Video: Ufisadi wa Sipora Liana ambaye ni Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam waanikwa

Pole sana mh Rais Magufuli kila unapojitahidi kuteua watumishi hujikuta umeteua wezi na mafisadi. Unabahati mabya sana kuwa rais kupitia ccm.
Huyo mkurugenzi ni fisadi na ufisadi wake upo wazi kabsa lakini kwa kuwa ni mtu wa makonda atalindwa kwa gharama yeyote na hata itokee wamtumbue kukwepa Aibu hawataweza kumshitaki popote zaidi ya kuwahadaa watu.
 
Ccm hawajawahi acha wizi zaidi ya kubadili mbinu tu.Huyo mkurugenzi anafanya visa Na njama dhidi ya meya ili aweze chota mabilioni ya shilingi kuelekea uchaguzi Mkuu.
 
Huyu mkurugenzi ni wa kukamatwa tuu ! Yeye na anayeshirikiana nae hata kama ni RC Makonda kwa kweli ni wahujumu. Maana naona Mh. Kubenea mpaka mishipa ya kichwa inamtoka asee !

Hawa ndio watu wachache wanaochafua serikali ya awamu ya tano, ni wakufungwa tuu wakikutikana na hatia mahakamani. Very bad !
Although wanawashughulikia upinzani ni ndoto rejea mnyeti,sabaya.
 
Yadaiwa aliweka ndugu yake Ubungo Bus Terminal ili akwapue pesa , watendaji wa jiji waliofanya vizuri akiwemo aliyepandisha mapato ya DDC wahamishwa kimizengwe kwa sababu walimzibia kupata 10% , watupwa madongo kuinama , mwingine atupwa Malinyi akapambane na ngedere !

Kwa watendaji wa namna hii awamu ya 5 yaweza kuvunja rekodi ya ufisadi tangu nchi hii ivumbuliwe .

Kumbe ndiyo maana anampiga vita meya ili kuzima haya mambo
 
Back
Top Bottom