Video: Ufisadi wa Sipora Liana ambaye ni Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam waanikwa

Mavi tupu,mtashindwa kama mlivyoshindwa kwa Makonda na mfululizo wa threads lukuki za kumponda,sana mnamtakia kupandishwa cheo tu huyu mama
Yadaiwa aliweka ndugu yake Ubungo Bus Terminal ili akwapue pesa , watendaji wa jiji waliofanya vizuri akiwemo aliyepandisha mapato ya DDC wahamishwa kimizengwe kwa sababu walimzibia kupata 10% , watupwa madongo kuinama , mwingine atupwa Malinyi akapambane na ngedere !

Kwa watendaji wa namna hii awamu ya 5 yaweza kuvunja rekodi ya ufisadi tangu nchi hii ivumbuliwe .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona ukuu wa mkoa ukimnyemelea huyu mkurugenzi,si kwa kiki hizi za wapinzani...
 
Sipora siyo fisadi hata kidogo ubaya wa Sipora HAMWAMINI mtumishi yeyote na anafanyia mambo ya kusikia na kuaambiwa na wapambe. Pili yeye anajiona yuko sahihi kwa kile anachokifanya na hivyo ushauri wa watu wengine ni kitu cha nyongeza tu. Tatu ile dhana ya kufanya kazi kama timu moja anaikosa.
kwa hiyo ukiuliza watumishi utakuta kuna makundi ya watumishi wanaokubaliana naye na wengine hawakubaliani naye. Angesahihisha haya mapungufu aliyo nayo angekuwa mmoja wa Wakurugenzi wachapakazi, anayependwa na weledi.
 
Inajurikana vitisho vyote anavyofanyia wananchi magufuri ni ili aibe. ye mwenyewe hawezi zuia wizi.
amekuwa waziri wa ujenzi miaka 20, wizi mwingi umefanyika mbele ya macho yake hakuwahi hata siku moja kuonyesha kujari.

ni mjanja mjanja mmoja akiwa mbele ya kamera.
 
visa na vituko wanavyofanyiwa wapinzani na watendaji mbalimbali wa serikali pamoja na askari ni ukiukwaji mkubwa wa maadili ya kazi, lakini kila wanapofanya upuuzi ndio wanavyokubalika na magufuri.
 
Sipora siyo fisadi hata kidogo ubaya wa Sipora HAMWAMINI mtumishi yeyote na anafanyia mambo ya kusikia na kuaambiwa na wapambe. Pili yeye anajiona yuko sahihi kwa kile anachokifanya na hivyo ushauri wa watu wengine ni kitu cha nyongeza tu. Tatu ile dhana ya kufanya kazi kama timu moja anaikosa.
kwa hiyo ukiuliza watumishi utakuta kuna makundi ya watumishi wanaokubaliana naye na wengine hawakubaliani naye. Angesahihisha haya mapungufu aliyo nayo angekuwa mmoja wa Wakurugenzi wachapakazi, anayependwa na weledi.
kuhusu kupachika ndugu yake Ubungo Bus Terminal hilo unalizungumziaje ?
 
Koryo unaweza kuwa sahihi, kwa ufisadi huyo mama hawezi hata siku moja kushiriki. Ila nijuavyo mimi ni mtu mwenye msimamo mkali.
Sipora siyo fisadi hata kidogo ubaya wa Sipora HAMWAMINI mtumishi yeyote na anafanyia mambo ya kusikia na kuaambiwa na wapambe. Pili yeye anajiona yuko sahihi kwa kile anachokifanya na hivyo ushauri wa watu wengine ni kitu cha nyongeza tu. Tatu ile dhana ya kufanya kazi kama timu moja anaikosa.
kwa hiyo ukiuliza watumishi utakuta kuna makundi ya watumishi wanaokubaliana naye na wengine hawakubaliani naye. Angesahihisha haya mapungufu aliyo nayo angekuwa mmoja wa Wakurugenzi wachapakazi, anayependwa na weledi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yadaiwa aliweka ndugu yake Ubungo Bus Terminal ili akwapue pesa , watendaji wa jiji waliofanya vizuri akiwemo aliyepandisha mapato ya DDC wahamishwa kimizengwe kwa sababu walimzibia kupata 10% , watupwa madongo kuinama , mwingine atupwa Malinyi akapambane na ngedere !

Kwa watendaji wa namna hii awamu ya 5 yaweza kuvunja rekodi ya ufisadi tangu nchi hii ivumbuliwe .
Kwa awamu hii huyu mkurugenzi anafaa uwaziri maana yupo vizuri kwenye mikakati ya wizi
 
Yaani nyie mnachekesha sana. Miradi huwa inaibuliwa na madiwani wenyewe. Hii miradi yote imepitishwa na baraza la madiwani likiongozwa na meya wa chadema. Fedha zimepitishwa na madiwani na meya wa chadema. Wasimamizi na wakaguzi wa utekelezaji wa miradi ni chadema na meya wao. Mlikua mnaona raha mnapoenda kukagua miradi wakandarasi wanawahonga pesa mnapita tuuu hata hamkosoi kitu kwenye miradi. Leo meya katumbuliwa ndio mnajifanya mnauchungu ? Takukuru nadhani waanze kwanza na meya aliyepigwa chini pamoja na kamati zake za mipango fedha na uchumi watiwe ndani wakati uchunguzi na uhakiki unafanyika.
 
Yadaiwa aliweka ndugu yake Ubungo Bus Terminal ili akwapue pesa , watendaji wa jiji waliofanya vizuri akiwemo aliyepandisha mapato ya DDC wahamishwa kimizengwe kwa sababu walimzibia kupata 10% , watupwa madongo kuinama , mwingine atupwa Malinyi akapambane na ngedere !

Kwa watendaji wa namna hii awamu ya 5 yaweza kuvunja rekodi ya ufisùdi tangu nchi hii ivumbuliwe .
uhuni, ufisadi na ccm ni sawa na chanda na pete. They are simply inseparable
 
Back
Top Bottom