakua ameibuliwa na wapinzani kibarua Chake kipo salama tena anaweza pandishwa Cheo
Dili anakula na makonda watamlinda na ndipo utajua ccm hawana vita na ufisadi kamweHuyu kwakua ameibuliwa na wapinzani kibarua Chake kipo salama tena anaweza pandishwa Cheo
Mkurugenzi ni timu makonda madhambi yake yote yanalindwa na makondaIli kuficha kuwa hakufanya wizi Magu ni noma
Huyo mkurugenzi ni fisadi na ufisadi wake upo wazi kabsa lakini kwa kuwa ni mtu wa makonda atalindwa kwa gharama yeyote na hata itokee wamtumbue kukwepa Aibu hawataweza kumshitaki popote zaidi ya kuwahadaa watu.Pole sana mh Rais Magufuli kila unapojitahidi kuteua watumishi hujikuta umeteua wezi na mafisadi. Unabahati mabya sana kuwa rais kupitia ccm.
Ufisadi wake anakula na wakubwa wa ccm na hao ndiyo watamlinda kwa gharama zoteDuh!
Hili ni balaa wanaweza kuzidi hata zile tunazopiga kwenye ruzuku.
Waombe Mungu JPM asijue.
Keshachota pesa nyingi tayari anazo na hata mali anazomiliki sasa ni kufuru mtupuCcm hawajawahi acha wizi zaidi ya kubadili mbinu tu.Huyo mkurugenzi anafanya visa Na njama dhidi ya meya ili aweze chota mabilioni ya shilingi kuelekea uchaguzi Mkuu.
Atafanya nn akijua,kinga ya utumbuzi ni kuwashughulikia chadema,rejea HaiDuh!
Hili ni balaa wanaweza kuzidi hata zile tunazopiga kwenye ruzuku.
Waombe Mungu JPM asijue.
Although wanawashughulikia upinzani ni ndoto rejea mnyeti,sabaya.Huyu mkurugenzi ni wa kukamatwa tuu ! Yeye na anayeshirikiana nae hata kama ni RC Makonda kwa kweli ni wahujumu. Maana naona Mh. Kubenea mpaka mishipa ya kichwa inamtoka asee !
Hawa ndio watu wachache wanaochafua serikali ya awamu ya tano, ni wakufungwa tuu wakikutikana na hatia mahakamani. Very bad !
True Pesa inayolipwa bila control namba inapotelea njiani pale pana Pesa nyingi Sana kuliko kuhangaika na 20 20 za machinga JPM akachukue kuanzia getini hadi vyooniUbungo bus terminal ubungo Yuko Sawa kabisa.. Hakuna sehemu PESA haziendi serikali Kama pale....
Sent using Jamii Forums mobile app
Takukuru sawa na dog hadi waambiwe kamata ndo ukamata,sema tuhuma zimeibuliwa na upinzani watuhumiwa wako salama pamba sikioniTakukuru ingekuwa na nguvu Kangi Lugola asingekuwa Waziri
Yadaiwa aliweka ndugu yake Ubungo Bus Terminal ili akwapue pesa , watendaji wa jiji waliofanya vizuri akiwemo aliyepandisha mapato ya DDC wahamishwa kimizengwe kwa sababu walimzibia kupata 10% , watupwa madongo kuinama , mwingine atupwa Malinyi akapambane na ngedere !
Kwa watendaji wa namna hii awamu ya 5 yaweza kuvunja rekodi ya ufisadi tangu nchi hii ivumbuliwe .
ccm ni laanaKumbe ndiyo maana anampiga vita meya ili kuzima haya mambo